mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,260
- 12,867
Tatizo nikwamba PK hataki kutambua kwamba he can't rule Rwanda kwa amani bila Uganda na pia kujua kwamba Rwanda nikama future province ya Uganda....kumbuka wanyarwanda wanao ishi Uganda wanakaribia idadi ya Wanyarwada wanao ishi Rwanda na nikabila linalo tambulia na katiba ya Uganda.....kwahiyo M7 ana reserve force yakutosha kumuondawa PK kwakutumia wanyarwanda wenyewe PK should play is political cards very well....... otherwise he may disappear from the regionIt's an overrated war! A mere dispute hatuwezi kuiita vita but a bit kind of misunderstanding and that's what happened. Uganda na Rwanda were simply allies kumtoa Mobutu. kwa bahati mbaya M7 hakujua mwenzake PK anawaza nini kwa wakati huo. Kagame hawezi shinda vita on clean sheet ila yeye hutumia mbinu ya kuvizia/ambush na ndivyo alivyofanya dhidi ya UPDF. Kwa wakati ule,ilikuwa ngumu kwa Uganda kushinda kwa sababu hakuwa prepared kupigana na mshirika wake but in contrary Rwanda had something else in their Mind. Kwa mtazamo wangu, siyo PK or M7 anatamani vita itokee baina yao kwani utawala wao ndo utakuwa umefika mwisho. wote wana matatizo yao ya ndani ambayo ni more threatening....na ikitokea vita ....ndo ticket ya kung'oka!
Sent using Jamii Forums mobile app
