Ufisadi wa Matrilioni uliotajwa na CAG 2021/2022 umeishia wapi?

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
RIPOTI ya CAG 2021/2022 ilionyesha ufisadi wa kutisha Serikali ambapo Wizara zilizoongoza ni Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Wizara ya Nishati, Wizara ya Fedha na wizara nyingine kidogo kidogo.

SWALI langu: Je, huo Wizi na Ubaridhirifu wa Matrilioni ya Fedha ndiyo umeishia hivyo hivyo au kuna kinachoendelea maana watanzania wote wanaongelea bandari ufisadi wa matrilioni uliobuliwa na CAG tumenyamaza kupiga kelele.
 
Sasa mzee baba watu wenyewe hawa wanyoa viduku na kucheza singeli kuutwa ubishani wa mipira wana jipya gani?

Inaumiza sana yani watu wanaumia wengine wanajichotea tu.
 
RIPOTI ya CAG 2021/2022 ilionyesha ufisadi wa kutisha Serikali ambapo Wizara zilizoongoza ni Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Wizara ya Nishati, Wizara ya Fedha na wizara nyingine kidogo kidogo...
Wabongo bana!!!!

Audits Query sio lazima iwe wizi. Asilimia kubwa ni hoja na zikijibiwa zinafutwa. Kuna mazwazwa wakiona data zimetolewa na mzibiti na mkaguziwanazichukua data hizo na kuziita wizi.

Zinakuwa wizi pale ambapo hazijajibiwa ndani ya muda uliowekwa kisheria
 
Nchi ngumu sana hii watuhumiwa ripoti ya CAG ndio hao hao tena kwenye Bandari
 
Back
Top Bottom