Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,648
hili game kweli ni zito nimeanza kukubali ,
Mhhh, naona ni kazi kweli kweli kuangalia hii mechi. Kama ingewezekana basi ningetoka kidogo ili nikute mpira umeisha. Ni roho mkononi full time. Ngoja tusubiri dak 45 zijazo.