UDA yanunua mabasi mapya 30

Hivi ile kashfa ya ubinafisishaji wa hili shirika iliishia wapi?

Sijui hata iliishia wapi. Kulikuwa na kamati za kuchunguza nyngi tuu.Mojawapo ni kamati ya bunge iliyokuwa chini ya Murtaza Mangungu (Kilwa Kaskazini-CCM); Esther Bulaya na Angellah Kairuki (Viti Maalum-CCM), Mbunge wa Viti Maalum CUF, Amina Mwidau; David Kafulila (Kigoma Kusini-NCCR-Mageuzi); Hebert Mtangi (Muheza-CCM) na John Mnyika (Ubungo-Chadema). Kamati hiyo ilipewa siku 14 iwe imekamilisha uchunguzi huo na kutoa majibu.

Pia Takukuru nao walikuwa wanachunguza. Pinda nae aliunda tume ya kuchunguza. Jiji nalo lilikuwa na tume yake ya kuchunguza. CAG nae alikuwa anachunguza pia. Ina maana kweli hakuna hata kamati moja ambayo imekuja na matokeo?

Agosti 13, 2011 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi) Keptein mstaafu George Mkuchika, alitekeleza agizo la waziri mkuu na kumpa CAG barua ya kufanya ukaguzi wa UDA ndani ya mwezi, lakini sasa ni zaidi ya miezi mitano matokeo hayajatoka.

Hata hivyo akihojiwa na gazeti la Mwananchi mwanzoni mwa mwezi huu CAG alisema kuwa KPMG iliyopewa jukumu la kuchunguza mchakato wa uuzwaji wa Hisa za UDA, imekamilisha ripoti yake itakayoikabidhiwa kwa CAG wakati wowote kuanzia sasa. CAG,alisema kuwa, kwa sasa ripoti hiyo imewasilishwa Makao Makuu ya Kampuni ya KPMG nchini Afrika ya Kusini kwa ajili ya kuihakiki na kuangalia ubora wa ukaguzi wenyewe ndipo waikabidhi kwake aweze kuipitia.
 
Jinsi ninavyoona ni kuwa Kisena na wenzake wamepuuzia kabisa hoja zote za suala la ubinafsishaji na wameendelea kutekeleza mipango yao ya UDA kana kwamba wao ni wamiliki wasio na utata. Hii ina maana gani?


a. UDA imeingizwa kwenye deni jingine; fikiria kama ubinafsishaji wa UDA utakuja kutenguliwa na kuwa irudishwe mikononi mwa umma, haya magari yamenunuliwa kwa mkopo au fedha taslimu mahali fulani well kina Kisena wakisema wanataka mabasi yao watakataliwa?

b. Kwa vile suala hili linahusisha bado ushirika wa umma suala la manunuzi (procurement) ya mabasi haya inabidi liangaliwe kwa ukaribu kama limefuata kanuni za manunuzi ya umma. Je, kulikuwa na ushindani wowote? Je shirika lina liability ya namna gani katika ununuzi huu?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Jinsi ninavyoona ni kuwa Kisena na wenzake wamepuuzia kabisa hoja zote za suala la ubinafsishaji na wameendelea kutekeleza mipango yao ya UDA kana kwamba wao ni wamiliki wasio na utata. Hii ina maana gani?


a. UDA imeingizwa kwenye deni jingine; fikiria kama ubinafsishaji wa UDA utakuja kutenguliwa na kuwa irudishwe mikononi mwa umma, haya magari yamenunuliwa kwa mkopo au fedha taslimu mahali fulani well kina Kisena wakisema wanataka mabasi yao watakataliwa?

b. Kwa vile suala hili linahusisha bado ushirika wa umma suala la manunuzi (procurement) ya mabasi haya inabidi liangaliwe kwa ukaribu kama limefuata kanuni za manunuzi ya umma. Je, kulikuwa na ushindani wowote? Je shirika lina liability ya namna gani katika ununuzi huu?

Kwa hiyo hapo tujiandae kulipa sh 3bn/-. Kitu kingine ambacho bado sijaelewa wanadai pesa za kununua hayo mabasi zimetoka kwenye sources za nje. Wasingeweza kutumia accounts za UDA kwa vile zimekuwa frozen kwa ajili ya uchunguzi. Ni mtu gani anaweza kufanya biashara na kampuni ambayo accounts zake zimefungwa for investigation hata kabla uchunguzi wenyewe haujakamilika?
 
Hawa jamaa lazima kuna deal wanatafuta kupitia hayo mabasi mabovu. tusubiri soon kuliwa.
 
