Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,585
- 93,278
Kwenye Kuisafisha Richmond DPP alihusika vipi? Hii ni Taasisi ya Kupamba Rushwa basi... Haina kazi nyingine, tusimsingizie DPPTakukuru wanafanya kazi, DPP mwenye dhamana ya kushitaki watuhumiwa ndio kazuiwa. Waambie wabunge watunge sheria na waanzishe mahakama maalum ya kesi za rushwa kama ilivyo kesi za kazi na ardhi hlf waruhusu takukuru kushitaki bila kupitisha kwa DPP uone moto utakavyowaka!
Hoseah ashawaambia kupitia weekleaks!, msimuonee
Sidhani kama tarehe ni ishu kubwa kwa kuwa mchungaji amesema kanisa lilitangulia kulaani tukio la kuteswa kwa Dr Uli. Pia makanisa ya kipentekoste huwa yana ibada nyingi za katikati ya wiki, cha muhimu hapa ieleweke huyu mtu alienda kanisani baada ya tukio la kutekwa Uli. Akina Kova walikiri mbele ya walinzi wa kanisa kuwa jamaa ni kichaa wasihangaike naye hivyo Kova amelitangazia taifa huku anajua mazingira yanayomzunguka huyo GunStar ni utata mtupu. Kova ni janga la kiduniaMkuu Mnyakatari, hapa umewahi kuelezea wasiwasi wangu juu ya upangwaji wa hii habari na tarehe za matukio.
1. Jumapili pekee ya karibu na tukio ni Jumapili ya tarehe 1/7/2012 na wala sio tarehe 26/6 kama Mchungaji anavyosema.
2. Lakini juzi tarehe 13/7, Kova alituambia kuwa tukio la huyu Joshua kujipeleka kanisani lilitokea tarehe 29/6 (yaani Ijumaa).
Mimi simezi maneno ya Kova wala ya Mchungaji - Wote wajipange upya, hata kama ni uongo, basi watupe uongo wa kweli na sio uongo wa kiuongouongo.
Honga ngoshi!.....wamanya wasambaa wanasema ukitandika mvyedi na ugoshe mvyedi. Tutafika hagoshowa ndima za kibahau, pumbavu kabisa.Kwenye Kuisafisha Richmond DPP alihusika vipi? Hii ni Taasisi ya Kupamba Rushwa basi... Haina kazi nyingine, tusimsingizie DPP
Hebu tuwekane sawa jamani, Dr Ulimboka si alitekwa usiku wa kuamkia tar 27 June 2012?
may God rest his soul in peace
Ngwajima na kuomba urudishe nguo za kova yani umemuacha mtupu bila huruma:
Mkuu DALLAI LAMA,
Tume huru ni wazo zuri sana, lakini sidhani kuna mob psychology katika Tanzania yenye uwezo wa kushikiza hilo hadi litimie. Watanzania ni waoga kuku ana nafuu. Of course mimi pia ni mtanzania. Kwa hiyo sijajitenga na hiyo lawama.
``polisi
-tume imeundwa
-ulimboka akahojiwa
-tume ikaanza uchunguzi
-mwezi july gangster amejisalimisha
-tume imekamilisha uchunguzi na kutoa report [gangster na silencer wahusika]
GWAJIMA
-mtuhumiwa alikamatwa kabla ya tume ya uchunguzi kuundwa
-gangster alijitokeza june
-
Najaribu kuunganisa hizi facts kwa bahati mbaya sana haziunganishiki
USHAURI
- serikali ikae kimya kuhusu swala la ulimboka kwakuwa watanzania ni watu wa matukio na wakikaa mwezi mmoja watasahau kabisa hili swala
@Ulokolokwitanga Mkuu, angalia hili dondoo hapa chini, na urejee kuangalia hizo red&blue:1. Sidhani kama tarehe ni ishu kubwa kwa kuwa mchungaji amesema kanisa lilitangulia kulaani tukio la kuteswa kwa Dr Uli. 2. Pia makanisa ya kipentekoste huwa yana ibada nyingi za katikati ya wiki, cha muhimu hapa ieleweke huyu mtu alienda kanisani baada ya tukio la kutekwa Uli. Akina Kova walikiri mbele ya walinzi wa kanisa kuwa jamaa ni kichaa wasihangaike naye hivyo Kova amelitangazia taifa huku anajua mazingira yanayomzunguka huyo GunStar ni utata mtupu. Kova ni janga la kidunia
- Baada ya ibada ya jpili alikuja mtu ambaye yupo kama kichaa akasema anataka amwone Mch Kiongozi. Walinzi walimkatalia kwa vile hawakumwelewa. Mtu huyo akasema anataka kumweleza mchungaji kuhusu wao kumteka Dr Ulimboka.
- · Walinzi baada ya kuona huyu ni mhalifu ambaye labda ametumwa au alikuwa na nia ya kufanya uhalifu wakapeleka polisi. Jambo hili liibuka tarehe 26.6 na wala si juzi. Baada ya kumpeleka polisi wakamwacha pale na hawakufuatilia tena
Hakuna Press Conference inayoizidi hii JF. hapa vyombo vyote vya habari tayari News room zao wako kwenye hii thread, wewe subiri magazeti ya kesho upate salamu ndio utaijuwa vizuri kama ulikuwa huijui JF.``
Gwajima kashaita Press Conference kusema haya? Kama alivofanya Kova SULEIMAN ambako kimsingi ilikuwa ni kupaka matope kanisa lake? Nadhani aite press kwa faida ya wale ambao pia hawafiki kanisani kwake
Maafisa wote wa Polisi wenye cheo cha kamishna nawaomba muitishe kikao cha dharura, aitwe ACP Msangi mbele yenu atoe maelezo yake. Pia aitwe kamanda Kova atoe maelezo yake kuhusiana na huyo 'kichaa' kutoka kenya.
Baada ya hapo mtoe taarifa kwa umma kupitia msemaji wa jeshi la polisi ili kurudisha imani kwa wananchi. Endapo itathibitika kuna mchezo mchafu, kova na msangi wasimamishwe kazi mara moja kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yao.