Uganda Vs Rwanda kimenuka

Uganda Vs Rwanda kimenuka

Serikali ya Uganda imeishutumu Rwanda kwa kuyazuia magari ya mizigo, ya abiria na Wananchi wake kuingia nchini humo

Msemaji wa Serikali ya Uganda, Ofwono Opondo amewaambia Waandishi wa Habari kuwa takribani magari ya mizigo 129 yamekwama kwenye mpake wa Uganda na Rwanda

Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Richard Sezibera amekanusha shutuma hizo na kusema magari yalitakiwa kuvuka kupitia mpaka wa Kagitumba

Akaongeza kuwa mpaka wa Gatuna umefungwa kwa ajili ya kupisha ujenzi

Rwanda imesema kuwa imewazuia raia wake kwenda Uganda kwakuwa wamekuwa wakikamatwa kwa tuhuma za kutumwa kwenda kupeleleza


=======

KAMPALA/KIGALI (Reuters) - Uganda accused Rwanda on Friday of blocking goods trucks and other vehicles from entering the country, and of stopping its nationals from crossing into Uganda amid a resurgence of hostility between the two African neighbours.

Rwandan authorities have been blocking entry to vehicles from Uganda since Wednesday, Ugandan government spokesman Ofwono Opondo told reporters in Kampala, adding 129 cargo trucks were now stuck at the border.

Denying this, Rwandan Foreign Affairs Minister Richard Sezibera said trucks were being diverted to Kagitumba border crossing in the north because of construction at the busy Gatuna border post. "Those who have gone through Kagitumba, they have crossed," he said.

Sezibera said Rwanda was stopping its nationals from crossing the border because Rwandans going into Uganda have been detained and accused of being spies with no consular services provided to them.

"People are coming in, people are going out except for Rwandans who have been strongly advised not to travel to Uganda because of challenges of insecurity that they are facing there," he said.

"It's not up to Rwanda. It's up to Uganda (to sort it out). Of course Ugandans are welcome here, we have no problem on our side of the border."

Opondo said the crossing at Kagitumba was also blocked. Ugandan officials had summoned Rwanda's ambassador to Uganda, Frank Mugambage, to provide an explanation, he said.

Speaking at a news conference before Sezibera's remarks, Opondo also denied that Rwandans were being held for political reasons, saying that if there were any Rwandans in Ugandan prisons they had been processed through the police and judicial system.

The dispute over border crossings appears to be an escalation of the Cold War-style hostilities and allegations by the two countries of supporting each other's dissidents that have been reported in Ugandan and regional media over recent months.

Opondo said Rwandans stopped at the border included traders and hundreds of children who cross the border daily to attend schools on the Ugandan side.

Landlocked Rwanda transports a significant amount of its imports via a trade route passing through Uganda from the Kenyan seaport of Mombasa.

The same trade route serves as a crucial pipeline for Kenyan exports and also helps supply merchandise to Burundi and parts of eastern Democratic Republic of Congo. A protracted halt to people and goods crossing any of the borders along the route has the potential to trigger a major regional economic crisis.

Relations between Rwanda and Uganda have historically alternated between friendly and hostile.

Rwandan President Paul Kagame was once a key figure in the rebel group that catapulted Ugandan leader Yoweri Museveni to power in 1986 and once served as a senior intelligence official in Uganda in the late 1980s. Later Museveni supported Kagame's rebel group that ended Rwanda's 1994 genocide.

