Hata wewe mkuu una miID kibao Kama unakumbuka juzi nilikuambiaHivi wewe uchoki na hizo Multiple ID's usilete ujanja wa Segerea unajiona mjanja wakati Invisible na sisi wajanja tunakuchora tu ukauzu mwingine bana.
Mkuu Karibu na hii Id yako mpya Ngoja niangalie mtu aliyepigwa ban Jana au Leothere are curently 810 users browsing this thread...........
asante sana kwa kunikaribisha.....Mkuu Karibu na hii Id yako mpya Ngoja niangalie mtu aliyepigwa ban Jana au Leo
Sijawahi kusikia mtu kapelekwa mahakamani na kashtakiwa wakati material witness yuko hospital. Ulimboka akikana kua huyo mkenya sie aliyemdhuru itakuaje?
Walinzi hawakumruhusu kumwona Mch Kiongozi kwani walidhani ni kichaa au aliyekuwa na mission. Hata hivyo mtu huyo hakusema anataka kumwona Mch kutubu maana ni kanisa Katoliki pekee lenye utaratibu wa kutubu kwa Padri
sio material witness pekee (nikimaanisha victim kwa ulivyomtaja ulimboka) ndiye muhimu kuliko other witnesses. kumpeleka court kama wameshafanya hivyo hawajakosea kitu chochote, kwani si lazima ulimboka atoe ushahidi kama kutakuwa na mashahidi wengine potential kuliko yeye. Binafsi, nikiwa out of topic, nilimwonea huruma ulimboka kwasababu mateso aliyoyapata ni makubwa kupta kiasi, na yanaweza kumfanya mwanadamu yeyote achanganyikiwe akili kwasababu haielezeki...unangólewa kucha, meno, unapigwa, uko chini ya utekaji, pigwa hadi asubuhi, watu wanakujadili kuwa wanataka kukuuua, alafu mwishoni wakifikiri umekufa wanakutupa na wewe unapona kwa neema ya Mungu.....ni mateso beyond any human understanding/explanation.Sijawahi kusikia mtu kapelekwa mahakamani na kashtakiwa wakati material witness yuko hospital. Ulimboka akikana kua huyo mkenya sie aliyemdhuru itakuaje?
SaidAlly, tatizo ni hili...usilolijua ni kama usiku wa giza, Waanglikana na padri wapi na wapi!Udini uko wapi sasa hapo?? au kwakua umeona SaidAlly amecomment ndio umeanza na hisia za Udini??
Nilichopinga hapo ni kua Wakatoliki peke yao ndio huwa wanatubu kwa Padri, hiyo sio kweli hata Waanglikana wanatubu kwa Padri pia. Tatizo ni lipi hapo?? Fanya utafiti utabaini na sijasema hivyo nikiwapuuza isipokua ndio utaratibu wa dini zao ulivyo.
Nieleze udini uko wapi hapo ili kama nimekosea niwatake radhi nitakaokua nimewakwaza, ninachokiona hapo wewe ndio mdini maana umeacha kutafuta ukweli umekimbilia kutazama jina SaidAlly.