babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 16,313
- 20,902
nakuaminia hapoBabuu
Afu mbona sijawahi kuwa kilaza, toka O level shule ya bweni (single sex), Advance Special School, Chuo UDSM hapo COET.
Sema nn sometimes najichetua ili maisha ya flow vile yanataka kuwa.
ππππππ
atoe mpapa tu hapo atapewa maksi zote.mbapa tenaDunia imebadilika sasa. Pengine qualification pekee sio kigezo. Labda aongee watu vizuri.
Kama pazuri mbona hukukimbilia hukoEti jamanii mbona napo pazuri tyuuh.
yes ndio maana twasema aombe MuSTHajachaguliwa, nimemshauri round ya 2 asichague Udsm achague DIT au MUST.
sasa sijui yeye maamuzi yake.
Kwani ni lazima wachaguliwe UDSM!? Waombe Vyuo vingineHabarini wana jukwaa.
Nimeona nije hapa jukwaani nitoe hili jambo, huenda nitapata ufafanuzi.
Nimekuwa nikikutana na malalamiko ya wanafunzi waliomaliza form 6 mwaka huu, wanaotarajia kujiunga na vyuo hivi karibuni. Wengi wao wanalalamika kuwa kila waombapo nafasi UDSM wanakataliwa, na wengine wanadiriki kusema kuwa vigezo sahihi wamekidhi kulingana takwa husika.
Sio mtaani wala mtandaoni ni malalamiko juu ya vijana na mabinti wanaotarajia kujiunga na Elimu ya Juu. Kuhusu Kukataliwa kuwa admitted hapo UDSM.
kuna huyu jirani yangu, yeye alisoma Ilboru Sec mchepuo wa PCM, kapata 1 ya 5, kachagua Udsm Course ya Civil Engineering, kakosa, bas analalama kila muda, hapa hata mie nimeshanga, huyu vigezo amekidhi kabisa, au labda huu mwaka 1 ya 3 na 4 ziko nyingi, hivyo inafanya wenye 5 na kuendelea wakose nafasi hapo COET?
Na Malalamiko ni kwa kila kada wanalalama mno, huku wakiwa na 1 zao nzuri, shida nn? Au utaratibu umebadilika hapo siku hizi? Kulikoniii?
Najua hapa kuna wafanyakazi, wana taaluma, wahadhiri, kutoka hapo UDSM, hebu mje mtoe ufafanuzi kutuondolea sintofahamu hii, maana huku uraiani hali ni mbaya watoto wanavurugwa vibaya, wakati ndoto zao ni kuwa hapo Mlimani main campus.
Tujuzweee kulikoniiiii?
Kama wewe hukuona cha kusoma huko iweje wao? Kwanza hakuna hata mto, bahari tutakuwa tumewaonea sana watu wataogelea wapiπππππ wee mzungu pori unikome, sasa huko Jangwani ningeenda kusoma nn?
au afanye application MIT angekuwa computer science ningemshauri akafanye Stanford university. anyway ni mdada au mkaka nimtafutie hostel?Haswaaa
Wenye 1 ya 3 na 4 ni wengi saaana kwa hio wanawachukua hao na wenye 1 ya 5 ni wengi zaidi kwa hio chuo kinachukua cream yaan 1 ya 3 au 4 tu kwa mwaka huu sababu ni wengi elimu mseleleko kizazi cha AIkuna huyu jirani yangu, yeye alisoma Ilboru Sec mchepuo wa PCM, kapata 1 ya 5, kachagua Udsm Course ya Civil Engineering, kakosa, bas analalama kila muda, hapa hata mie nimeshanga, huyu vigezo amekidhi kabisa, au labda huu mwaka 1 ya 3 na 4 ziko nyingi, hivyo inafanya wenye 5 na kuendelea wakose nafasi hapo COET?
Kwa kada yangu mie, ni UDSM, DIT, MUST, ATC.Kama wewe hukuona cha kusoma huko iweje wao? Kwanza hakuna hata mto, bahari tutakuwa tumewaonea sana watu wataogelea wapiπ