Vita hivyo hata Tanzania tutaona impact yake. Ngoja tuone hiyo ngoma itachezwa na wengi na huenda hilo bifu halitahusu hizo nchi bali kuna mtego unaandaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah.! Nakumbuka D.trump alivyosema sisi tunaitaji kutawaliwa tena.
Iv kwel jirani zako wanataka kupigana unafurahia kwl, inamaana hata tz wakipigana na kenya, uganda itashangilia mapigano hayo au sis watanzania tuna roho mbaya kwa kutaka wapigane !?
Mara nyingi sisi watu weusi tunalalamika kuwa tunabaguliwa na watu weupe, embu emagine waafrica tungekuwa juu kimaendelea, alafu watu waupe wakaw maskini kama afrika ya sasa
Ivi ingekuwaje ?
Haliyakuwa unatamani majirani zako wapigane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Malcom LumumbaWajue tu kuwa hasira ni hasara wakawaulize India hasara ya faster waliyoambulia ghafla tu
Alafu mimi sijaelewa kitu hapo zuku ni ya kenya imezimwaje sasa Dstv ni ya wazulu nayo imezimwaje yani misingi ya kuzima hivyo visimbusi ni nini? Jamaa naona analeta udakuAcha kuandika kwa kukurupuka, yaani kuzimwa TV na kufungwa kwa mpaka tu ndo inchi zipigane , fuatilia vizuri utapata majibu yaliyosahihi au Subili wajuvi Wa mambo watakujulisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uke unawapaje tabu mkuu?Dakika 10 tu rwanda yote itakuwa sehemi ya uganda.we watu wanamiliki mpaka sukhoi alafu uke kuwapa tabu kwenye vita
Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu wala usishangae Mtanzania kushangilia kupigana kwa Uganda na Rwanda huku kwetu tuna grupu la nyumbu pale ufipa kwanza hawaombei lolote la maendeleo ya waTanzania liwe zuri chini ya Magufuli Miradi iliyoanzishwa wanatamani ife ndege zilizonunuliwa wanatamani ziporomomoke ilimradi Serikali ya CCM ionekane haijafanya lolote,Sasa hili ni sisi wenyewe sembuse jirani.Dah.! Nakumbuka D.trump alivyosema sisi tunaitaji kutawaliwa tena.
Iv kwel jirani zako wanataka kupigana unafurahia kwl, inamaana hata tz wakipigana na kenya, uganda itashangilia mapigano hayo au sis watanzania tuna roho mbaya kwa kutaka wapigane !?
Mara nyingi sisi watu weusi tunalalamika kuwa tunabaguliwa na watu weupe, embu emagine waafrica tungekuwa juu kimaendelea, alafu watu waupe wakaw maskini kama afrika ya sasa
Ivi ingekuwaje ?
Haliyakuwa unatamani majirani zako wapigane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu zuku ni ya Kenya na dstv ni south Africa jf ni ya great thinker so weka maelezo vizuri kuna uhusiano upi hapo au Uganda ni agent wa hizo TV provider?
Wa kwanza Mimi napenda sana vitaWewe mkuuu huwa huoni humu kuna watu wanapenda vita kama msosi
Mkuu kwani kakwambia kapanua matako hahahaaaa!Acha uchoko BBC. VOA.CCTV9. ALJAZEERA. RT wana page FB humu 98% ya taarifa zinatoka kule panua akili sio matako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kushuhudia vita au mauaji?
Sijawah ndo nataka nishudie sasa kati ya Uganda na rwandaUlishawahi kushuhudia vita au mauaji?
Usiombee vita hata kidogo aiseView attachment VID-20190301-WA0064.mp4
HahahaUke unawapaje tabu mkuu?![]()