Kwa hiyo hapo tujiandae kulipa sh 3bn/-. Kitu kingine ambacho bado sijaelewa wanadai pesa za kununua hayo mabasi zimetoka kwenye sources za nje. Wasingeweza kutumia accounts za UDA kwa vile zimekuwa frozen kwa ajili ya uchunguzi. Ni mtu gani anaweza kufanya biashara na kampuni ambayo accounts zake zimefungwa for investigation hata haijakamilika?
Spot on!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kwa hiyo hapo tujiandae kulipa sh 3bn/-. Kitu kingine ambacho bado sijaelewa wanadai pesa za kununua hayo mabasi zimetoka kwenye sources za nje. Wasingeweza kutumia accounts za UDA kwa vile zimekuwa frozen kwa ajili ya uchunguzi. Ni mtu gani anaweza kufanya biashara na kampuni ambayo accounts zake zimefungwa for investigation hata haijakamilika?

EMT nadhani watu wasije kusahau - nina uhakika wengine tayari wameshasahau - kabla kina Kisena hawajakwapua UDA shirika hilo tayari lilikuwa limeshakubaliwa mkopo mkubwa wa kununua mabasi. Sababu mojawapo ya wao kujitahidi kuchukua shirika hili ilikuwa ni mkopo huu wa riba nafuu sana - kama nakumbuka ulikuwa kutoka Malaysia nadhani. Kina Kisena walihakikisha wanachukua shirika kabla UDA haijanunua mabasi yake na hivyo wakajiingiza pale ndani!

Nina uhakika wa kutosha tu kuwa fedha zilizotumika kununua mabasi haya ni sehemu ya mpango ule wa UDA wa awali wala siyo ubunifu wa kina Kisena; yaani, UDA wangeweza bado kununua mabasi haya mapya - tena labda siyo ya TATA- kama shirika bado lingekuwa linaendeshwa na wananchi wa Dar-es-Salaam.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kisena alisema anashindwa kuendelea na harakati nyingine za kuwekeza zaidi katika UDA hasa kutokana na ukiritimba katika kutatua tatizo lililopo. Lakini mwekezaji huyo alieleza kuwa ameambiwa kwamba katika kipindi cha mwezi mmoja ujao, Serikali itakuwa imekamilisha masuala yake. Kweli pamoja na matatizo yote hayo aliweza ku-invest sh 3bn/- ndani ya miezi sita ikiwemo ya kununua mabasi 30 kwa mkupuo?

"Kazi iliyobaki kwa Serikali ni namna ya kujiondoa ili sasa Simon Group iweze kuwa na udhibiti wa kampuni pamoja na uendeshaji wake…ninaamini kazi hiyo itakamilika katika kipindi hicho cha mwezi mmoja ambacho kinakadiriwa," alisema mkurugenzi huyo. Si wangesubiri basi huo mwezi mmoja uishe kabla ya kununua hayo mabasi? Kwa nini wanaharakisha ikizingatiwa kuwa hata account za UDA zimekuwa frozen?

Alisema kama kampuni hiyo itakabidhiwa UDA, analenga kutoa ajira kwa Watanzania wengi zaidi kutokana na wingi wa mabasi makubwa ya kubeba abiria jijini Dar es Salaam. Hivi kinacho matter ni ukubwa au ni ubora wa mabasi? Hayo mabasi hata kwenye picha yanaonekana hayana ubora.

Aidha, taratibu za ukaguzi wa hesabu za UDA zimeshakamilika na pengine Serikali inasubiri dokezo hilo ili taratibu nyingine za kumkabidhi mwekezaji mpya Simon Group ziweze kufuata. Probably wao tayari wanajua matokeo ya ukaguzi.
 
Jinsi ninavyoona ni kuwa Kisena na wenzake wamepuuzia kabisa hoja zote za suala la ubinafsishaji na wameendelea kutekeleza mipango yao ya UDA kana kwamba wao ni wamiliki wasio na utata. Hii ina maana gani?


a. UDA imeingizwa kwenye deni jingine; fikiria kama ubinafsishaji wa UDA utakuja kutenguliwa na kuwa irudishwe mikononi mwa umma, haya magari yamenunuliwa kwa mkopo au fedha taslimu mahali fulani well kina Kisena wakisema wanataka mabasi yao watakataliwa?

b. Kwa vile suala hili linahusisha bado ushirika wa umma suala la manunuzi (procurement) ya mabasi haya inabidi liangaliwe kwa ukaribu kama limefuata kanuni za manunuzi ya umma. Je, kulikuwa na ushindani wowote? Je shirika lina liability ya namna gani katika ununuzi huu?

