Uchumi wa Viwanda: Wahitimu Bomu?

Uchumi wa Viwanda: Wahitimu Bomu?

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,116
Kwa masikitiko makubwa nimegundua endapo tutakuja kuwa nchi ya Viwanda, huenda tukalazimika kuajiri toka nchi jirani ama toka Asia (INDIA, VIETNAM na U-CHINA). Wahitimu wetu hapa nchini inasemekana ni bomu mambo haya yanahuzunisha sana. Kijana unamuajiri lakini hajitambui ama MWIZI au SHARO kutwa INSTA kufuatilia DIAMOND na MOBETTO. Hatari sana.
 
Uliokutana nao ndo bomu mkuu, kuna wasomi wanafanya vingi vya tofauti, sema ile samaki mmoja akioza ni wote, kuhusu suala la uchumi wa viwanda tuna wasomi makini, ila utawajua pale tu utakapowatengenezea mazingira, tofauti na hapo hutowaona na watakuwa busy kujitengenezea mazingira yao!!

Siyo wote ni mabomu mkuu wapo watu wanjielewa na wana uwezo mkubwa tu ila shida ni MAZINGIRA SIYO RAFIKI KUONYESHA KILE AMBACHO MTU ANACHO, huwezi nambie suala la kuniajiri huku unaniwekea masharti kibao ambayo hata mengine hayana mantiki, kwann nisitumie ujuzi wangu kujitengenezea mazingira bora kuliko kutumiwa ndivyo sivyo!!

Sikatai kuna baadhi ya wasomi hakuna kitu kabisa ila siyo kwamba ni wote wako hivyo!!

Ishu ni ndogo, tengeneza mazingira yatakayo nisupport na kuwa na uwezo wa kuifikiria mengi zaidi ambayo ni creative tofauti na hapo better nikutengenezee mazingira yangu binafsi kwa manufaa ya wale watakao tambua kile nilichonacho na kuwa tayari kukitumia otherwise mundelee kusema tuna wasomi mabomu!!
 
Uliokutana nao ndo bomu mkuu, kuna wasomi wanafanya vingi vya tofauti, sema ile samaki mmoja akioza ni wote, kuhusu suala la uchumi wa viwanda tuna wasomi makini, ila utawajua pale tu utakapowatengenezea mazingira, tofauti na hapo hutowaona na watakuwa busy kujitengenezea mazingira yao!!

Siyo wote ni mabomu mkuu wapo watu wanjielewa na wana uwezo mkubwa tu ila shida ni MAZINGIRA SIYO RAFIKI KUONYESHA KILE AMBACHO MTU ANACHO, huwezi nambie suala la kuniajiri huku unaniwekea masharti kibao ambayo hata mengine hayana mantiki, kwann nisitumie ujuzi wangu kujitengenezea mazingira bora kuliko kutumiwa ndivyo sivyo!!

Sikatai kuna baadhi ya wasomi hakuna kitu kabisa ila siyo kwamba ni wote wako hivyo!!

Ishu ni ndogo, tengeneza mazingira yatakayo nisupport na kuwa na uwezo wa kuifikiria mengi zaidi ambayo ni creative tofauti na hapo better nikutengenezee mazingira yangu binafsi kwa manufaa ya wale watakao tambua kile nilichonacho na kuwa tayari kukitumia otherwise mundelee kusema tuna wasomi mabomu!!
Asilimia 98 ya wahitimu WA vyuo vya Tanzania ni hovyo na wengi hawaajiriki
 
Kwa masikitiko makubwa nimegundua endapo tutakuja kuwa nchi ya Viwanda, huenda tukalazimika kuajiri toka nchi jirani ama toka Asia (INDIA, VIETNAM na U-CHINA). Wahitimu wetu hapa nchini inasemekana ni bomu mambo haya yanahuzunisha sana. Kijana unamuajiri lakini hajitambui ama MWIZI au SHARO kutwa INSTA kufuatilia DIAMOND na MOBETTO. Hatari sana.
Ukweli mchungu,nipo nao wawili wana shahada ya kwanza ya uhandisi,hawpendi kujishughurisha,ni wavivu balaa,hawana kiu ya kujifunza kazi waliokuja kufanya,wana upeo mdogo wa mambo ya kidunia,siasa,uchumi,diplomasia.kikubwa ni kushinda utube,story za mademu sana,lakini wanataka walipwe mshahara mkubwa,
Ukisikiliza story zao,unajua hapa kuna vilaza watupu,
 
Ukweli mchungu,nipo nao wawili wana shahada ya kwanza ya uhandisi,hawpendi kujishughurisha,ni wavivu balaa,hawana kiu ya kujifunza kazi waliokuja kufanya,wana upeo mdogo wa mambo ya kidunia,siasa,uchumi,diplomasia.kikubwa ni kushinda utube,story za mademu sana,lakini wanataka walipwe mshahara mkubwa,
Ukisikiliza story zao,unajua hapa kuna vilaza watupu,

Kazi zao wanafanya hapo ofosini au awafanyi, je kama wanafanya hayo mengine yanaleta kikwazo gani kwenye kazi ??
 
Nandio maana nataka nijiajili na kumiliki office yangu maana kila mtu anajifanya boss kwako uboya huu.
 
Ukweli mchungu,nipo nao wawili wana shahada ya kwanza ya uhandisi,hawpendi kujishughurisha,ni wavivu balaa,hawana kiu ya kujifunza kazi waliokuja kufanya,wana upeo mdogo wa mambo ya kidunia,siasa,uchumi,diplomasia.kikubwa ni kushinda utube,story za mademu sana,lakini wanataka walipwe mshahara mkubwa,
Ukisikiliza story zao,unajua hapa kuna vilaza watupu,
Umesahau kutwa kuhadithiana mpira wa ulaya.
 
Hii takwimu ulitumia muda gani,wp na sample IPI uliitumia?
WatWatizame walioajiriwa watizame waliopewa dhamana ya kuongoza watizame wabunge wenye shahada wakingea !??? Jiulize kwanini secta kama hotel zkitalii wamejaa waganda na wakenya!?? Kwanini shule nyingi za english medium wamejaa wakenya nacwaganda!?? Juzi voda walitaka kumleta Eco wa kenya jiulize kwann wayanzania wasipewe hizo nafazi!???narudia Tanzania elimu ni duni hawaajiriki kabisa ni wachache mno uwexo
 
Back
Top Bottom