tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
- Thread starter
- #21
ndo zile internship za kupeana mbona mimi mwana udbs lakini nasikia tu kuna watu wanafanya crdb. nyie si mmezoea kuchakachua chakachuen basi na hayo malipo. mnapeana eeeeeeeeeeehhhhhh mlidhani hizo ni posho za bungeni. ushauri; gomeni kunji la ukweli
nawe una gundu zako tu, mbona karibia wote walioomba wamepata? Au na wewe una UDBS yako?