Prof. Kitila Mkumbo: Bandari Ikiwekezwa Vizuri Mapato Yataongezeka Kutoka Trilioni 7 Hadi Trilioni 26

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,908
945
"Nitumie fursa hii kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Waziri ambayo ameniteua katika ofisi yake nikishughulikia Mipango na Uwekezaji. Namshukuru sana kwa heshima na imani ambayo amenipa na ufanisi Mhe. Rais utumishi wenye kuzingatia maarifa, weledi na utiifu thabiti kwake mwenyewe, serikali, nchi yetu na Chama cha Mapinduzi" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Tutamsadia Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha kwamba mipango yetu ya maenedeleo inapelekea uchumi wetu kuendelea kukua na kupunguza umasikini wa katiba huo huo unakuwa ni uchumi jumuishi na unazingatia maendeleo vijijini" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Kila nchi duniani inapambana kuvutia uwekezaji, wawekezaji wa ndani na nje ya nje. Na suala la uwekezaji ni suala la ushindani mkubwa sana. Kila nchi ina faida za kuvutia uwekezaji lakini nchi yetu ina faida nyingi ambazo nchi nyingi hazina ikiwemo utulivu wa kisiasa na amani ya kutosha, umoja wa kitaifa na faida ya kijiografia" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Ukweli ni kwamba kampuni 7 zilileta mapendekezo kutoka katika sehemu mbalimbali duniani, baada ya uchambuzi na utafiti mpana uamuzi ulikuwa ni kuichukua kampuni ya DP WORLD kutokana na utaalamu, uzoefu wake, mtandao wake mpana wa biashara na uzoefu wa kufanya kazi katika mazingira yanayofanana na sisi (Tanzania)" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Bandari ni mpaka na ni biashara, na kwenye biashara inafahamika na ishafanyika tafiti kwamba sekta binafsi ndio inafanya vizuri. Hivyo katika bandari sekta binafsi huwa tunawapa suala la biashara lakini suala la ulinzi na usalama wao hawahusiki" Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Uchambuzi umefanyika na tafiti zimefanyika na kuonesha wazi wazi kwamba bandari hii (ya Dar es Salaam) ikiwekezwa vizuri na kupewa sekta binafsi yenye uwezo tunaweza kuongeza mapato kutoka shilingi trilioni 7 hadi kufikia shilingi trilioni 26.7" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

F1FliX5XgAMqvCp.jpg
 
Kwenye umeme hivyo hivyo na wale wasouth,kwenye Reli na wale wahindi hivyo hivyo,gesi mlituambia nyumba zote kutakuwa na mabomba ya gesi ,mlishatuambia mtawatua wamama ndoo. Ila wewe mwalimu wa soshologia sikushangai. Kwanza mwanaume unaanzaje kusoma soshologia ?
 
Angetaja mradi mmoja tu wa kimkataba ulioingiwa na serikali na nchi ikafikia lengo la ubinafisishaji wake!
Mfano, tunayo gesi iliyopewa wawekezaji kwa ahadi lukuki kwamba inchi inaenda kuondokana kabisa na umasikini na kwamba tutakuwa tukiuza umeme nchi za nje, na tulipewa na kiasi cha kuuza umeme nje ya nchi kwamba itakuwa ni Tsh 118 tu kwa kila unite

Lakini leo yako wapi!!

Kina songas, Richmond, Meremeta, kagoda n.k

Faida zake ni zipi?

Hivi, Tangu Ccm wameanza kubinafisisha mashirika na mali zetu kama nchi kwa makampuni binafisi, Je, kuna kampuni ambalo lilitoa faida ukilingashwa na ahadi za viongozi wa ccm?
 
