haya haya tenaAfadhali GT umeleta uwanja mpya wa kujadili hii issue, nimejaribu kupost kwenye thread ile ya kumpongeza naona hakuna response au ndio double standard kuna post hapa nime 'iba kule' kuna watu waliuliza lakini hawakupata majibu
I asked those questions kama kuna mtu ajibu, ila aidha watu hawajaona, au hawataki kujibu!
He has to be real estate manager, he has to be professional in that sector, this is not minister's positions. japo nazo tunaona kabisa tunahitaji wataalamu husika wa hilo eneo. He still fit on the company but on the financial issues, au kuwa msaidizi wa director mkuu. I believe Ernst and Young walishauri hivyo
The guy may be clean, ila kawekwa pale kwa kazi maalum, we have been living in this agony for 47 years! why are we forgeting these so easily?
napita tu humu