MTU hatari anayenyamazia ufisadi huku wengine wakiumizwa' hafai Nimeandika haya baada ya kuona Magufuli anawaambia watu wawazomee Mafisadi
Nikajiuliza ni wale waliokata majina ya wengine na kumpitisha yeye awe Mgombea ili akipata Urais kawalinde wao kwa ufisadi walioufanya wakati
Magufuli akinyamazia kwa miaka 22 serikalini ?
Hata Kama Ana nia nzuri atawezaje ndani ya (Mfumo) Ccm ambalo ndilo tatizo LA msingi LA umasikini wa Tanzania ?
Toka Kampeni Hakuna Mahali popote Magufuli ameahidi kupambaba Na ufisadi Unaowatesa watanzania wa Richmond 'Epa' Meremeta'Buzwagi uuzwaji wa Nyumba zaWananchi ;Dawa za kulevya Na Nyara za maliasili kama tembo nk
Anachofanya ni kuungaunga MANENO ya ufisadi wa wizi wa kuku Na vibaka kwenye Halimashauri ambako anajua atakamata dagaa Na wala Sio wale
Watuhumiwa wakubwa waliomuwezesha kufikia hapo alipo !!
Kubwa zaidi aliyebebwa hajui mwendo wa Safari !!
Kwa maoni yangu Mimi Leo Ni kujidanganya mwenyewe kudhani Kila Meneja anaweza kuwa Msimamizi Na kiongozi ?
Ninaomba kwa wenye ufahamu mpana watupe tafsiri sahihi ya neno "FISADI" Tafsiri hiyo itatusaidia watanzania kujua maana sahihi kuliko sasa kwani neno hili limekuwa linatumika isivyo sahihi.
Ndugu wana jamii nimekuwa nafuatilia sana matamko ya watu Juu ya neno fisadi lakika sijapata maana take sahihi naomba nifahamishwe pamoja Na wengine.Pia nimekuwa nasikia Fulani fisadi au hao ni mafisadi je ili uitwe fisadi unatakiwa uwe Na sifa zipi au umefanya nini?Naomba ufafanuzi wenu.
Wadau naomba nipatiwe tafsiri ya neno Fisadi.Na je ili uwe au uitwe Fisadi unatakiwa uwe na sifa zipi. Nadhani tukipata hiyo tafsiri tutajua fisadi ni nani tofauti na sasa mtu akiamua kukuita fisadi anakuita hata kama huna sifa za kuwa Fisadi.
Sina uhakika hasa na maana ya hili neno hasa linapotumiwa na wanasiasa. Nadhani ni sifa ya kisiasa anayopachikwa mtu anapoonekana kukinzana kimtazamo na wanasiasa wenzake.
Kwa anayejua maana ya neno UFISADI atufahamishe Kwa watanzania walio wengi hawajui maana ya neno hilo hali ambayo inawafanya walitumie hata pasipo stahiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.