Tulidanganganywa na Mkapa kwenye uuzwaji wa NBC Kwa Makaburu

CRDB Chini ya Wakulima ikaja kuwa Bank nambari One

Huo ujinga Mkumbo upeleke labda kwenu Kiomboi na sidhani kama wataupokea

Hizo kampuni 7 ulizozishindanisha ziweke hadharani na walichokosea wa


Hizo rushwa mlizokula Dubei lazima zitokee kwenye matundu yenu!!
 
"Nitumie fursa hii kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Waziri ambayo ameniteua katika ofisi yake nikishughulikia Mipango na Uwekezaji. Namshukuru sana kwa heshima na imani ambayo amenipa na ufanisi Mhe. Rais utumishi wenye kuzingatia maarifa, weledi na utiifu thabiti kwake mwenyewe, serikali, nchi yetu na Chama cha Mapinduzi" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Tutamsadia Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha kwamba mipango yetu ya maenedeleo inapelekea uchumi wetu kuendelea kukua na kupunguza umasikini wa katiba huo huo unakuwa ni uchumi jumuishi na unazingatia maendeleo vijijini" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Kila nchi duniani inapambana kuvutia uwekezaji, wawekezaji wa ndani na nje ya nje. Na suala la uwekezaji ni suala la ushindani mkubwa sana. Kila nchi ina faida za kuvutia uwekezaji lakini nchi yetu ina faida nyingi ambazo nchi nyingi hazina ikiwemo utulivu wa kisiasa na amani ya kutosha, umoja wa kitaifa na faida ya kijiografia" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Ukweli ni kwamba kampuni 7 zilileta mapendekezo kutoka katika sehemu mbalimbali duniani, baada ya uchambuzi na utafiti mpana uamuzi ulikuwa ni kuichukua kampuni ya DP WORLD kutokana na utaalamu, uzoefu wake, mtandao wake mpana wa biashara na uzoefu wa kufanya kazi katika mazingira yanayofanana na sisi (Tanzania)" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Bandari ni mpaka na ni biashara, na kwenye biashara inafahamika na ishafanyika tafiti kwamba sekta binafsi ndio inafanya vizuri. Hivyo katika bandari sekta binafsi huwa tunawapa suala la biashara lakini suala la ulinzi na usalama wao hawahusiki" Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Uchambuzi umefanyika na tafiti zimefanyika na kuonesha wazi wazi kwamba bandari hii (ya Dar es Salaam) ikiwekezwa vizuri na kupewa sekta binafsi yenye uwezo tunaweza kuongeza mapato kutoka shilingi trilioni 7 hadi kufikia shilingi trilioni 26.7" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

View attachment 2689298
Nasikitika kwamba nikiwa Fuculty of Engineering UDSM nilimpa kura yangu Kitila Mkumbo kuwa Rais wa Daruso vs Bashiru Alli mzee wa DS 100 kwa sababu alipiga Kampeni za Kidini. Kumbe Mkumbo anakuja kuwa mpiga dili wa Rasilimali za Tanganyika
 
"Nitumie fursa hii kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Waziri ambayo ameniteua katika ofisi yake nikishughulikia Mipango na Uwekezaji. Namshukuru sana kwa heshima na imani ambayo amenipa na ufanisi Mhe. Rais utumishi wenye kuzingatia maarifa, weledi na utiifu thabiti kwake mwenyewe, serikali, nchi yetu na Chama cha Mapinduzi" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Tutamsadia Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha kwamba mipango yetu ya maenedeleo inapelekea uchumi wetu kuendelea kukua na kupunguza umasikini wa katiba huo huo unakuwa ni uchumi jumuishi na unazingatia maendeleo vijijini" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Kila nchi duniani inapambana kuvutia uwekezaji, wawekezaji wa ndani na nje ya nje. Na suala la uwekezaji ni suala la ushindani mkubwa sana. Kila nchi ina faida za kuvutia uwekezaji lakini nchi yetu ina faida nyingi ambazo nchi nyingi hazina ikiwemo utulivu wa kisiasa na amani ya kutosha, umoja wa kitaifa na faida ya kijiografia" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Ukweli ni kwamba kampuni 7 zilileta mapendekezo kutoka katika sehemu mbalimbali duniani, baada ya uchambuzi na utafiti mpana uamuzi ulikuwa ni kuichukua kampuni ya DP WORLD kutokana na utaalamu, uzoefu wake, mtandao wake mpana wa biashara na uzoefu wa kufanya kazi katika mazingira yanayofanana na sisi (Tanzania)" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Bandari ni mpaka na ni biashara, na kwenye biashara inafahamika na ishafanyika tafiti kwamba sekta binafsi ndio inafanya vizuri. Hivyo katika bandari sekta binafsi huwa tunawapa suala la biashara lakini suala la ulinzi na usalama wao hawahusiki" Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Uchambuzi umefanyika na tafiti zimefanyika na kuonesha wazi wazi kwamba bandari hii (ya Dar es Salaam) ikiwekezwa vizuri na kupewa sekta binafsi yenye uwezo tunaweza kuongeza mapato kutoka shilingi trilioni 7 hadi kufikia shilingi trilioni 26.7" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