Kaka tuache ubishi kisena anamiliki 51% kwahiyo moja kwa moja sio shirika la umma!
 
Mh kweli shamba la bibi,wakati hawa jamaa wanatuzuga na hizo tata wahindi wao wanatumia Ashok layland ambazo zinamilikiwa na serikali kutoa huduma kwa jamii na kwa kushirikiana na vyombo vya usalama wanakusanya mapato ya kutosha pamoja na uwingi wao lakini usafiri sio pasua kichwa kama kwetu tz amakweli tunahitaji viongoz wenye uchungu na nchi yetu
 
Kaka tuache ubishi kisena anamiliki 51% kwahiyo moja kwa moja sio shirika la umma!

Nadhani ni PPP. Tatizo na PPP ni kwamba the private investors huwa wanapata rate kubwa ya faida kulinganisaha na government bond japokuwa most of the income is generated by the public sector. It is certainly the case that government debt is cheaper than the debt provided to finance PFI projects, and cheaper still than the overall cost of finance for PFI projects. This is of course to attempt to compare incompatible and incomplete economic circumstances. It ignores the position of taxpayers who play the role of equity in this financing structure.

Studies ambazo zimefanywa kwenye initiatives ya promote private investment in infrastructure has concluded that, in most cases, these types of schemes are inferior to the standard model of public procurement based on competitively tendered construction of publicly owned assets. Kumbuka bado wakazi wa Dar bado wanamiliki hisa 49.

Mh kweli shamba la bibi,wakati hawa jamaa wanatuzuga na hizo tata wahindi wao wanatumia Ashok layland ambazo zinamilikiwa na serikali kutoa huduma kwa jamii na kwa kushirikiana na vyombo vya usalama wanakusanya mapato ya kutosha pamoja na uwingi wao lakini usafiri sio pasua kichwa kama kwetu tz amakweli tunahitaji viongoz wenye uchungu na nchi yetu

Nowadays, a new model called the Public–Private Community Partnership (PPCP) model is being used, whereby both the government and private players work together for social welfare, eliminating the prime focus of private players on profit. This model is being applied more in developing countries like India. Success is being achieved through this model. It mainly helps to ramp up the development process as the focus is shifted towards target achievement rather than profit achievement. Mwanzo tulidhania UDA itaenda kwa mpango huu kabla ya kuuzwa.
 
Kwa Idd Simba ndiye aliyekuwa anamiliki hizo asilimia 51 za share?
Nope but he got the dough!!!, hazina hawajapata, CITY COUNCIL HAWAJAPATA,
uNLESS VYOU KNOW OTHERWISE SISI TUNASUBIRI RIPOTI YA CAG.
na hiyo habari kwenye michuzi inasema Simon Group wanunua...... Siyo UDA.
 
Nope but he got the dough!!!, hazina hawajapata, CITY COUNCIL HAWAJAPATA,
uNLESS VYOU KNOW OTHERWISE SISI TUNASUBIRI RIPOTI YA CAG.
na hiyo habari kwenye michuzi inasema Simon Group wanunua...... Siyo UDA.

Which means sio mabasi ya UDA then? Kisena anadai hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa UDA kununua magari mengi kwa wakati mmoja katika uhai wake.
 
Which means sio mabasi ya UDA then? Kisena anadai hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa UDA kununua magari mengi kwa wakati mmoja katika uhai wake.
Siyo mabasi ya UDA hayo... we mwache adai anavyodai.
Hayo ni mabasi ya Simon Group. Kama ilivyoandikwa michuzi.
 
Siyo mabasi ya UDA hayo... we mwache adai anavyodai.
Hayo ni mabasi ya Simon Group. Kama ilivyoandikwa michuzi.

Hata Michuzi mwenye anajichanganya. On one hand kwenye heading anasema Simon Group imenunua mabasi 30 ya UDA. On the other hand kwenye habari yenyewe nae anasema hii itakuwa mara ya kwanza kwa UDA kununua magari mengi kwa wakati mmoja tangu kuanzishwa kwa shirika hilo zaidi ya miaka 38 iliyopita. So hakuna tofauti yoyote ikizingatiwa habari yenyewe nimeitoa kwa mwajiri wake.
 
TATA mhhhh.

may be kwa safari za masaki posta na mwenge posta zinaweza kudumu japo miaka 3.
 
Kuna kila dalili hawa jamaa hawakujipanga wamekurupuka tu,hizi walizonunua sio town buses...Town buses zinatakiwa kuwa hivi.


TOWN BUS 2.jpg TOWN BUS.jpg
 
Back
Top Bottom