FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
mjadala huu haujaisha tu?
Great Analysis, musipomshitukia Mzee Mwanakijiji atatupeleka pabaya!!! Namshauri kuwa makini sana wakati anabonyeza key board yake pale anapoandika kitu chochote kinachohusiana na imani.
Namkumbusha kwamba Tanzania hatutaweza gawanyika kwa ukabilia... lakini we are equally very vulnerable with UDINIs...
Please mwanakijiji... naomba uwe makini sana!!! ushabiki wa Wangwe na Mbowe... usitumike kwenda CCM na kuiligawa taifa kwa udini...
Mgagagigikoko,
Google itakuwa vipi na kesi na You tube wakati Google iliwanunua You tube 2006?
Mbona hakutaja kuwa matatizo mengine ya waafrika yanatokana na ufisadi?. Haya aliyoyataja ni yale yale ambayo kila siku wote wanayatumia kuwadanganya watu huku wakiwaibia kila siku. Ahhhh Waafrika tusivyo na huruma? Mungu atusaidie kutupa moyo wa huruma. Maana huruma yetu inajitokeza yanapotokea majanga lakini kwa kutuibia hakuna anayeona huruma.Athari za bei kubwa za mafuta na chakula duniani ni kubwa sana kwa watu wote duniani lakini ni kubwa zaidi kwa nchi maskini na zinazoendelea (nyingi zikiwa Barani Afrika). Hali ya maisha inazidi kuwa ngumu kutokana na kupanda sana kwa gharama za maisha. Uwezo wa Serikali zetu kuwahudumia wananchi wake unazidi kuathirika. Matatizo hayo ukichanganya na lile la kutetereka kwa mfumo wa fedha wa dunia lililoanzia Marekani na kuenea Ulaya yanatishia kudhoofisha kasi ya kukua kwa uchumi wa dunia nzima.
I just hope you didn't forget to take your medication today! Get life bro!
Megapayne...this Is A Megga Move!
I Endorse The Idea!
Sasa isn't that a grand example of upendeleo usio wa lazima. Iweje CCM Zanzibar ichangie asilimia 50 ya wajumbe wa NEC?
Asante sana kwa kunijibu.
Sasa hapa suala la udini linaingiaje?. Ukiangalia kwa haraka haraka utaona watu kama Kawawa, Salmini na Mwinyi wanaingia kutokana na nafasi zao walizowahi kuwa nazo. Na nafasi hizo walikuwa nazo toka enzi za Nyerere.
Na hao wanaopigiwa kura kwenye mkutano mkuu utaona wazi kwamba wanapigiwa kura na wajumbe wote wa mkutano mkuu, na wajumbe hao ni wakristo, waislamu, wahindi na wapagani. Suala la udini linaingiaje hapa?.
Kama kuna mtu (mkristo) aligombea nafasi hiyo na katika alienguliwa tokana na imani ya dini yake basi ajitokeze hapa ama kama kuna mtu hapa JF anajua kuna mtu alifanyiwa hivyo basi atuletee ushaidi hapa JF.
Hili suala si dogo kama mnavyodhani baadhi yetu hapa JF. Ni suala zito ambalo linaweza kabisa kuleta mgawanyiko ndani na nje ya Chama na pia kwa Watanzania wote. Ubaguzi wa kidini ni mbaya kuliko ubaguzi wa namna nyingine yoyote ile, hivyo kama hakuna ushaidi katika hili ningeomba wana JF tuache kabisa kuzungumzia maada chochezi kama hizi.
great, Lets See Where It Will Lead Us To...
Nikiwa mtu mwenye maslahi ya pekee kwenye CCM naona jambo hili si zuri na litazua manung'uniko yasiyo ya lazima. Kama kikundi, taasisi, au jumuiya fulani ina watu wenye sifa moja inayolingana, sifa ambayo inawatofautisha na watu wengine hasa ya vitu kama kabila, rangi, au dini basi mahali hapo ni pa kuangaliwa kwa karibu.
Nadhani hapa ndipo msingi mkubwa wa EPA ulipolala.
Dr.W.Slaa Junior Member Join Date: Tue Jul 2008
1. Re: Kamati Kuu ya CCM imejaa Udini?
2. Nadhani hapa ndipo msingi mkubwa wa EPA ulipolala. Uwizi na kugushi. Bila kufumbua fumbo hili mengine yote yatabaki propaganda.
3. Hakuna mlango wowote wala Safe iliyobomolewa, hakuna mlango uliovunjwa. iwapo Karatasi zimewekwa saini, fedha zimetoka, mathalan katika Kagoda, ni vema majibu ya kina yakapatikana.
4. Majibu ya timu ya Mwanyika na wenzake yajiandae kwa maswali hayo muhimu, vinginevyo wajiandae kujibu kwanini wametumia fedha nyingi za watanzania ambazo zingelikuwa zinajenga shule,zahanati na barabara.
5. Ushahidi wote wa Ernst and Young unahitaji kupatiwa majibu ya kina, siyo tu swala la kurudisha fedha, kama zinarudishwa!