Ufisadi hasa ni nini?

kualikwa kwenye midahalo haimaanishi eti wewe ni dr wa ukweli yule ni mtu mwenye tamaa na wivu wa umaarufu

Umaarufu hautafutwi kwa kutumia akili vizuri. Hutafutwa na mtu anayejidhania kwanza anastahili kuwa juu lakini akikiri moyoni kuwa hapaswi kuwa juu. Hii ndio uleta msemo wa "desperate times call for desperate measures". Jiulize Dr. Juma Kapuya, Dr. Kigwangala, Dr. Mrema kwanini hawajaalikwa katika midahalo ya kichambuzi. Dr. Lwaitama anatofauti moja na wengine wote - ni jasiri na msema kweli hadharani. Huenda wengine hao ni wasema kweli lakini si jasiri wala hawawezi kusema vitu katika hadhara.
 
Sio wewe ndio unamuonea wivu kwa kuwa ni Dr wa ukweli na ni timamu kuliko JK.

Dr Lwaitama is a senior lecturer, Philosophy Programme (Unit), University of Dar es Salaam

Nilimkubali mwaka 1995 baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi huko Zanzibar. Dr. Lwaitama alitoa uchambuzi pole Nkrumah hadi watu wakainua mikono juu na kuipiga piga kwa pamoja (makofi) mengi tuuuu. Mwenyekiti wa UDSM Philosophical Club!!
 
Napenda alivyo mkweli huyu mzee! Hana tofauti na prof Mwesiga Baregu! Wakweli japo ukweli wao mara nyingi unawaponza.Laiti kama serikali yetu ingependa kupata na kufuata ushauri wa wasomi kama hawa tungekuwab mbali sana.
 
Napenda alivyo mkweli huyu mzee! Hana tofauti na prof Mwesiga Baregu! Wakweli japo ukweli wao mara nyingi unawaponza.Laiti kama serikali yetu ingependa kupata na kufuata ushauri wa wasomi kama hawa tungekuwab mbali sana.

Lakini mkumbuke kwamba alikuja external examiner mmoja kutoka uingereza kuangalia mitihani ya philosophy aliyosahihisa 'dr wa ukweli' katika maswal ya logic wanafunzi waliyowekewa na dokta huyo external examiner alikundua majibu ya wanafunzi hao yote yalikuwa falacy sasa ukweli wa dokta huyo uko wapi?
 
Elewa tu amebobea katika falsafa(philosoph)sasa uliza falsafa ni nini tukikuchambulia ndipo utabro kijana hii ni smart course na inakufanya uwe na uwezo mpana sana wa kufikiri(deep and broad thinking capacity)kwa kweli course hii ni ngumu lakini ukiifahamu ni tamu sana na mara nyingi hutolewa katika seminary kuu za wakatoliki ambazo zinaandaa mapadri na huchukua miaka kati ya 2au3 huko huko husoma full course ya falsafa nafiki imeeleweka mkuu.
 
Lakini mkumbuke kwamba alikuja external examiner mmoja kutoka uingereza kuangalia mitihani ya philosophy aliyosahihisa 'dr wa ukweli' katika maswal ya logic wanafunzi waliyowekewa na dokta huyo external examiner alikundua majibu ya wanafunzi hao yote yalikuwa falacy sasa ukweli wa dokta huyo uko wapi?

Huyu ni Lecturer UDSM falsafa na mawaslinao [philosopher & communication skills] au huyo examiner ni lazima ashindwe kwa kuwa falsafa ya Africa na communication skills ni vitu vinavyo husiana na mazingira halisi ya sehemu husika huku kukiwa na issues ambazo ni current kwenye society husika.Hivyo hawezi kutoka mtu ulaya kaja kuexamine watu bongo kisha utegemea majibu ya falsafa au mawasiliano ya Africa sawa na Ulaya.
 
kualikwa kwenye midahalo haimaanishi eti wewe ni dr wa ukweli yule ni mtu mwenye tamaa na wivu wa umaarufu
Ungebahatika kwenda chuo pale UDSM huyu bwana angekufundisha critical thinking and argumentation then usingekuwa unaandika hizi pumba zako hapa.
 
