UDSM student hangs himself - ni wa Mwaka wa Kwanza, kisa majibu ya Daktari

Hakupata Counselling ya kutosha kwasababu alipima UDSM angeenda hospital kubwa kubwa HIV+ sio issue kwa sasa!!
 
  • Thanks
Reactions: awp
Nikiwa mshauri nasaha wa HIV/AIDS victims naumia na kusikitika sana mtu anapojiua kwa sababu ya kuathirika. Jamani kupata HIV sio mwisho wa maisha. Naomba tafadhali tusijihukumu. Kuna watu wameishi na HIV kwa zaidi ya miaka 20 na hawajaanza kutumia dawa za kufubaza virusi.
 
Duh, counselling muhimu sana kabla ya kupima jamani! HIV siyo mwisho wa maisha, hili inabidi watu waelewe.
 
R.I.P Joseph
Nafikiri hakukuwa na ushauri nasaha w akutosha kwa huyu kijana maana HIV sio mwisho wa maisha bado angeweza kutumia dawa akaendelea na masomo yake
Ila hizo "some difficulties" ndo hatujui ni nini zaidi
Upumzike kwa amani japo umeyakatisha maisha yako
 
kama alikuwa na nguvu z akufunga hicho kitanzi na kujiua, inaonyesha bado alikuwa na afya njema ya kuendelea kuishi zaidi! Ni kanseling haikumkaa kichwani au ilikuwa hafifu au hakupewa kabisa.UKIMWI NOMA WANDUGU!
 
Lete ushahidi wa kupinga nilichosema na siyo link kama za JF tu ambazo ni Q & A.

I will rest my case with you.......many thanks

At this time, we cannot say what is the longest amount of time a person can live with HIV. This is because there are some people who have been infected for many years (since the epidemic was first recognized in the early 1980s), and they are still alive today. Some of these patients have been found to have rare genetically defective strains of HIV that are not causing them any significant illness thus far.


One recent study used mathematical modeling to predict that some HIV positive people (perhaps 10% or more) may live up to 25 years without getting AIDS. Because HIV has only been studied since the early 1980s, we cannot say at this time how accurate this mathematical model may be. Only time and experience will answer this question.


Because treatments have improved so dramatically over the past few years, we cannot say how long the average person can now live with the disease. Since things are changing so quickly in regard to treatments, all we can say that people are living longer, but we don't yet know how long most will live. A person can potentially live for years, even with full-blown AIDS, but just how many years is highly variable from person to person. What we can say is that the vast majority of people infected with HIV will develop AIDS sometime during their life (an average of 10 years or more after infection), and with early intervention and treatment, they could potentially live with AIDS for many years more. The following are some of the many variables that can determine how long a person can live with HIV.


1) How well the person takes care of themselves medically. People who live a healthy lifestyle (diet, exercise, etc.) tend to live longer. People who have other medical problems, and/or those with a history of substance abuse, may not live as long.


2) How well the person takes care of themselves emotionally. People with a positive mental attitude tend to live longer than those with a pessimistic or negative mental attitude.


3) The virulence of the strain of HIV. Some strains of HIV may be more virulent than others. We have already found cases where a person was infected with a rare genetically defective strain of HIV, and that strain was not causing any significant illness (so far).


4) Drug resistant strains of HIV. People who have drug resistant strains of HIV may not live as long, if the drugs that are available are no longer effective. But if a person is responding well to their medications, they are expected to live longer.


5) The genetic make-up of the person. A few people have genetic mutations in their white blood cells (including mutations in the CCR-5 receptor and other receptors), that can slow down the progression of the disease.


6) Partial Immunity???? I have to put question marks after the word "immunity", since there is no definitive proof thus far that anybody has a true documented immunity to HIV. But, in persons who are living prolonged periods of time with HIV (and not developing AIDS), this possibility cannot be excluded.


It is very hard to know what the longest amount of time is that one can live with HIV/AIDS. Often, it is difficult to predict exactly how long a person has been infected with the virus, since people progress from HIV to AIDS at different rates. Some people progress to AIDS very quickly, and others progress very slowly. But we do know that there are some infected individuals that can live for many years with the virus.
 
ah what the hell, ametatua matatizo so nothing to worry abt....alikuwa kasha lose hope ya maisha
 
duuuh HIV noma lakini jamani
rip kijana mdogo
so alianza mapenzi secondary? ni hatari lakini

aliyekuambia ukipiga au kupigwa kwa mna mrefu unapata HIV nani?
at anytime only one second unapata!
 
Vijana wa chuo someni kwa bidii acheni dhambi coz malipo yake ni mauti.ona huyu dogo 21yrs aisee ....inasikitisha

Alafu hayo mabumu tumieni vizuri sio kununua mavitu kama simu nzuri nk hiyo ni kukuwezesha wewe ule stationary nk sio mshahara huo mpaka mkalewe,muhonge wadada ambao wanapata mabumu kama nyie
kuweni makini dunia haina huruma shauri yenu

Last but not least Mcheni Mungu matamaa, anasa nk vitawakimbia vingineya hamwezi kusurvive vyuoni coz kuna majini ya ngono,ya kubadilisha life style za watu,ya kuchetua watu bila Mungu hamwezi kushinda vishawishi na matukio kama hayo ya kujinyonga
 
my goodness!Hakuwa na haja ya kujiondoa uhai wake,inasikitisha kijana anapoamua kuchukua maamuzi mazito dhidi ya maisha yake.Kwa kweli Mwenyezi Mungu amsamehe bure nadhani na namna ambavyoalitafsiri kwa haraka juu ya ukimwi but kama angempata mshauri mzuri yasingetokea.R.I.P Dickson!

sio dickson ni lugemalila joseph ndio aliekufa duu inauma sana hata chuo hkina data zaidi ya admission namba..
 
watu wajiepushe kupata HIV

Unafanyaje Smile, mfano una mumeo au mpenzi wako ambaye wote mmepima na kujikuta negative, after a while anakuletea? Mtakuwa mnapima every other day?

Au kama mdau aliyesema hapo juu, umezaliwa nao?

Nafikiri si nzuri kuhukumu, sio wote waliopata ni malaya na sio wote ambao hawana ni saints. Wewe mwenyewe ulikuja humu kwa furaha baada ya kupata majibu ya negative; ile furaha yako ilionesha kuwa you are no saint!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom