Kumbuka namna alivyoingia madarakani.M7 ameshawahi kufanya kitu gani 'extraordinary' kwny anga za kivita/kijeshi mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka namna alivyoingia madarakani.M7 ameshawahi kufanya kitu gani 'extraordinary' kwny anga za kivita/kijeshi mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uganda kwa mwaka jana ali-export to Rwanda biashara yenye thamani ya $197mil.
Wkt Rwanda yeye alifanya export to Uganda yenye thamani ndogo tu ya $20mil only.
So techinically hapo M7 yuko anashughulikiwa kiuchumi taratiiibu.
Vita za siku hizi ni za kiuchumi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JF bana.... tuliwapiganisha Korea na US humu humu....


Museveni sio Baganda. Mind you.Dah....
Vita ikipiganwa itakuwa ngumu sana hii.
Sidhani kama Tanzania inaweza kumuacha Mganda na kumkumbatia Mnyarwanda.
Uganda katika ukanda huu hana rafiki wa kweli ambaye anaweza kukimbia kuomba chumvi mambo yanapokuwa magumu zaidi ya Tanzania, na hili Tanzania inalijua.
Heshima ya Tanzania Uganda ni kubwa sana, hasa kwenye majeshi yao.
Kinachonisikitisha ni mbinu ya kijasusi inayotaka kutumika hapa.
Kwamba Rwanda anataka kumwaga ugali wa Museveni kwa kuipindua dola ya Buganda isiwe ruling class ndani ya Unganda, wakati huo Museveni naye anataka kumwaga mboga kwa kuhakikisha power inahama kutoka kwa watusi kuingia kwa wahutu.
Patamu sana hapo.
Kwa mbaali namuona Nkurunzinza akichekelea mpaka jino la mwisho.
Dah....
Vita ikipiganwa itakuwa ngumu sana hii.
Sidhani kama Tanzania inaweza kumuacha Mganda na kumkumbatia Mnyarwanda.
Uganda katika ukanda huu hana rafiki wa kweli ambaye anaweza kukimbia kuomba chumvi mambo yanapokuwa magumu zaidi ya Tanzania, na hili Tanzania inalijua.
Heshima ya Tanzania Uganda ni kubwa sana, hasa kwenye majeshi yao.
Kinachonisikitisha ni mbinu ya kijasusi inayotaka kutumika hapa.
Kwamba Rwanda anataka kumwaga ugali wa Museveni kwa kuipindua dola ya Buganda isiwe ruling class ndani ya Unganda, wakati huo Museveni naye anataka kumwaga mboga kwa kuhakikisha power inahama kutoka kwa watusi kuingia kwa wahutu.
Patamu sana hapo.
Kwa mbaali namuona Nkurunzinza akichekelea mpaka jino la mwisho.
Ungekuwa unaweka na nyama nyama kidogo, Tatizo lako huwa unaandika kwa kuibia mno, incomplete informationHali ni tete katika mahusiano kati ya Rwanda na Uganda.
Ikumbukwe tu nchi zote hizi mbili ni "dola za kijasusi" kutokana na backgrounds za watawala wake (both Kagame na Museveni ni majasusi wabobevu).
Nchi zote mbili ni majirani zetu na wanachama wenzetu kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Sio siri kuwa Jiwe na Kagame ni kama chanda na pete, japo pia uhusiano wa Jiwe na Museveni sio mbaya.
Pengine Rwanda na Uganda zikiingia vitani haitotuathiri kwa lolote lakini what if Kagame akitaka kumtumia Jiwe/kuitumia Tanzania kama PROXY? ("Proxy war" ni vita ambapo nchi zenye uadui zinapigana bila zenyewe kuwepo vitani moja kwa moja. Mfano wa proxy war ni Yemen na Syria ambapo Iran na Saudia technically zipo vitani huku Yemen na Syria zikiwa ndio "proxies").
Lakini pia nchi inaweza kuwa "proxy" katika scenario hii (God forbid)- Rwanda na Uganda zaingia vitani, kisha Burundi ikaiunga mkono Uganda (kwa sababu ya uhasama baina ya Kagame na Nkurunziza) na sie tukaiunga mkono Rwanda (kwa sababu ya uswahiba kati ya "Mtu Mrefu Paulo" na Jiwe)
Kijasusi, tayari Rwanda na Uganda wapo vitani. Vita ya kijasusi. Na "kwa vile Dar imesheheni majasusi wa mataifa mbalimbali kama ilivyo Brussels, Ubelgiji (soma zaidi hapo chini)" basi nayo technically ni sehemu ya vita hiyo.
I hope busara zitatawala kwa wahusika kuepusha vita kati yao.
#FoodForThought
Sent using Jamii Forums mobile app
Vita hiyo haiepukiki Ni lazima wapigane hata Kama siyo leoDah....
Vita ikipiganwa itakuwa ngumu sana hii.
Sidhani kama Tanzania inaweza kumuacha Mganda na kumkumbatia Mnyarwanda.
Uganda katika ukanda huu hana rafiki wa kweli ambaye anaweza kukimbia kuomba chumvi mambo yanapokuwa magumu zaidi ya Tanzania, na hili Tanzania inalijua.
Heshima ya Tanzania Uganda ni kubwa sana, hasa kwenye majeshi yao.
Kinachonisikitisha ni mbinu ya kijasusi inayotaka kutumika hapa.
Kwamba Rwanda anataka kumwaga ugali wa Museveni kwa kuipindua dola ya Buganda isiwe ruling class ndani ya Unganda, wakati huo Museveni naye anataka kumwaga mboga kwa kuhakikisha power inahama kutoka kwa watusi kuingia kwa wahutu.
Patamu sana hapo.
Kwa mbaali namuona Nkurunzinza akichekelea mpaka jino la mwisho.
JF bana.... tuliwapiganisha Korea na US humu humu.... [/QUOTE
Dah....
Vita ikipiganwa itakuwa ngumu sana hii.
Sidhani kama Tanzania inaweza kumuacha Mganda na kumkumbatia Mnyarwanda.
Uganda katika ukanda huu hana rafiki wa kweli ambaye anaweza kukimbia kuomba chumvi mambo yanapokuwa magumu zaidi ya Tanzania, na hili Tanzania inalijua.
Heshima ya Tanzania Uganda ni kubwa sana, hasa kwenye majeshi yao.
Kinachonisikitisha ni mbinu ya kijasusi inayotaka kutumika hapa.
Kwamba Rwanda anataka kumwaga ugali wa Museveni kwa kuipindua dola ya Buganda isiwe ruling class ndani ya Unganda, wakati huo Museveni naye anataka kumwaga mboga kwa kuhakikisha power inahama kutoka kwa watusi kuingia kwa wahutu.
Patamu sana hapo.
Kwa mbaali namuona Nkurunzinza akichekelea mpaka jino la mwisho.
AhahahahahahqJF bana.... tuliwapiganisha Korea na US humu humu....
Na jiwe akijiingiza tu nasi waTZ tunaanza kumchapa jiwe tukitokea nyuma yake na waanze tu iyo vitaAcha tu jiwe aharibikiwe. Tena akishindwa ndo nitafurah zaidi
Ahahahahahahahawalisema ngoma drooo.... ile kuna part 2