Uchomaji wa kadi za CCM

Uchomaji wa kadi za CCM

Wakati hatukuwa na ndege zetu watu waliilaumu serikali ya CCM.

Magu kaingia na kuanza kununua ndege, watu wanailaumi serikali ya CCM na kudai ndege si kipaumbele.

Haki ya nani sisi hatujitambui kabisa.

Tupo tupo tu ka misukule.
Kama Kuna hasira tz imepata ni kumpa magu uraisi maana tunajua hakushinda....
 
Kama Kuna hasira tz imepata ni kumpa magu uraisi maana tunajua hakushinda....
Hivi kweli hizi kelele za humu zinaakisi hali halisi iliyopo nchini au?

Manake kila anapoenda Magu watu kibao tu hujitokeza kumlaki na kumwona....

JF bana....huwa iko kwenye sayari ingine kabisa
 
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
WEWE kama hukuchoma sema tu ni kaupepo...hata ingechomwa kadi moja tu ni jitihada kubwa!
 
You need to take a lesson on logic, bro. Mimi mwenywe nina kitambi na nimetoka kushindilia mlo mwingine wa ukweli lakini najua mtaani na kijijini kwangu wapo wengi tu wenye njaa.
Fanya Mazoezi wewe.

Kitambi ni Maradhi na wala si sifa
 
Hali ya njaa ilishatabiriwa na Shirika la Chakula duniani (FAO), tangu Julai 28, 2016 kwamba ukanda wa Kusini mwa Afrika utakabiliwa na njaa kuanzia mwishoni mwa Desemba hadi Machi 2017 na huenda hali ikaendelea mpaka katikati ya mwaka 2018, kama hatua hazitachukuliwa kusaidia wakulima wadogo hasa kwa kuwapatia pembejeo mapema na wapande mapema mvua za Oktoba 2016.
Mh. Ripoti niliyoisoma Mimi ya shirika la hali ya hewa duniani imesema kutakua na mvua chini ya viwango vya kawaida kuanzia mwezi disemba 2016 mpaka march 2017 ila maeneo ya mashariki mwa Tanzania hayatakumbwa sana na hali hiyo!
 
Mh. Ripoti niliyoisoma Mimi ya shirika la hali ya hewa duniani imesema kutakua na mvua chini ya viwango vya kawaida kuanzia mwezi disemba 2016 mpaka march 2017 ila maeneo ya mashariki mwa Tanzania hayatakumbwa sana na hali hiyo!
 
Hahahahah

Unawapa za uso

Tatizo hii nchi utoto ni mwingi sana.

Watu wengine ni Uni graduate lakini wamemkabidhi Mange akili zao. Inasikitisha sana kama taifa la kesho.

Angalia kwa sasa hii hoja ya njaa. Kelele nyingi utadhani Tanzania imefikia kiwango cha baa la njaa lililoikumba Ethiopia.

Baada ya muda hizi kelele zinapotea na watakuja na kelele zingine baada ya kupata kipigo kwenye uchaguzi mdogo.
Kwani Mange Unamchukulia Poa mbona ana MBA
 
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
haikuwa na uoparesheni wowote mtu mwenyewe alieianzisha ni mtaliki ambae anatapatapa tu maisha yamemshinda
 
Wewe unasema operation choma kadi....sasa ivi tunauguza maumivi kwani tumepigwa pigo takatifu. Kata 20 Ukawa tumeambulia 1 tu. Ccm 19. Hakuna cha operation wala nin....huyu mzee ndiye anayewamaliza kama hamujamshtukia. Mim ningeshauri tu Mh. Lowassa apumzike aachane na siasa. Ebu jikumbushe hii. Baadhi ya wabunge wa chadema walisema wanaomuunga Lowassa wapimwe akili. Mi nafikiri upepo umewabadilikia wao ndo wanapimwa Akili
55b25eef890e6ae34136dffd290f32e0.jpg
.
72f556e026cb90082380a871df5738c2.jpg
 
Kinachonikera mi wapinzani ni lugha ya matusi kutukanana hadharani,, unamtukana raisi kama amekuchukulia mke wako,, *lisu*na lema umenifanya niuchukie sana upinzani
 
Watu kama nyinyi mlio kwenye nchi ya fursa, mnapojaribu kuona mazingira yenu huko ni kama huku nyumbani mnatia hasira sana.

Wewe umeona hata waraka waliondikiwa mababa, lakini wajitia upofu.

Huoni hata watu wanavyolalamika mitaaani?

Huoni majira yetu yalivyoacha desturi yake? Mabadiliko hayo huyaoni?

Hujui kwamba zaidi ya 75% ya watanzania tunategemea majira haya kwa kilimo?

Huoni ukame unavyolikumba taifa letu mpaka watumishi wanaomba maombi yasikome kwa ajili ya haya.

Watu kama nyinyi mlitakiwa muuonje huu uhalisia ili kuujua vizuri, japo haiwezekani, msidhihaki wengine.

Ni bahati kwako nchi ilishatumia rasilimali nyingi kukufanya uone, lakini umekataa kuona.

Unadhulumu wengine.
Njaa hakuna wewe ni.blah blah za watu tuu

Magu katoa nwanya sana wa watu kulia so wanalia sanaaa

Ukame huu unaingilia nini na.hizo njaa mnazo lia lia??

Hivi mnakulaga mazao mateta maana sio muda wa mavuno.huu
 
Kwani Mange Unamchukulia Poa mbona ana MBA
Hoja sio MBA bali ni matendo yake.

Utoto mwingi lakini kinachoshangaza zaidi kuna baadhi ya wanaokubaliana na utoto wake wakati wana elimu ya chuo kikuu.
 
Wewe unasema operation choma kadi....sasa ivi tunauguza maumivi kwani tumepigwa pigo takatifu. Kata 20 Ukawa tumeambulia 1 tu. Ccm 19. Hakuna cha operation wala nin....huyu mzee ndiye anayewamaliza kama hamujamshtukia. Mim ningeshauri tu Mh. Lowassa apumzike aachane na siasa. Ebu jikumbushe hii. Baadhi ya wabunge wa chadema walisema wanaomuunga Lowassa wapimwe akili. Mi nafikiri upepo umewabadilikia wao ndo wanapimwa Akili
55b25eef890e6ae34136dffd290f32e0.jpg
.
72f556e026cb90082380a871df5738c2.jpg
Ahahahahaaaaa

UKAWA oyeeeee
 
Back
Top Bottom