UDSM kurusha satellite ya mawasiliano 2023

UDSM kurusha satellite ya mawasiliano 2023

kusema kwamba itakua sattelite ya kwanza Afrika mashariki hadi 2025 wa kenya washapiga bao watawahi kabla ya udsm

kweli hii long term project
 
kusema kwamba itakua sattelite ya kwanza Afrika mashariki hadi 2025 wa kenya washapiga bao watawahi kabla ya udsm

kweli hii long term project

Naina waswahili muda wote mnakua sirias sana ukisoma Post za Mtoa mada utacheka sio kila mda tujadili mambo sirias humu Msaga sumu post zake wengi hua hawamwelewi.wanakua na mihemuko na kila kitu kumbe n comedy [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Naina waswahili muda wote mnakua sirias sana ukisoma Post za Mtoa mada utacheka sio kila mda tujadili mambo sirias humu Msaga sumu post zake wengi hua hawamwelewi.wanakua na mihemuko na kila kitu kumbe n comedy [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]sawa nimeshamkariri
 
Ingekua inajitosheleza wananchi wasingetoa maoni yao katika mchakato wa katiba mpya, katiba mpya wananchi wanaitaka ila CCM hawaitaki
Wananchi wanahitaji maendeleo wanasiasa (wapigaji)wanahitaji katiba mpya
 
😀😀😀.. hilo puto hilo. Kuunda Bajaji mtihani, sembuse rocketi???? Danganya toto hizi
Umeme wa tabu UDSM. TANESCO wakikata Umeme hakuna masomo nyakati za Usiku. Leo ndo wanaongea huo upoooz
 
Mkuu si lazima kuundwa hapa Tanzania. Inaweza kuundwa nchi za nje lakini ikamilikiwa na kuendeashwa na Tanzania.

Kama vile Angola walivyotengeza satellite yao Ukraine lakini wanamiliki wao.

Suala hapo ni je pesa za kugharamia mradi huo zitatoka au zimetoka wapi?
Jamaa hapo umetuibia kidogo, angola satelite yao ilitengenezwa Urusi lakini bahati mbaya siku ya kuirusha ikapoteza muelekeo...kwahiyo bado hawana....ukraine hawana uwezo huo kwa sasa.
 
Jamaa hapo umetuibia kidogo, angola satelite yao ilitengenezwa Urusi lakini bahati mbaya siku ya kuirusha ikapoteza muelekeo...kwahiyo bado hawana....ukraine hawana uwezo huo kwa sasa.
Ahsante kwa kurekebisha taarifa.
 
Hivi UDSM ndo ile ile UDOM? Nikisikiaga jina hilo huwa nakumbuka noodles flani za kichina, Udom Spiced, tamu kishenzi. 😀😀 Tiyari ute ushaanza kunidondoka! 😀


Hahah eti noodles!, hebu mtuache na UDOM yetu, UDOM na UDSM ni two different colleges, in fact, just two among many that we have.
Lakini naona mmeipenda UDOM na kuipigia debe kila wakati mpaka wengine wenyu kuibatiza jina kwa kidhungu! 😀
 
Mmmh ngoja tuone kama itawezekana maana mkataba mdogo tu wa mlimani umekuwa vituko.
 
Hahah eti noodles!, hebu mtuache na UDOM yetu, UDOM na UDSM ni two different colleges, in fact, just two among many that we have.
Lakini naona mmeipenda UDOM na kuipigia debe kila wakati mpaka wengine wenyu kuibatiza jina kwa kidhungu! 😀
Nilikuwa natania, ila tuachane na hayo ya UDSM, turudi kwenye UrDOomeD. 😀 Vipi wao hawana mpango wa kurusha setilaiti yao pia? 😀😀
 
Nilikuwa natania, ila tuachane na hayo ya UDSM, turudi kwenye UrDOomeD. 😀 Vipi wao hawana mpango wa kurusha setilaiti yao pia? 😀😀


Hahaha!, hivi ni wewe kumbe uliita U'r doomed...lol
Ya kwao iko njiani hivyoo, na sio kurusha tu, mtashangaa tuko wa kwanza East Africa na Africa ku visit kwenye moon..🙂
 
Hahaha!, hivi ni wewe kumbe uliita U'r doomed...lol
Ya kwao iko njiani hivyoo, na sio kurusha tu, mtashangaa tuko wa kwanza East Africa na Africa ku visit kwenye moon..🙂
Hehehe 🙂 si mimi ni mwenzetu flani hivi. Kweli tutashangaa, hapana, tutapigwa na butwaa. Ila mkishatua huko kwa mwezi, mkishindwa kurudi msianze kututumia sms za kupanick mkiitisha usaidizi wa jirani. Hahaha 😀
 
Sasa hawa maMODS wametupa uzi huu kwenye jukwaa la elimu kwanini? Hawaoni sisi wakenya tunawaibia wenzetu watz ujuzi wa mwendokasi? Angalau hata wao warushe kasetilaiti kao, hata kama katafika tu kwenye anga za juu, kisha kaanze kurudi chini kwa kishindo! 😀😀😀 Haya basi mtajiju wenyewe.
 
Hehehe 🙂 si mimi ni mwenzetu flani hivi. Kweli tutashangaa, hapana, tutapigwa na butwaa. Ila mkishatua huko kwa mwezi, mkishindwa kurudi msianze kututumia sms za kupanick mkiitisha usaidizi wa jirani. Hahaha 😀

Hahaha!, saweni bwana! [emoji23] [emoji119]
 
Back
Top Bottom