Lakini mkumbuke kwamba alikuja external examiner mmoja kutoka uingereza kuangalia mitihani ya philosophy aliyosahihisa 'dr wa ukweli' katika maswal ya logic wanafunzi waliyowekewa na dokta huyo external examiner alikundua majibu ya wanafunzi hao yote yalikuwa falacy sasa ukweli wa dokta huyo uko wapi?


Hii ndio inaitwa "mning'inio wa ukoloni" eti examiner kutoka uingereza... Miguu yako??
 
Hivi na wewe umeanza kupotoka kwa kiasi kikubwa,Hv ukitaja madoc na kigwangala unamtaja kweli!!!!!Huyo jamaa ana degree moja tu hana lolote msipende kumtajataja.Maana list uliyomweka nayo ni kubwa au uliishiwa majina ya kutaja mkuu?
 
Lakini mkumbuke kwamba alikuja external examiner mmoja kutoka uingereza kuangalia mitihani ya philosophy aliyosahihisa 'dr wa ukweli' katika maswal ya logic wanafunzi waliyowekewa na dokta huyo external examiner alikundua majibu ya wanafunzi hao yote yalikuwa falacy sasa ukweli wa dokta huyo uko wapi?
Tupe ushahidi mkuu, madai kama haya ni makubwa mno huwezi kuyamwaga hapa bila kuyajengea uhalali. La si hivyo wewe ni mzushi wa kutupwa.
 
Elewa tu amebobea katika falsafa(philosoph)sasa uliza falsafa ni nini tukikuchambulia ndipo utabro kijana hii ni smart course na inakufanya uwe na uwezo mpana sana wa kufikiri(deep and broad thinking capacity)kwa kweli course hii ni ngumu lakini ukiifahamu ni tamu sana na mara nyingi hutolewa katika seminary kuu za wakatoliki ambazo zinaandaa mapadri na huchukua miaka kati ya 2au3 huko huko husoma full course ya falsafa nafiki imeeleweka mkuu.
Kwanini BAKWATA wasiwapeleke watu wao huko?
 
Hili swali aliulizwa zomba kwenye debate akapotezea...
 
Last edited by a moderator:
Leo nimekaa na kuwaza kidogo kwa sababu katika pita pita yangu nimekutana na mfanyakazi mmoja wa ngazi ya juu ambaye anasema akiitwa fisadi ni kama "promotion" na hivyo kuandikwa magazetini ni sifa ya aina fulani.

Hofu yangu ni kuwa mtu kuitwa "fisadi" kunaanza kuwa kama kumwambie mtu "duh, jamaa mshenzi sana".. kwa maana nzuri kwamba jamaa amechangamka sana katika mambo yake.

Sasa naomba tuweke vitendo ambavyo tunaweza kuviita ni vya kifisadi? Je ni vitendo vya sifa kuwa fisadi?

Fisadi ni mtu Corrupt - hiyo ndio maana yake kwa lugha yetu ya kiswahili. Lakini tukienda mbali zaidi, fisadi lacks integrity (uadilifu); ni mtu ambae hayupo straight kwani he/she is evasive and dishonest; fisadi pia lacks morality (hatenganishi right and wrong katika matendo na maamuzi yake);

Kwahiyo fisadi as a content si sifa bali it is the context that comes into play; watanzania wengi live in a context of total hopelessness and despair kwani kwa muda sasa CCM na serikali yake imeshindwa kutengenzea watanzania mazingira yanayotoa opportunity for prosperity and success and an upoward social mobility kutokana na jasho la mtu. Matokeo yake ni kwamba ni watanzania wachache sana ndio wanafanikiwa kimaisha; ni katika hali hii, mtu akifanikiwa kiuchumi/kifedha, regardless of the means, anageuzwa kuwa hero na role model, hence the term ufisadi getting a positive connotation. Huu ndio mtazamo wangu.
 
Fisadi ni mtu Corrupt - hiyo ndio maana yake kwa lugha yetu ya kiswahili. Lakini tukienda mbali zaidi, fisadi lacks integrity (uadilifu); ni mtu ambae hayupo straight kwani he/she is evasive and dishonest; fisadi pia lacks morality (hatenganishi right and wrong katika matendo na maamuzi yake);

Kwahiyo fisadi as a content si sifa bali it is the context that comes into play; watanzania wengi live in a context of total hopelessness and despair kwani kwa muda sasa CCM na serikali yake imeshindwa kutengenza watanzania mazingira yanayotoa opportunity for prosperity and success and an upoward social mobility kutokana na jasho la mtu. Matokeo yake ni kwamba ni watanzania wachache sana ndio wanafanikiwa kimaisha; ndio maana mtu akifanikiwa kiuchumi/kifedha, regardless of the means, anageuzwa kuwa hero na role model, hence the term fisadi getting a positive connotation. Huu ndio mtazamo wangu.
Hili la neno la kashfa kuonekana kama sifa sio katika siasa peke yake. Ni culture nzima ya promotion ya antivalues imeingia Tanzania. Inaanza na vitu vidogo vidogo kama mtoto kupigana shule na kuonekana ndie anafaa, watoto wadogo kujishughulisha katika ngono wakiwa bado primary au secondary school, kukataa kuvaa condom, kua na sexual partners wengi bila wenyewe kutambuana, na yanaendelea kwenye mambo makubwa kama wizi, ufisadi, ulaji wa rushwa, kufanya fujo bungeni ili hoja muhimu zisijadiliwe kwa wakati, kudharau wapiga kura etc. kuanzia juu hadi chini, chini hadi juu, kumekua na promotion ya antivalues katika jamii.
 
Leo nimekaa na kuwaza kidogo kwa sababu katika pita pita yangu nimekutana na mfanyakazi mmoja wa ngazi ya juu ambaye anasema akiitwa fisadi ni kama "promotion" na hivyo kuandikwa magazetini ni sifa ya aina fulani.

Hofu yangu ni kuwa mtu kuitwa "fisadi" kunaanza kuwa kama kumwambie mtu "duh, jamaa mshenzi sana".. kwa maana nzuri kwamba jamaa amechangamka sana katika mambo yake.

Sasa naomba tuweke vitendo ambavyo tunaweza kuviita ni vya kifisadi? Je ni vitendo vya sifa kuwa fisadi?

Nadhani dhanna nzima ya neno "fisadi" inakosa mshiko. Ikumbukwe kuwa ufisadi unaweza kuwa wa aina nyingi sana, ufisadi wa wizi, ufisadi wa ngono, ufisadi wa mali, ufisadi wa kuharibu tu, ufisadi wa kuchukuwa wake za watu.

Ukitazama kwa mantiki hiyo pana utaona mtu anarusha shutuma kuwa fulani ni "fisadi" lakini haainishi ufisadi wake ni nini. Huyo ni kama debe tupu haliishi kutika ni wa kumpuuza tu na hafai kujibiwa.

Nadhani umenielewa.
 
Askofu Gamanywa amesema neno ufisadi linamaanisha ukosefu wa maadili uliopitiliza kwa tafsiri ya Kibiblia na kiyunani. Amesema Tanzania ni nchi inayoongoza kwa uchawi na ushirikina kusini mwa sahara na 93% ya watanzania wanaamini ushirikina kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na taasisi 1 ya Marekani. NANI katufikisha hapo? amesema hayo hapa DSA mbeya ktk mkutano wa injili. Je tuendelee kudumu gizani/ufisadini?

HAPANA tuweke uongozi wenye HOFU ya Mungu madarakani sasa, sisi 7% tunaweza kuwa mfano!!
 
Back
Top Bottom