Tamaa ya pesa hufanya muda mwengine kukosekana maendeleo ya taasisi bali maendeleo yamifuko binafsiMna kitivo ch uhandisi, sayansi, sheria ila mpaka zama hizi? mnakosa Solar power wakati wa mgao? Mbona mnanunua V8/VX kila uchwao? Mnakwama wapi?
jamaa wamejaza v8 pale parking utadhan wakala wa TOYOTATamaa ya pesa hufanya muda mwengine kukosekana maendeleo ya taasisi bali maendeleo yamifuko binafsi
jamaa wamejaza v8 pale parking utadhan wakala wa TOYOTATamaa ya pesa hufanya muda mwengine kukosekana maendeleo ya taasisi bali maendeleo yamifuko binafsi
Kuna watu watakuambia wanatumia typewriters kwa sababu ya usalama ili wasijue siri za nchi 😄 🤣Nilidhani ungeshangaa mgao wa umeme karne hii wakati kila uchwao serikali inanunua magari mapya ila kwenye vitu vya msingi vinatumika vya karne ya 19! Sasa kwa akili yako, mpaka leo hii kuna haja ya kutumia TypeWritter zile za zama za giza!?
jamaa wamejaza v8 pale parking utadhan wakala wa TOYOTA
Taasisi inayozalisha wasomi ilitakiwa kuwa na mbadala wa umeme wa uhakika ili hata wasomi wake wakitoka hapo waone kuwa ni aibu nchi kuwa gizani waweze kutatua.Mnapenda kuwaza mambo madogo madogo, badala ya kushangaa nchi kuwa na mgao wa umeme miaka 60 baada ya uhuru, wewe unawashangaa UDSM kukosa solar power!
Yale yale ya uraia pacha utasababisha amani ipoteeKuna watu watakuambia wanatumia typewriters kwa sababu ya usalama ili wasijue siri za nchi
Wanapowazaga haya ndio huwa natamani kufa
Yaani wanajifananisha na Russia au Korea na us
Basi nimefuta kauli, yaisheYale yale ya uraia pacha utasababisha amani ipotee
Pale wamejaa makadaTaasisi inayozalisha wasomi ilitakiwa kuwa na mbadala wa umeme wa uhakika ili hata wasomi wake wakitoka hapo waone kuwa ni aibu nchi kuwa gizani waweze kutatua.