Uganda Vs Rwanda kimenuka

Uganda Vs Rwanda kimenuka

Vita hivyo hata Tanzania tutaona impact yake. Ngoja tuone hiyo ngoma itachezwa na wengi na huenda hilo bifu halitahusu hizo nchi bali kuna mtego unaandaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
India na Pakistan ambao wana majeshi makubwa na mpaka nuclear lakini baada ya wanajeshi 40 kuuliwa na rubani kutekwa na hatimae kuachiwa
Yote hiyo sio kuogopana bali wana angalia maisha na hali itakavyokuwa baada ya vita na kujiuliza je is it worth it?
Vita sio yelemama maana hapo uchumi mliokuwa mnauinua kwa miaka yote na kuuporomosha kwa masaa ni ujinga unaofanyika Africa tu ila wenzetu wenye akili na busara huwezi kuona vita kwao.



Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Dah.! Nakumbuka D.trump alivyosema sisi tunaitaji kutawaliwa tena.

Iv kwel jirani zako wanataka kupigana unafurahia kwl, inamaana hata tz wakipigana na kenya, uganda itashangilia mapigano hayo au sis watanzania tuna roho mbaya kwa kutaka wapigane !?

Mara nyingi sisi watu weusi tunalalamika kuwa tunabaguliwa na watu weupe, embu emagine waafrica tungekuwa juu kimaendelea, alafu watu waupe wakaw maskini kama afrika ya sasa
Ivi ingekuwaje ?
Haliyakuwa unatamani majirani zako wapigane.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajue tu kuwa hasira ni hasara wakawaulize India hasara ya faster waliyoambulia ghafla tu
 
Wewe mkuuu huwa huoni humu kuna watu wanapenda vita kama msosi
Dah.! Nakumbuka D.trump alivyosema sisi tunaitaji kutawaliwa tena.

Iv kwel jirani zako wanataka kupigana unafurahia kwl, inamaana hata tz wakipigana na kenya, uganda itashangilia mapigano hayo au sis watanzania tuna roho mbaya kwa kutaka wapigane !?

Mara nyingi sisi watu weusi tunalalamika kuwa tunabaguliwa na watu weupe, embu emagine waafrica tungekuwa juu kimaendelea, alafu watu waupe wakaw maskini kama afrika ya sasa
Ivi ingekuwaje ?
Haliyakuwa unatamani majirani zako wapigane.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuandika kwa kukurupuka, yaani kuzimwa TV na kufungwa kwa mpaka tu ndo inchi zipigane , fuatilia vizuri utapata majibu yaliyosahihi au Subili wajuvi Wa mambo watakujulisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu mimi sijaelewa kitu hapo zuku ni ya kenya imezimwaje sasa Dstv ni ya wazulu nayo imezimwaje yani misingi ya kuzima hivyo visimbusi ni nini? Jamaa naona analeta udaku
 
Dah.! Nakumbuka D.trump alivyosema sisi tunaitaji kutawaliwa tena.

Iv kwel jirani zako wanataka kupigana unafurahia kwl, inamaana hata tz wakipigana na kenya, uganda itashangilia mapigano hayo au sis watanzania tuna roho mbaya kwa kutaka wapigane !?

Mara nyingi sisi watu weusi tunalalamika kuwa tunabaguliwa na watu weupe, embu emagine waafrica tungekuwa juu kimaendelea, alafu watu waupe wakaw maskini kama afrika ya sasa
Ivi ingekuwaje ?
Haliyakuwa unatamani majirani zako wapigane.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wala usishangae Mtanzania kushangilia kupigana kwa Uganda na Rwanda huku kwetu tuna grupu la nyumbu pale ufipa kwanza hawaombei lolote la maendeleo ya waTanzania liwe zuri chini ya Magufuli Miradi iliyoanzishwa wanatamani ife ndege zilizonunuliwa wanatamani ziporomomoke ilimradi Serikali ya CCM ionekane haijafanya lolote,Sasa hili ni sisi wenyewe sembuse jirani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom