UDSM mwaka huu kuna nini?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani ana kadi ya CCM?🀣
 
University of Dar es salaam home of intellectuals
Ilikuwa ni zamani. BTW kuna kitu watanzania tunashindwa kuunganisha kwa sababu hata elimu yetu ni ya kukariri. Ni hivi: huwezi kuendesha nchi kama wanavyofanya CCM halafu utegemee mambo yajiendee vizuri. Haya malalamiko yote ni matokeo ya uongozi mbovu, usio na vision, unaotegemea njia za kitapeli na mabavu kubaki kwenye madaraka japo umeshindwa. Na mbaya zaidi ni kuwa hata hao vijana wanaolalamika wengi hawaioni hii shida, wanadhani tatizo ni uongozi wa chuo kikuu. Bila kuiondoa CCM hakuna kitakachobalika ila mambo yatazidi kuharibika.
 
Cocastic kumbe ukipigwa mboko vizuri unamwaga pwenti point pwenti.
Hapa nakupa misumari yako, maua badae😁
Babuu

Afu mbona sijawahi kuwa kilaza, toka O level shule ya bweni (single sex), Advance Special School, Chuo UDSM hapo COET.

Sema nn sometimes najichetua ili maisha ya flow vile yanataka kuwa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwani UDSM si huwa wanatoa sababu ya kwanini haujawa selected?
Najua hivyo pia, nilimuuliza huyu jirani anasema eti haoni sababu, Nikamuambia au hiyo course tayari idadi imekamilika, anasema hajaarifiwa hivyo.

Nikasema khee labda kuna mambo siyafamu siku hizi. Niwaachie wenyewe.
 
Mkuu hayo mambo ya kubishana kuhusu chuo inanesha wewe bado uko unasoma chuo (dit) au ndio umemaliza form6. Maliza udsm maliza dit alafu Njoo huku mtaani tukupe site usimamie au mradi u design, hapo ndio utajua kubishania chuo ni utoto wa hali ya juu.
 
Dunia imebadilika sasa. Pengine qualification pekee sio kigezo. Labda aongee watu vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…