UDSM kimenuka sasa hivi, Kikwete na Kawambwa Wataficha wapi nyuso zao?

Tatizo CHADEMA imekuwa chukizo hata mbele za Mungu imeandikwa mtii mamlaka zote kwani zatoka kwa Mungu sasa angalia mnavyopigwa na watu wenye utii na heshima kwa Mungu. Askari asipofanya hiyo kazi nakuambia nchi haikaliki, piga ua wehu hao kwani hawana haki ya kuishi muasisi wa china Mao aliwaua wanafunzi 5000 kwa kuwakanyaga na vifaru elfu kumi ikiwa ni kuwaonyesha uma ubepari haukubaliki na CCm uwa hao ili wajue maandamano yasiyo natija hayna nafasi.

Acha Urongo wewe
 
hivi hawa wanaoibuka na kusema watu wapigwe wao wamesomea wapi hasa. au ndo watoto wamafisadi wanaotumia hela za masikini na hawaajui matatizo yanayowapata watoto wamaskini huko vyuoni. kimsingi kunawatu inaonyesha akili zao zinamatatizo.
 
Tatizo CHADEMA imekuwa chukizo hata mbele za Mungu imeandikwa mtii mamlaka zote kwani zatoka kwa Mungu sasa angalia mnavyopigwa na watu wenye utii na heshima kwa Mungu. Askari asipofanya hiyo kazi nakuambia nchi haikaliki, piga ua wehu hao kwani hawana haki ya kuishi muasisi wa china Mao aliwaua wanafunzi 5000 kwa kuwakanyaga na vifaru elfu kumi ikiwa ni kuwaonyesha uma ubepari haukubaliki na CCm uwa hao ili wajue maandamano yasiyo natija hayna nafasi.

wewe kilaza kweli unaleta dini kwenye siasa . hiyo ilikuwa kweli enzi za dola ya rumi siyo sasa
 
wewe kilaza kweli unaleta dini kwenye siasa . hiyo ilikuwa kweli enzi za dola ya rumi siyo sasa

umeona eehhh ndo mana nasema polisi pigaaaaaaaa mpaka wapate akili ya kutii sheria ndio maana siye wa dar es salaaaaaam aka maandamno hatutaki
 
kwani cameron ameweka vikwazo kwa mwaka huu? mi nlijua ni kwa mwakani!
 
siku hizi watu hawana jipya maana wakishindwa kutatua matatizo ya wananchi utawasikia ''CHADEMA'' ndio tatizo. kama kweli watu wanadai haki zao wanaambiwa wametumwa na chadema ni bora aachiwe CHADEMA maana anajua matatizo ya wananchi.
 
Yatawarudi tu.Hao FFU hawajui wanachofanya.Waangalie nchi nyingine.Huwezi kutumia nguvu siku zote kwa watu wanaotetea haki zao.
 
bado wafanyakazi, yaani walimu, polisi, manesi na madaktari na wengineyo. coz jana niliongea na mwl yupo iringa anasema hadi leo mshahara hakupata na s/kali hawana fedha kwasasa.

Hapo kwenye red....inaonyesha kuwa kada hizi mbili haziwezi kugoma hata kidogo....polisi hata wafanyiwe ubaya gani hawataweza kuigomea serikali katika nchi kama zetu (African states) maana sheria zinakataza wao kugoma na watawala wanamiliki hivyo vyombo vya ulinzi na usalama kwaajili yao na sio kwa niaba ya wananchi....kama wana matatizo yao wanamalizana huko huko na wakuu wao. Kuhusu mgomo UDSM nafikiri ni jambo la kawaida kwa hapo na ndio kituo cha mabadiliko kwa faida ya wananchi wanafunzi wa nchi hii ya Tanzania. Keep up for UDSM....that song "SOLIDARITY FOREVER.." must take its WAY always!!!
 
nafikiri hao jamaa usifikiri wataogopa kuonesha nyuso zao maana nimengi yanatendeka na bado wanadunda tu. hivyo bado tunasafari ndefu kwa viongozi wetu kukubali kuwajibika hasa kunapokuwa na matatizo.
 
Hivi kweli we ****** unaweza kusoma bila hela za kujikimu!!!!!! Hivi kweli inaingia akilini, kwa mfano, first year ulipewa mkopo kwa asilimia 100% and then second year HESLB wanakuambia hatuna mkopo (hata wa 20%) wa kukupa! Ni vigezo vipi walivitumia kukupa mkopo ulipokuwa first year na kukunyima ulipoingia second year!!!! Jumlisha na new intake ya first year ambao hawajapewa mkopo hata senti tano, wengi ya hawa ni watoto wa wakulima (peasants)

In addition, vyuo karibu vyote haviruhusu mwanafunzi ambaye ADA yake haijalipwa(whether na bodi au yeye mwenyewe) aingie darasani
wamepelekwa kusoma wao wanaingiza siasa, tandika hao wanafunzi, bado wajinga, waliowatuma wanakula kuku wao wanachezea maisha, shauri yao.
 
pesa za miaka 50 ya uhuru ambazo wizara zinagharamia zipelekwe huko...ila nna wasiwasi utackia kuna chama flan cha siasa kinachochea huo mgomo mana siku hizi kila watu wakidai haki kwa maandamano utaskia chama flani kinahusika mbona watakoma kipindi hiki

Tatizo Watanzania Hatujui Chanzo cha Matatizo ya Nchi hii!!Ninavyoona kwa sasa Serekali na Viongozi wake wanaishi Maisha ya Kifahari na Kusahau Kuwa Hii Nchi ni Maskini kutokana na kushindwa Kudhibiti our Natural resources!! Kiongozi wa wananchi anaangalia Familia yake na Maslahi Binafsi!!
 
Kwa kifupi Tanzania sio nchi ya amani na haijawahi kuwa ya amani ila kwa miaka wananchi wamekuwa wanawafumbia macho watawala. Mara pale wananchi walipoanza kudai uwajibikaji, na haki tunaanza kuona true colours za viongozi tulionao. Busara zero kabisa.

Kitu ambacho sijaelewa na pengine ingekuwa vizuri serikali ingetueleza ni kwamba, ni kwa nini hawataki watu waandamane? Au ni maandamano ya aina gani yanayokubalika kwao?

Busara Zero! Serekali kama Baba mwenye PhD ..anawahi nyumbani anakula chakula cha watoto , wa kwanza kunawa na kulala" watoto wanalia njaa! Wanateseka ... Dingi bado anajivuna kasoma ana mke na watoto! Crap! Dingi kama serekali yetu Bure Kabisa!
 
wamepelekwa kusoma wao wanaingiza siasa, tandika hao wanafunzi, bado wajinga, waliowatuma wanakula kuku wao wanachezea maisha, shauri yao.

"Mkigoma" nadhani Mjinga akielimishwa anaelika lakini mpambavu Kama wewe ni vigumu sana.
 
Back
Top Bottom