Uchomaji wa kadi za CCM

Uchomaji wa kadi za CCM

Machadema yameuzwa kwa jumla na Mbowe, now wamebakisha matusi ndio jambo kubwa wanalolijua..ovyo sana hiki kikundi cha waganga njaa.
 
Hahahaaa hili la njaa nalo bana...

Hao wanaolialia eti kuna njaa hebu jaribu kuuliza nani kati yao hajala leo na hutompata hata mmoja.

Tena wengine na mijitambi yao unawakuta huku kwenye mitandao wakidai eti kuna njaa.

Toka lini kwenye njaa ukakuta watu wana mijitambi?

Watu wazushi mno aisee.

Na chuki zao kwa Magu ndo zinawafanya wawe maju.ha kabisa.
Waza kwa kichwa, usiwaze kwa makalio ambayo kila siku yanamegwa na hao mabwana zako.
 
Uchomaji unaendeleaje wajameni....?😀😀😀😀😀
 
Please, don't giggle!

Hili ni swali muhimu sana kwa sababu tunakata ikifika 2019 CCM ibaki na watu wawili ambao ni 'Ngosha na Bashite'!

Kama isingekuwa Kinana kuwekwa kizuizini, kwa sasa angekuwa amesharudisha kadi ya CCM!

Kwa sasa tunaye kibindoni Wema Sepetu na Mama yake, bado Steve Nyerere na kundi lake la Bongo Movie!

Hizi siasa za kwenye Instagram zina vituko! Watu wazima na akili zao 'timamu' wanalishana ujinga!
 
Please, don't giggle!

Hili ni swali muhimu sana kwa sababu tunakata ikifika 2019 CCM ibaki na watu waeili ambao ni 'Ngosha na Bashite'!

Kama isingekuwa Kinana kuwekwa kizuizini, kwa sasa angekuwa amesharudisha kadi ya CCM!

Kwa sasa tunaye kibindoni Wema Sepetu na Mama yake, bado Steve Nyerere na kundi lake la Bongo Movie!

Hizi siasa za kwenye Instagram zina vituko! Watu wazima na akili zao 'timamu' wanalishana ujinga!

Ni beyond vituko.

Ni umajinuni kabisa.

Kubwa kuliko ni pale unapoona watu wanaojipambanua kuwa ni watu wenye 'akili' wakiunga tela la huo umajinuni!

Poor them....they can't think for themselves.
 
Uchomaji unaendeleaje wajameni....?😀😀😀😀😀
Rudisheni mikutano muone makamanda wakizungukia M4C wanavyoifuta ccm na kadi kuchomwa kma njugu!!!

Sasa mikutano hamna hao wanaccm unawapa hoja saangapi ili wakubali kuhama chama
 
Please, don't giggle!

Hili ni swali muhimu sana kwa sababu tunakata ikifika 2019 CCM ibaki na watu wawili ambao ni 'Ngosha na Bashite'!

Kama isingekuwa Kinana kuwekwa kizuizini, kwa sasa angekuwa amesharudisha kadi ya CCM!

Kwa sasa tunaye kibindoni Wema Sepetu na Mama yake, bado Steve Nyerere na kundi lake la Bongo Movie!

Hizi siasa za kwenye Instagram zina vituko! Watu wazima na akili zao 'timamu' wanalishana ujinga!
Yaani mnazuia mikutani ya siasa afu mnaanza kujisifia kuretain wanachama?? Si muweke fair ground muone kma zile operesheni za M4C zitawaacha ccm salama
 
...
Hizi siasa za kwenye Instagram zina vituko! Watu wazima na akili zao 'timamu' wanalishana ujinga!
Ndiyo tunashuhudia tofauti ya chadema ile na hii ya leo isiyojua hata inachosimamia. Kuna mambo ambayo huwezi kuyatetea bila kujitoa ufahamu. Tukihoji kulikoni tunaambiwa no permanent friends... Usishangae kesho vijana hawa wanaomtakia kila baya Makonda wakageuka kumuimbia kila pambio la sifa kama ilivyo kwa lowasa.
 
Back
Top Bottom