But the two countries nearly went to war in the late 1990s after their forces clashed in neighbouring Democratic Republic of Congo where they jointly helped topple former dictator Mobutu Sese Seko before turning on each other.
wanapigana mikwara tu kama wana nguvu wapigane tu sisi tutawauzia mahindi
 
Ndo maana mm namkumbuka saana nduli idd amin hakuwa na maneno mengi yaani kama anafanya mazoezi tu alafu akajinyakulia kagera ndani ya dakika 25 tu

Sasa hizi kobe mbili zinachelewesha mtanange aise

Ira slim achunge saana anaweza kuchezea kisago kutoka pande zote ispokuwa upande wa jiwe tu

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Hahahaha, asee Kisangani war ,OK

Nadhani hii vita mngeijadili kwa upana wake ,maana bila hivyo tutaachana njia panda ,kuna aliyewahi kuingia RDC na akawa tayari (RDF) anaijua miundo mbinu na kuna aliyekuja baadae ( UPDF)

OK uzuri Mjadala uko poa,wengine tubaki wachombezaji tu na kusoma

MTC | 101|
It's an overrated war! A mere dispute hatuwezi kuiita vita but a bit kind of misunderstanding and that's what happened. Uganda na Rwanda were simply allies kumtoa Mobutu. kwa bahati mbaya M7 hakujua mwenzake PK anawaza nini kwa wakati huo. Kagame hawezi shinda vita on clean sheet ila yeye hutumia mbinu ya kuvizia/ambush na ndivyo alivyofanya dhidi ya UPDF. Kwa wakati ule,ilikuwa ngumu kwa Uganda kushinda kwa sababu hakuwa prepared kupigana na mshirika wake but in contrary Rwanda had something else in their Mind. Kwa mtazamo wangu, siyo PK or M7 anatamani vita itokee baina yao kwani utawala wao ndo utakuwa umefika mwisho. wote wana matatizo yao ya ndani ambayo ni more threatening....na ikitokea vita ....ndo ticket ya kung'oka!
 
It's an overrated war! A mere dispute hatuwezi kuiita vita but a bit kind of misunderstanding and that's what happened. Uganda na Rwanda were simply allies kumtoa Mobutu. kwa bahati mbaya M7 hakujua mwenzake PK anawaza nini kwa wakati huo. Kagame hawezi shinda vita on clean sheet ila yeye hutumia mbinu ya kuvizia/ambush na ndivyo alivyofanya dhidi ya UPDF. Kwa wakati ule,ilikuwa ngumu kwa Uganda kushinda kwa sababu hakuwa prepared kupigana na mshirika wake but in contrary Rwanda had something else in their Mind. Kwa mtazamo wangu, siyo PK or M7 anatamani vita itokee baina yao kwani utawala wao ndo utakuwa umefika mwisho. wote wana matatizo yao ya ndani ambayo ni more threatening....na ikitokea vita ....ndo ticket ya kung'oka!
Yes nakubaliana na wewe,ndio maana nikasema km vipi ijadiliwe kwa upana maana kuna vingi vya kuongelea

Tuko pamoja ktk mtazamo wako huu,ahsante

MTC | 101|
 
It's an overrated war! A mere dispute hatuwezi kuiita vita but a bit kind of misunderstanding and that's what happened. Uganda na Rwanda were simply allies kumtoa Mobutu. kwa bahati mbaya M7 hakujua mwenzake PK anawaza nini kwa wakati huo. Kagame hawezi shinda vita on clean sheet ila yeye hutumia mbinu ya kuvizia/ambush na ndivyo alivyofanya dhidi ya UPDF. Kwa wakati ule,ilikuwa ngumu kwa Uganda kushinda kwa sababu hakuwa prepared kupigana na mshirika wake but in contrary Rwanda had something else in their Mind. Kwa mtazamo wangu, siyo PK or M7 anatamani vita itokee baina yao kwani utawala wao ndo utakuwa umefika mwisho. wote wana matatizo yao ya ndani ambayo ni more threatening....na ikitokea vita ....ndo ticket ya kung'oka!
Ukweli kabisa huu.. Pamoja mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini upande wa jiwe tu
Ndo maana mm namkumbuka saana nduli idd amin hakuwa na maneno mengi yaani kama anafanya mazoezi tu alafu akajinyakulia kagera ndani ya dakika 25 tu

Sasa hizi kobe mbili zinachelewesha mtanange aise

Ira slim achunge saana anaweza kuchezea kisago kutoka pande zote ispokuwa upande wa jiwe tu

Sent using my iPhone using jamiiforum app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom