Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,378
- 39,319
Leo nimekaa na kuwaza kidogo kwa sababu katika pita pita yangu nimekutana na mfanyakazi mmoja wa ngazi ya juu ambaye anasema akiitwa fisadi ni kama "promotion" na hivyo kuandikwa magazetini ni sifa ya aina fulani.
Hofu yangu ni kuwa mtu kuitwa "fisadi" kunaanza kuwa kama kumwambie mtu "duh, jamaa mshenzi sana".. kwa maana nzuri kwamba jamaa amechangamka sana katika mambo yake.
Sasa naomba tuweke vitendo ambavyo tunaweza kuviita ni vya kifisadi? Je ni vitendo vya sifa kuwa fisadi?
Hofu yangu ni kuwa mtu kuitwa "fisadi" kunaanza kuwa kama kumwambie mtu "duh, jamaa mshenzi sana".. kwa maana nzuri kwamba jamaa amechangamka sana katika mambo yake.
Sasa naomba tuweke vitendo ambavyo tunaweza kuviita ni vya kifisadi? Je ni vitendo vya sifa kuwa fisadi?