First Lady...Nilikuwa nikirekebisha kuhusu EPA ilivyoanzishwa makusudi kuchafua baada ya migodi na mali nyingine za mabilioni ya dola za kimarekani kuuzwa na kumilikiwa isivyo halali.
Na nikasema kuwa ni mpango maalum wa ccm KWANI IDDI SIMBA NA WENZAKE NI WAISLAM Lakini mtiririko wa PESA ZA EPA ULIWALENGA WATU FLANI FLANI ESPECIALLY WACHAGGA NA WAKRISTO...Na sasa hoja ya ccm ni uchagga na ukristo vs uislam na si migodi na mali nyingine!
Iddi Simba sio mwenyekiti wa wazazi Tanzania, na sio mchagga kama rais Mkapa sio Mchagga ila mke wake ni mchagga ndio aliemuharibu MKAPA na kujiingiza kwenye huu uhuni na wezi.
fuatilia labda Idd Simba ana mke mchagga.
inajulika kuwa wakili MALEGESA alitumiwa na mama MKAPA kwenye EPA,Subiri Report sijakataa wala kukubali kama Simba ni Epa ILA MAREGEZA line ya mama MKAPA.
Wangwe sikiliza..Ukisema Mama Anna Mkapa ndiye aliyemsababisha Mkapa akauza nchi umekosea na umewakosea wachagga na wewe umetumwa na mafisadi!
Yeye Mkapa kama CHINGA...KAOA MCHAGGA...NANI KASEMA WACHAGGA WOTE AMA CHINGA WOTE NI MAFISADI?
WASUKUMA WOTE NI MAFISADI KWASABABU YA CHENGE?
KWANINI KAMA KWELI UNA MASLAHI YA TAIFA USIANZE NA RIPOTI HIZO ILI SASA TUJUWE KAMA HAO MAFISADI NI MAKABILA GANI NA DINI GANI?
KWANI HUONI KUWA KWASABABU NI KWELI ccm INA UDINI..SASA MULIWAGAWIA wakristo wengine na wachagga wengine?
Unamjua Aggrey Marealle? Ama unamjuwa NJAKE? Mimi nakwambia pesa hizo zilitoka kwa waislam wa ccm na si mama Anna Mkapa!
Yeye piya kama ametuhumiwa basi hana tofauti na atakavyotuhumiwa mtu wa Mtwara!
Ama hata MMASAI LOWASSA!
AMA MZARAMO KIKWETE? OR..OK MUISLAM KIKWETE? NA MKRISTO MKAPA?
UFISADI HAUNA DINI WALA KABILA...SHERIA NDIO KIBOKO YAKE!
SASA MWANASHERIA GANI WEWE?
NB:IDDI SIMBA ALIKUWA KAMA MWENYEKITI WA ccm WAZAZI WAKATI WAKITOA PESA ZA EPA WAO NA MALEGESI NA LUKAZA.