Katika taarifa ya ripoti ya utafiti wa REPOA unasomeka kwamba uchumi wa nchi yetu unakua kwa kasi lakini nao umaskini wa wananchi unaongezeka kwa kasi.
Hoja yangu ni kwamba huu uchumi usio na manufaa kwa wananchi unatengenezwa na nani na kwa manufaa ya nani?
Niombe msaada wa elimu kwa wataalam wa uchumi lakini pia na mifano ya nchi zinazopiga/ zilizopiga hatua zikiwa na aina hii ya uchumi.
Kwetu tusio na elimu ya uchumi hatuoni matumaini wala ahueni ya maisha kwa kusikia ripoti hii.
Serikali inawezaje kuona na kufurahia aina hii ya uchumi huku wimbi kubwa la wananchi wakisalia ktk dimbwi kubwa la umaskini namna hii?
Hoja yangu ni kwamba huu uchumi usio na manufaa kwa wananchi unatengenezwa na nani na kwa manufaa ya nani?
Niombe msaada wa elimu kwa wataalam wa uchumi lakini pia na mifano ya nchi zinazopiga/ zilizopiga hatua zikiwa na aina hii ya uchumi.
Kwetu tusio na elimu ya uchumi hatuoni matumaini wala ahueni ya maisha kwa kusikia ripoti hii.
Serikali inawezaje kuona na kufurahia aina hii ya uchumi huku wimbi kubwa la wananchi wakisalia ktk dimbwi kubwa la umaskini namna hii?