Kisena ana elimu ya biashara!!!??? Kwani kama hela anazo asingeanzisha kampuni yake binafsi hadi aingilie mlango wa UDA!!!!""''' WIZI MTUPU.....
mkuu hawa wana akili kweli kwenda kununua TATA za wahindi?
those were the days......hapa ni karibu na st alban's church
wabunge wa dar-es-salaam wataonekana ni vituko. Kama wana umoja wa hivyo; kwanini wasipeleke bungeni mswada wa mabadiliko ya sheria ilyounda uda na dart ili kuunda mamlaka mpya ya usafiri wa umma - mwenyewe napenda iitwe dar metro