View attachment 2689298
Maprofessor uchwara kwanini serikali isiwekwze vizur
 
kuongeza mapato kutoka shilingi trilioni 7 hadi kufikia shilingi trilioni 26.7"

Huyu profesa wa elimu haya mahesabu ya kuambiwa ametoa wapi?

Dr. Kitila Mkumbo holds a PhD in Psychology from the University of Southampton in the UK (2008) and a Master's Degree in Applied Social Psychology from the University of Dar es Salaam (2002). He also holds a Bachelor of Science in Education Degree majoring in Biology and Chemistry as teaching subjects
 
"Nitumie fursa hii kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Waziri ambayo ameniteua katika ofisi yake nikishughulikia Mipango na Uwekezaji. Namshukuru sana kwa heshima na imani ambayo amenipa na ufanisi Mhe. Rais utumishi wenye kuzingatia maarifa, weledi na utiifu thabiti kwake mwenyewe, serikali, nchi yetu na Chama cha Mapinduzi" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Tutamsadia Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha kwamba mipango yetu ya maenedeleo inapelekea uchumi wetu kuendelea kukua na kupunguza umasikini wa katiba huo huo unakuwa ni uchumi jumuishi na unazingatia maendeleo vijijini" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Kila nchi duniani inapambana kuvutia uwekezaji, wawekezaji wa ndani na nje ya nje. Na suala la uwekezaji ni suala la ushindani mkubwa sana. Kila nchi ina faida za kuvutia uwekezaji lakini nchi yetu ina faida nyingi ambazo nchi nyingi hazina ikiwemo utulivu wa kisiasa na amani ya kutosha, umoja wa kitaifa na faida ya kijiografia" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Ukweli ni kwamba kampuni 7 zilileta mapendekezo kutoka katika sehemu mbalimbali duniani, baada ya uchambuzi na utafiti mpana uamuzi ulikuwa ni kuichukua kampuni ya DP WORLD kutokana na utaalamu, uzoefu wake, mtandao wake mpana wa biashara na uzoefu wa kufanya kazi katika mazingira yanayofanana na sisi (Tanzania)" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Bandari ni mpaka na ni biashara, na kwenye biashara inafahamika na ishafanyika tafiti kwamba sekta binafsi ndio inafanya vizuri. Hivyo katika bandari sekta binafsi huwa tunawapa suala la biashara lakini suala la ulinzi na usalama wao hawahusiki" Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"
"Uchambuzi umefanyika na tafiti zimefanyika na kuonesha wazi wazi kwamba bandari hii (ya Dar es Salaam) ikiwekezwa vizuri na kupewa sekta binafsi yenye uwezo tunaweza kuongeza mapato kutoka shilingi trilioni 7 hadi kufikia shilingi trilioni 26.7" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.
Uchambuzi umefanyika na tafiti zimefanyika na kuonesha wazi wazi kwamba bandari hii (ya Dar es Salaam) ikiwekezwa vizuri na kupewa sekta binafsi yenye uwezo tunaweza kuongeza mapato kutoka shilingi trilioni 7 hadi kufikia shilingi trilioni 26.7" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Kwa hiyo hii kazi ya "Kuvunga wananchi, wao wakiita kuelimisha wananchi, huyu ndiye kapewa, baada ya Mbarawa kuwa ngumu kwake?

