haiwekani wewe usome DS halafu ukapewa wizara nyeti kama ya viwanda na biashara(development studies?)watz hatuko serious kabisa ndo maana kila mahala tunapigwa.Mh Kitila Mkumbo amezindua tela bora lenye uwezo wa kubeba mizigo ya hadi tani 5 lilotengenezwa Nchini Tanzania .
Ubora wa tela hilo umethibishwa na Shirika la viwango nchini Tanzania TBS
View attachment 1846239