UDSM hakufai ni vingora na mabomu

UDSM hakufai ni vingora na mabomu

MBUFYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
445
Reaction score
68
hapa nipo pande za udsm, ni vurugu tupu, nim,efika na nimekuta wanafunzi wanakimbia huku na huko, nilipo pita karibu na kikundi fulani cha wanafunzi nikasikia wakisema kuna mtu mmoja wa usalama wa taifa amekamatwa na wanafunzi wamempiga na wakawa wameendelea kumshikilia, kitendo hicho kimepelekea polisi kuja kumuokoa mwenzao.
nilipo wauliza wanafunzi kwa nini wanakimbia? wakajibu kuwa wanaogopa kukamatwa na polisi.
 
Whaaaat? Mabomu siku hizi fasheni eeh?
 
Unajua mkifanya mgomo nusu nusu mnajisababishia usumbufu hata nyie, amueni moja kuvumilia hiyo hali au kupambana hadi kieleweke!!
 
hapa nipo pande za udsm, ni vurugu tupu, nim,efika na nimekuta wanafunzi wanakimbia huku na huko, nilipo pita karibu na kikundi fulani cha wanafunzi nikasikia wakisema kuna mtu mmoja wa usalama wa taifa amekamatwa na wanafunzi wamempiga na wakawa wameendelea kumshikilia, kitendo hicho kimepelekea polisi kuja kumuokoa mwenzao.
nilipo wauliza wanafunzi kwa nini wanakimbia? wakajibu kuwa wanaogopa kukamatwa na polisi.

na IMTU wanafunzi zaid ya 400 wameenda kudai transcript zao kusud wahame chuo. Finance manager kalazwa regency kwa pressure
 
Hawa polisi wanatuliza vurugu wanachochea vurugu, kuna uvumi umeenea kwamba polisi weng wana-beef sana na wanafunzi wa vyuoni kuna polisi huwa tunapiga nao mazoez ya soka waliniambia hivyo baada ya kumchezea faulo uwanjani aka-panic akataka kunivunja mguu akaniambia ndo maana wanatuchukia sana wanafunz kisa weng wao daraxa la saba na form 4 xa wanaxema wanafunz wa vyuon wanawadharau! Xa nna mashaka kidogo na utulizaji wao wa migomo na maandamano vyuon maana co vurugu insuch!
 
Mi wananibore kiukweli!watu gani kila cku chuo hatukai kwa raha!!
 
Naona hawa polisi wana hamu na Vita si waende kumsadia kenya kupambana na Al Shababy kama kweli wanaweza kazi.
Ama kweli hili ni jeshi la Magamba lisilojari watu wake kitu kidogo tuu FFU + Mabomu.
Njoja nkizichapa na wife nawaita waje tuliza ghasia maana tushawazoea
 
Nahisi yule nabii aliyetabiri kuwa hii serikali ya magamba haitafika 2015 unabii wake unakaribia sasa. Mbona kila sehemu ni fujo tu sa ivi, ikiisha huku inaibuka sehemu nyengine, jana niliskia na wadaladala nao wanagoma!!! baadae itatibuka nchi nzima, sijui hao polisi watampiga na kumkamata nani? au watatukamata nchi nzima?
 
Hapo inahitajika dam ya mtu ndiyo mgomo upate mwafaka la sivyo mtapigana na hao vilaza wa 7 na form 4 mwaka mzima cha msingi kamaten police 1 mtoen kafara.
 
Rejao...nakuona hapo chini uanaperuzi, vp leo naww upo mitaa ya chuo??tujuze bana
 
Hawa polisi waende kusaidia kenya kupambana na al-shabaab kama wana hamu ya kurusha mabom na risasi
 
CCM inaimarisha ulinzi na usalama kwa kupiga watu virungu, mabomu ya machozi na risasi za moto. CCM oyeeeeeeeee!!!!!!!! UDSM ziiiiiiiiiiiiii, Wananchi ziiiiiii
 
Hawa ni wa kufundishwa adabu mara moja ikiwezekana na wakati wanapewa kifinyo unamsisitiza ya kwamba kazi yake haiitaji nguvu namna hii,,,,,,,,,,,,,kazi yake ni ya kutumia akili sana na siyo ya kulumbana na Wanafunzi. Maana Mi naona hawana adabu kabisa hawa usalama wa Taifa wa kwetu.



hao usalama wa taifa ni wa kupiga kabsa-maana wapo kichama sana
 
Back
Top Bottom