zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,813
- 36,429
Taifa gani??? Hivi akili zako unatumiaje mkuu??? Sheria inasema mikutano haina kikomo maana ndio njia pekee ya kufikia wasio wafuasi na uwape sera zako ili waingie kwenye chama chako hivi unafkiri wakristo au waislam bila mihadhara na mikutano ya injili watawezaje kuhubiri wapagani?????? Je dini zitakuwa kwa size ???Taifa gani hapa duniani linaruhusu huu uhuni? Uchaguzi umekwisha na mmekwisha pigwa chini. Subirini kipindi cha kampeni na hiyo M4C yenu.
Taifa gani duniani anzia kenya uganda burundi rwanda drc zambia kote huko mikutano inafanyika nlikuwa congo rd juzi nlikuta vital kamerrhe anapiga mkutano, kenya kina odinga wamezunguka toka january pia uganda kina nandala mafabi na besigye wanapiga mikutano kma kawa afu tukija bongo hapa eti ooh kazi ssa nyie mnawazidi kenya kwa kupenda kufanya kazi????
Hivi majitu kma nyie mlisoma wapi shule hata umeniharibia sikukuu yangu piece of sh**t