SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Ofisi nzima kuanzia waziri wapo Uturuki kuponda raha eti wameenda kushangilia timu ya Walemavu/Tembo Warriors.
Swali: Hii wizara kazi yake ni moja tu kushangilia Tembo Warriors?
Huu ni ufisadi was kutisha, rudini mhudumie wananchi wizi ni dhambi.
Tangu msifiwe na Rais sasa imekuwa ndio tiketi ya kuiba hela za wadanganyika.
Swali: Hii wizara kazi yake ni moja tu kushangilia Tembo Warriors?
Huu ni ufisadi was kutisha, rudini mhudumie wananchi wizi ni dhambi.
Tangu msifiwe na Rais sasa imekuwa ndio tiketi ya kuiba hela za wadanganyika.