Uchumi wa Viwanda: Wahitimu Bomu?

Uchumi wa Viwanda: Wahitimu Bomu?

Kwa masikitiko makubwa nimegundua endapo tutakuja kuwa nchi ya Viwanda, huenda tukalazimika kuajiri toka nchi jirani ama toka Asia (INDIA, VIETNAM na U-CHINA). Wahitimu wetu hapa nchini inasemekana ni bomu mambo haya yanahuzunisha sana. Kijana unamuajiri lakini hajitambui ama MWIZI au SHARO kutwa INSTA kufuatilia DIAMOND na MOBETTO. Hatari sana.

Boss umeajiri wahitimu wote wa nchi hii?
 
Kwa masikitiko makubwa nimegundua endapo tutakuja kuwa nchi ya Viwanda, huenda tukalazimika kuajiri toka nchi jirani ama toka Asia (INDIA, VIETNAM na U-CHINA). Wahitimu wetu hapa nchini inasemekana ni bomu mambo haya yanahuzunisha sana. Kijana unamuajiri lakini hajitambui ama MWIZI au SHARO kutwa INSTA kufuatilia DIAMOND na MOBETTO. Hatari sana.
Ukichagua utawapata wazuri kuliko hata hao wa India au Vietnam
 
Mbona watu mnageneralize mambo sio wasomi wrote mizigo wengine wanajielewa
 
muajiri wako ndo bomu kwa kushindwa kufanya assesment makini kwacandidate wanaotaka ajira
 
We unaongea nin mbona nje ya nchi Kuna watanzania kibao wanafanya kazi vizuri ,nao Ni bomu watu wapo hadi NASA we unaongea ongea tu ,nahis we ndio hujielewi
 
Hili suala la ubora wawahitimu inapasika uwe mjadala wa kitaifa jamani !!! Hali ni mbaya sana wahitimu wengi ni sub standard hawana uwezo kaaaabisa cjui tatizo nn
 
Back
Top Bottom