Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 22,385
- 45,042
Mimi sio mwana sayansi,je wakirusha kutakuwa na impact gani kwa watanzania?
Satellite zina kazi nyingi zinaweza kutumika ku monitor hali ya hewa na mabadiliko ya tabia nchi, zitatumika pia kwa mawasiliano ya kiraia au kijeshi. Pia zinaweza tumika kwa upelelezi n.k kwa kweli kama wataweza wanastahili pongezi....