Mbona yanayozungumziwa ni yale yale ambayo tayari watu wamekwishaona hayana ukweli wowote?

Huyu anao ushawishi gani zaidi ya Mbarawa, ukiondoa uTanganyika wake?.

View attachment 2689298
Katika viongozi 'bogus', huyu ni mmoja wao, 'opportunist' wa hali ya juu sana. Utadhani huko vyuoni kuna kozi inayofundishwa kuhusu ujinga ujinga na utapeli wa hali ya juu sana.
 
Huyu profesa wa elimu haya mahesabu ya kuambiwa ametoa wapi?

Dr. Kitila Mkumbo holds a PhD in Psychology from the University of Southampton in the UK (2008) and a Master's Degree in Applied Social Psychology from the University of Dar es Salaam (2002). He also holds a Bachelor of Science in Education Degree majoring in Biology and Chemistry as teaching subjects
AaaaHaaaaa. Kumbe?

Ndiyo maana yupo hivi. Sikujua 'academic credentials' zake huyu mtu!
 
"Nitumie fursa hii kumshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Waziri ambayo ameniteua katika ofisi yake nikishughulikia Mipango na Uwekezaji. Namshukuru sana kwa heshima na imani ambayo amenipa na ufanisi Mhe. Rais utumishi wenye kuzingatia maarifa, weledi na utiifu thabiti kwake mwenyewe, serikali, nchi yetu na Chama cha Mapinduzi" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Tutamsadia Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhakikisha kwamba mipango yetu ya maenedeleo inapelekea uchumi wetu kuendelea kukua na kupunguza umasikini wa katiba huo huo unakuwa ni uchumi jumuishi na unazingatia maendeleo vijijini" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Kila nchi duniani inapambana kuvutia uwekezaji, wawekezaji wa ndani na nje ya nje. Na suala la uwekezaji ni suala la ushindani mkubwa sana. Kila nchi ina faida za kuvutia uwekezaji lakini nchi yetu ina faida nyingi ambazo nchi nyingi hazina ikiwemo utulivu wa kisiasa na amani ya kutosha, umoja wa kitaifa na faida ya kijiografia" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Ukweli ni kwamba kampuni 7 zilileta mapendekezo kutoka katika sehemu mbalimbali duniani, baada ya uchambuzi na utafiti mpana uamuzi ulikuwa ni kuichukua kampuni ya DP WORLD kutokana na utaalamu, uzoefu wake, mtandao wake mpana wa biashara na uzoefu wa kufanya kazi katika mazingira yanayofanana na sisi (Tanzania)" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Bandari ni mpaka na ni biashara, na kwenye biashara inafahamika na ishafanyika tafiti kwamba sekta binafsi ndio inafanya vizuri. Hivyo katika bandari sekta binafsi huwa tunawapa suala la biashara lakini suala la ulinzi na usalama wao hawahusiki" Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

"Uchambuzi umefanyika na tafiti zimefanyika na kuonesha wazi wazi kwamba bandari hii (ya Dar es Salaam) ikiwekezwa vizuri na kupewa sekta binafsi yenye uwezo tunaweza kuongeza mapato kutoka shilingi trilioni 7 hadi kufikia shilingi trilioni 26.7" - Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji.

View attachment 2689298
Kwa makosa ya mwanzoni kabisa kama haya! Sidhani
ac120738-fd9c-470d-86b2-3d78ab3562dc.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom