Van persie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,099
- 720
Rwanda has no muscles to fight Uganda.Nachukiaga sana hii argument ya kwamba Rwanda inanguvu kubwa ya kivita au watu kuifanya ionekane hivyo.Au kuipaisha kwamba ina jeshi bora kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.Nakumbuka wakati wa vita yetu baridi wakati wa JK,kuna watu walidai Rwanda inaweza kutufunza adabu.This is redecoulously insane!
Kinachoisaidia sana Rwanda ni katika kitengo chake cha ujasusi tu.Na imefanikiwa kutokana kuwatumia watu wenye nasaba na taifa hilo waliohamia katika mataifa mengine kutokana na sababu mbali mbali.Na ujasusi huu ni kwa nchi inazopakana nazo kutokana na watu wake wengi kutapakaa kwenye mipaka ya nchi jirani kwa wingi due to political instability na civil war in the past,mpaka kujipata wameingia kwenye mipaka ya nchi jirani. Mfano kuna jamii kubwa ya watutsi na wahutu Mashariki mwa DRC,Mkoani Kagera Tanzania na kusini magharibi mwa Uganda.Kumbuka kuna baadhi yao waliingia ata kabla ya nchi hizi hazijapata Uhuru.So wamejipenyeza mpaka kwenye vitengo nyeti kwenye nchi hizi.Kwa mfano nchini Uganda wengi wenye nafasi nyeti kwenye vyombo vya usalama ni watu wenye nasaba na Rwanda.Wengi wao wanamliki mali na kampuni kubwa tu Uganda.Kwa hivyo katika vita ya ujasusi may be Rwanda can be stronger than Uganda,coz Uganda is fighting with an enemy within.Hii ni the same story na vita ya Kenya dhidi ya Alshabab.Alshabab inajipenyeza Kenya kwa kutumia jamii za kisomali zilizolowea Kenya na makabila yenye nasaba zinzofanana kutoka katika nchi mbili.Vita yake ni ngumu asikwambie mtu.
Ukisikia Kagame anakujengea jeuri maana yake ana watu wake kwenye sekta nyeti za nchi yako.Yani he will fight you from within,refer kitisho alichomwelekezea JK wakati hul.Lakin vita ya moja kwa moja kwenye uwanja wa mapambano.Hawatachukua hata mwezi dhidi ya Uganda or Tanzania.
Kinachoisaidia sana Rwanda ni katika kitengo chake cha ujasusi tu.Na imefanikiwa kutokana kuwatumia watu wenye nasaba na taifa hilo waliohamia katika mataifa mengine kutokana na sababu mbali mbali.Na ujasusi huu ni kwa nchi inazopakana nazo kutokana na watu wake wengi kutapakaa kwenye mipaka ya nchi jirani kwa wingi due to political instability na civil war in the past,mpaka kujipata wameingia kwenye mipaka ya nchi jirani. Mfano kuna jamii kubwa ya watutsi na wahutu Mashariki mwa DRC,Mkoani Kagera Tanzania na kusini magharibi mwa Uganda.Kumbuka kuna baadhi yao waliingia ata kabla ya nchi hizi hazijapata Uhuru.So wamejipenyeza mpaka kwenye vitengo nyeti kwenye nchi hizi.Kwa mfano nchini Uganda wengi wenye nafasi nyeti kwenye vyombo vya usalama ni watu wenye nasaba na Rwanda.Wengi wao wanamliki mali na kampuni kubwa tu Uganda.Kwa hivyo katika vita ya ujasusi may be Rwanda can be stronger than Uganda,coz Uganda is fighting with an enemy within.Hii ni the same story na vita ya Kenya dhidi ya Alshabab.Alshabab inajipenyeza Kenya kwa kutumia jamii za kisomali zilizolowea Kenya na makabila yenye nasaba zinzofanana kutoka katika nchi mbili.Vita yake ni ngumu asikwambie mtu.
Ukisikia Kagame anakujengea jeuri maana yake ana watu wake kwenye sekta nyeti za nchi yako.Yani he will fight you from within,refer kitisho alichomwelekezea JK wakati hul.Lakin vita ya moja kwa moja kwenye uwanja wa mapambano.Hawatachukua hata mwezi dhidi ya Uganda or Tanzania.