UDSM kwa sasa ni cha kata, imebaki historia tu

UDSM kwa sasa ni cha kata, imebaki historia tu

Product za udsm tunaziona mtaani wala hauitaji kugoogle kujua ubora wa udsm au lah, prof. mmoja wa udsm aliwahi kusema wao sio kulaumiwa bali walaumiwe huko wanachuo walikotokea, akasema wakipokea material mbovu lazima na product itakuwa mbovu tu, sasa wewe unapingana na prof.
UDSM bado ni chuo bora ukilinganisha na hivyo vinavyotoa shahada zenye mashaka
 
For sure wewe ni bonge la ndina kweli kweli, hata haueleweki, na hayo ndiyo madhara ya kuwa ‘left over’. ,,, si ajabu hata huko UDOM ume graduate kwa karai lili tobolewa tobolewa kwa misumari ya sup za kufa mtuu
Hizi ndizo product za udsm very "junkies thinking", hapa anajiona mwenye akili, mtu kama huyu "bogus thinker" badae aje kuongoza taifa, hapa tunajadili mambo ya msingi unatuletea habari za karai na sup hapa.
 
Article nzuri, ila umeharibu ulipoanza kutaja MZUMBE na UDOM.
Lazima nivitaje kwa sababu kwa hapa nchini ni miongoni mwa vyuo vinavyofanya vizuri. Mfano,ndaki ya informatics udom ndiyo muhasisi wa biometric fingerprints kwa ajili ya pesa ya kujikimu na ada ambayo kwa sasa inatumika na vyuo vyote, online students registration & result assessment pia wao ndiyo waanzilishi then vyuo vingine vikafuata, tukija Mzumbe kwenye fani ya sheria wanafanya vizuri kwahiyo lazima ni vitaje.
 
Ungeanza topic yako hivi " baada ya kukosa admission udsm nimeamua kuiponda namna hii" halafu uanze kushusha nondo zako,, hapo tungeelewa zaidi!
 
Bongo hakuna elimu I am telling you guys kuna kupitisha tu muda vijana wahitimu lakini in real sense hakuna elimu kabisa bongo nzima ni Bongozozo tu

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Ungeanza topic yako hivi " baada ya kukosa admission udsm nimeamua kuiponda namna hii" halafu uanze kushusha nondo zako,, hapo tungeelewa zaidi!
Huwezi kunielewa kama unafikiri hivi, admission nilipataga petroleum chemistry lakini sikutaka kwenda huko, advance nimesoma na yule aliyekuwa mwenyeketi wa CoNAS Elbertus Theobad tena nilimuacha form five,fuatilia ujue alitoka shule gani, kwahiyo kwenye suala la ufaulu ondoa shaka chuo chochote hapa nchini kinanipa admission. Kwahiyo naomba uachane na mambo hayo ya admission ulete hoja.
 
Uliskia wapi au unaropoka tu [emoji1787]Hata div 3 wapo hukoo kuna madogo niliwanyia application na kuna baadhi walipata huko na div 3 zao zenye principal pass 2
Faculty gan hiyo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata siamini mie wee huu uongo sasa. Khaaqh
 
Wew usidhani watu hatuijui UDSM
Three kibao tu zinaenda UDSM ina depend na course
UDOM bila 1 ya 6 PCB husomi MD ila sio kusema UDOM bila one ya 6 husomi
Same applied to UDSM
Labda hapo ina depend na courses.
 
Siwezi kukataa kwa hapa nchini lazima udsm iwe namba moja kwa sababu imesimama imara muda mrefu kwahiyo historia lazima iibebe, hapa nazungumzia ubora wa elimu ya hiki chuo kwa sasa.
Ubora gani unaotaka wee? Km vyuo vyako ulivosema vimepitwa sasa unatak nn?
 
Back
Top Bottom