Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
mimi sifikiri mambo ya udaku ambayo hayana facts!

Kama hufikirii mambo ya udaku, unafanya nini kwenye thread ambayo umeiita ya udaku? huoni kuwa kitendo cha wewe kuchangia hii thread kinakufanya uwe mpenda udaku?
 
Kama hufikirii mambo ya udaku, unafanya nini kwenye thread ambayo umeiita ya udaku? huoni kuwa kitendo cha wewe kuchangia hii thread kinakufanya uwe mpenda udaku?

nimekuja kukuambia kuwa habari yako hii ni ya udaku, na wanaoleta habari ya udaku wanaitwaje vile?
 
nikiwa kwenye "kitchen party" ilizuka debate kubwa ya kwamba mzee mwanakijiji ni mbaguzi, wa kidini na kikabila! I said wait a minute nikatega sikio vizuri. Mwisho wa siku baada ya hoja kupigwa in and out kina mama wakapiga kura na kuconculde kuwa kwa mwenendo wa maandiko yako kwenye vijiwe mbalimbali mwanakijiji ni mbaguzi wa kidini, then inafuatiwa na kikabila. Eti wewe ni mtu wa musoma na huwa unawabagua wasio wa musoma! yangu yakawa macho tu kwani sikua nimewahi kusoma maandiko yako mengi before. Sijui hili lina ukweli mzee mwanakijiji au walikuwa wanakuzulia tu hawa kinamama wenzangu?

Mama.. rekodi yangu iko wazi inaangaliwa. Naupinga ubaguzi wa aina yoyote ile. Angalia mada yangu ya Temu na Wabaguzi mambo leo, nimewapinga wanaokuja na hisia za kibaguzi na dini n.k Mara nyingi ninachoonesha ni absurdity of such assertions. The threshold of tribalism, racism, and udini is very high to the point that it is almost impossible without an empirical study to come to a meaningful conclusion.

Mtu akija na kuniambia nimeenda ofisi moja na kuwakuta kwenye kitengo kimoja kuna Wazaramo tisa kati ya watu 20 wanaofanya kazi hapo (almost half) na hivyo kuna ukabila wa kupendelewa wazaramu, mimi sitodandia hoja hiyo kwa haraka hivyo. Nitauliza umejuaje ni ukabila? Je kuwa na namba ya watu wa aina moja ya mtazamo, imani, rangi. n.k ina maana ni ukabila au ubaguzi? Is there any logical explanation ya kile ulichokiona?

Sasa kuna watu hapa ambao wakisia kuna wachagga 10 kwenye makao makuu ya mkoa fulani wao hawaulizi "how" or "what happened" au "is there a logical explanation of such a reality". Hapana, wao watakimbilia na kusema "you see mkoa ule una ubaguzi sana na ukabila"!

Hiki ndicho ambacho nakiangalia kwa ukaribu sana. Sasa kama watu wananihukumu pasipo kukaa chini kufikiria mimi sina tatizo, namba yangu na email zangu ziko hadharani, na mtu akitaka kukutana na mimi anaweza. I can defend my position anywhere in the world endapo inapasa. But I'll never defend myself kwa mtu yeyote anayetoa charges dhidi yangu, for my record is open to scrutiny.

Hata hivyo, nitaendelea kuwapinga wanaoeneza uvumi wa udini na ukabila kwa namna yoyote ile hata by using socratic methods of teaching. Lakini kwa vile watu wanaangalia ninachoandika wakiwa na preconceived idea juu yangu ni vigumu kushinda hicho kizuizi cha kiakili na kunipa a fair hearing of my arguments.

But hey.. that is the world I have chosen to live in and willingly I'm ready to live in. So watumie salamu wenzako... I've never bowed to no one. Kwa hiyo wana uhuru wa kusema lolote.
 
nimekuja kukuambia kuwa habari yako hii ni ya udaku, na wanaoleta habari ya udaku wanaitwaje vile?

ohhh,

umekuja kujadili habari unayoiona ni ya udaku, kitendo kinachokufanya wewe kuwa mmoja wale wanaopenda habari za udaku na ambao wanaitwaje vile?
 
kwa hiyo na wewe ni shujaa uliyejikwaa Mzee Mwanakijiji?
 
mtafuta facts.

ha ha ha, mtafuta facts kwenye habari ambayo anaiita ya udaku, ha ha ha, naona umejianika bila kutegemea. Ndio tatizo la kudhani unajua kila kitu kumbe hakuna kitu. Ha ha ha
 
ohhh,

umekuja kujadili habari unayoiona ni ya udaku, kitendo kinachokufanya wewe kuwa mmoja wale wanaopenda habari za udaku na ambao wanaitwaje vile?

wewe acha spin, hapa nimekuuliza mswali hakuna hata moja ulilojibu. ACHA KULETA UDAKU PENYE WENGI PANA MENGI. Unaweza omba thread ikaclosed kuweka rekodi yako straight kwa siku za baadae.
 
nimekuja kukuambia kuwa habari yako hii ni ya udaku, na wanaoleta habari ya udaku wanaitwaje vile?

