Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,091
- 5,279
Yani ni vituko Africa.Baadaye Museveni atasema ni Bob Wine au magaidi wametumika eheheheee Afrika!.
Bashite huyo asikuchoshe, akili yake haina akili.Yaani wewe ni mpuuzi kuliko upuuzi ulivyo. Una umalayamalaya Fulani, utototo Fulani na ukichaachaa Fulani hivi.
Atakua mbunge wa Chama dola Uganda huyu mama.. na kama sio Pole yake.
Tafuta dikshonariKufuru ni kufanya nini?
Kazi ya laki 6hiyoo..
Ungenyamaza tu kama hutaki kujibu.Tafuta dikshonari
Aisee nakumbuka hiyo nafikiri ni usa au uk waliotoa hilo onyoLile dikteta M7 lilionywa likakaza shingo kuwa vyombo vyake vya ulinzi na usalama vimemhakikishia kuwa hakuna tishio lolote la kigaidi.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Aibu sana kwa watawalaKazi ya laki 6hiyoo..
dah inauma sanaYani hili bara lina changamoto nyingi sana sijui tulimkosea nini MUNGU.
I wish laki 6 ifike na kwa Ndugai na Bunge DHAIFU lake lote, tuanze upya InshaAllah.
Balaaa hili… Museveni aone hii
Kwamba anajinyea? 🤣🤣🤣Sipati picha uhuru yukoje pale jengo jeupe
Naona umekuja kutoa mrejesho mfia dini ya shwetwani..mkianza kupewa kichapo usije humu unalialia.Majeshi ya Museveni yameua hovyo watu wasio na hatia Somalia. Acha waonje utamu wa kuua watu hovyo.
View attachment 2012672
Akifikiria gaidi wa 600000. Na hao sasa wanao vamia majiji hasa la kampala naona nafsi inamsuta sanaKwamba anajinyea?
Mkuu mbona unauliza mwaswali ambayo ndani yake yana majibu?Duu! Inabidi serikali na bunge la Uganda vijitathmin! Swali kwanini walipuaji hawakuwalipua wananchi, wakawalipua maofisa wa polisi? Je kwanini wasilipuwe eneo jingine wakalipuwe mtaa wa bunge??