Labda Wanataka vile madharau ya wakenya[emoji23]Wachokozi sisi, kunani thread kuwekwa Kenyan Forum? 🙂
Cc Kenyans...lol
Labda Wanataka vile madharau ya wakenya[emoji23]
HahahaHaha!, itakuwa ndo hivyo, wasitudharau eti! 😀
Hivi UDSM ndo ile ile UDOM? Nikisikiaga jina hilo huwa nakumbuka noodles flani za kichina, Udom Spiced, tamu kishenzi. 😀😀 Tiyari ute ushaanza kunidondoka! 😀Haha!, itakuwa ndo hivyo, wasitudharau eti! 😀
Kwani katiba mpya ili ikamilike inahitaji hela zaidi ya ile ambayo ilitumika kwenye rasimu? Au katiba mpya itazuia setelaiti kuruka?Nashauri hela za kutengeneza katiba mpya zielekezwe kwenye miradi ya namna hii
Jimbo kukosa muwakilishi ni tatizo ila nchi kutaka katiba mpya wakati iliyopo inajitosheleza ni ujuha!Kwani katiba mpya ili ikamilike inahitaji hela zaidi ya ile ambayo ilitumika kwenye rasimu? Au katiba mpya itazuia setelaiti kuruka?
Mbona hujasema pesa za kurudia uchaguzi wa marudio zielekezwe huku
Ingekua inajitosheleza wananchi wasingetoa maoni yao katika mchakato wa katiba mpya, katiba mpya wananchi wanaitaka ila CCM hawaitakiJimbo kukosa muwakilishi ni tatizo ila nchi kutaka katiba mpya wakati iliyopo inajitosheleza ni ujuha!
Usawa unabana sana hata nimesahau kalenda, kumbe huu ni mwaka 2023, Duh! Hatari sana.Mfaume kawawa space station imeishia wapi jamani
Mkuu si lazima kuundwa hapa Tanzania. Inaweza kuundwa nchi za nje lakini ikamilikiwa na kuendeashwa na Tanzania.😀😀😀.. hilo puto hilo. Kuunda Bajaji mtihani, sembuse rocketi???? Danganya toto hizi