Mama,
kujadiliana na Mgaya is a waste of time. Nimeelewa point unayoimake.Tatizo ni kwamba hapa Mgaya hata ukimuelewesha hawezi kukuelewa kwa sababu hayuko willing kujadiliana yeye anasutana.
 
nikiwa kwenye "kitchen party" ilizuka debate kubwa ya kwamba mzee mwanakijiji ni mbaguzi, wa kidini na kikabila! I said wait a minute nikatega sikio vizuri. Mwisho wa siku baada ya hoja kupigwa in and out kina mama wakapiga kura na kuconculde kuwa kwa mwenendo wa maandiko yako kwenye vijiwe mbalimbali mwanakijiji ni mbaguzi wa kidini, then inafuatiwa na kikabila. Eti wewe ni mtu wa musoma na huwa unawabagua wasio wa musoma! yangu yakawa macho tu kwani sikua nimewahi kusoma maandiko yako mengi before. Sijui hili lina ukweli mzee mwanakijiji au walikuwa wanakuzulia tu hawa kinamama wenzangu?

Habari za jikoni kama hizi huitwa udaku, na watu wanaozileta huitwaje vile?
 
ha ha ha, mtafuta facts kwenye habari ambayo anaiita ya udaku, ha ha ha, naona umejianika bila kutegemea. Ndio tatizo la kudhani unajua kila kitu kumbe hakuna kitu. Ha ha ha

ha ha ha haaaa, mtu mzima haachi jambo likapita for granted, ndio maana tunashika mavi kuwaosha watoto wetu, au unataka kutuita mama zako tunaoshika mavi nzi?

HUU UDAKU WAKO WA UDINI UNAONYESHA WEWE NI MTU WA NAMNA GANI. MDAKU!
 
Mama,
kujadiliana na Mgaya is a waste of time. Nimeelewa point unayoimake.Tatizo ni kwamba hapa Mgaya hata ukimuelewesha hawezi kukuelewa kwa sababu hayuko willing kujadiliana yeye anasutana.

Point well taken!

Hili suala la udini ccm ndio mwanzo limeanza kuanikwa hapa JF na baadaye litaanza kuenezwa kwa watanzania wote ili wajue kinachoendelea huko ccm.

Ukitaka kulipuuzia, hiyo ni juu yako.
 
Mama,
kujadiliana na Mgaya is a waste of time. Nimeelewa point unayoimake.Tatizo ni kwamba hapa Mgaya hata ukimuelewesha hawezi kukuelewa kwa sababu hayuko willing kujadiliana yeye anasutana.

Huu ni mjadala basi, kama ndio mijadala anayojadiliana ndio hii, basi no wonder akawa mdaku!
 
Habari za jikoni kama hizi huitwa udaku, na watu wanaozileta huitwaje vile?

he he heheeeeeeeeeeee, habari za jikoni zina facts. Kuliko mleta ndoto za mchana, sijui ulikuwa hujala maskini ya mungu Mdaku!
 
ha ha ha haaaa, mtu mzima haachi jambo likapita for granted, ndio maana tunashika mavi kuwaosha watoto wetu, au unataka kutuita mama zako tunaoshika mavi nzi?

HUU UDAKU WAKO WA UDINI UNAONYESHA WEWE NI MTU WA NAMNA GANI. MDAKU!

Ha ha ha , ulikimbilia kuja kujadili habari unazoita udaku bila kujua kuwa hilo linakufanya wewe kuwa mdaku vilevile. Ha ha ha, ndege anayedhani kuwa ni mjanja amenaswa kiulaini kwenye mtego wake mwenyewe.
 
Huu ni mjadala basi, kama ndio mijadala anayojadiliana ndio hii, basi no wonder akawa mdaku!

mdaku kama vile mdaku mwenzake alivyokimbilia kuja kujadili mjadala wa kidaku
 
Ha ha ha , ulikimbilia kuja kujadili habari unazoita udaku bila kujua kuwa hilo linakufanya wewe kuwa mdaku vilevile. Ha ha ha, ndege anayedhani kuwa ni mjanja amenaswa kiulaini kwenye mtego wake mwenyewe.

MDAKU; Kama haya ndio unayoyaita majadiliano basi huko CHADEMA wamekwisha, ndio mnavyojadiliana hivi? no wonder mnafukuzana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom