Uchomaji wa kadi za CCM

Uchomaji wa kadi za CCM

Nyingi ya hizo kadi zimechomwa kwenye nyoyo za raia wa nchi ya ahadi,watabainisha hasira zao miaka 3 na miezi minane ijayo.
Hakuna neno la huruma litakaloweza kubadili msimamo,hatatokea kama ambavyo hajatokea kiongozi yeyote wa kiimani atakaesikilizwa,ni HAPANA TU itatumika.
2020 ni kasheshe Kura zitatoka chattle tu!!!!
 
Hahahahah

Unawapa za uso

Tatizo hii nchi utoto ni mwingi sana.

Watu wengine ni Uni graduate lakini wamemkabidhi Mange akili zao. Inasikitisha sana kama taifa la kesho.

Angalia kwa sasa hii hoja ya njaa. Kelele nyingi utadhani Tanzania imefikia kiwango cha baa la njaa lililoikumba Ethiopia.

Baada ya muda hizi kelele zinapotea na watakuja na kelele zingine.
Pumbuf
 
Hahahaaa hili la njaa nalo bana...

Hao wanaolialia eti kuna njaa hebu jaribu kuuliza nani kati yao hajala leo na hutompata hata mmoja.

Tena wengine na mijitambi yao unawakuta huku kwenye mitandao wakidai eti kuna njaa.

Toka lini kwenye njaa ukakuta watu wana mijitambi?

Watu wazushi mno aisee.

Na chuki zao kwa Magu ndo zinawafanya wawe maju.ha kabisa.
Leo unafikiria kama nyani....

Akili zako mfuko WA kalioni wewe ushakula left over za wahindi huko ulipo huwezi jua njaa za wenzio pumbafu zako
 

Attachments

Sasa hivi wana kaupepo ka Njaa
Baada ya Saa8
Nako katapotea

Awamu hii Kick zitafukuliwa mpaka wachoke wenyewe
Jamaa ndio habadiliki kabisaa
!!
Yaani ngoma wapige wao
Nakuicheza wao!!!
MAGU KAZA KAZA BABA
Pumbafu
 
Report kamili kutolewa serikali ikisha hamia dodoma.
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
 
1. Tatizo Ni Mfumo Siyo Mtu

2.Magufuli Anatekeleza Sera Zetu

3.Magufuli Hajui Kiingereza

4.PhD

5.Magufuli Safiri Nenda Nje Ya Nchi

6.Bunge Live

7.Mikutano Ya Siasa

8.Naibu Spika

9.Ukuta

10.Ben Saanane + Miili Ya Pugu

11. Lema

12. Njaa ( Hili Nalo Litapita )
 
1. Tatizo Ni Mfumo Siyo Mtu

2.Magufuli Anatekeleza Sera Zetu

3.Magufuli Hajui Kiingereza

4.PhD

5.Magufuli Safiri Nenda Nje Ya Nchi

6.Bunge Live

7.Mikutano Ya Siasa

8.Naibu Spika

9.Ukuta

10.Ben Saanane + Miili Ya Pugu

11. Lema

12. Njaa ( Hili Nalo Litapita )
...and still counting!
 
1. Tatizo Ni Mfumo Siyo Mtu

2.Magufuli Anatekeleza Sera Zetu

3.Magufuli Hajui Kiingereza

4.PhD

5.Magufuli Safiri Nenda Nje Ya Nchi

6.Bunge Live

7.Mikutano Ya Siasa

8.Naibu Spika

9.Ukuta

10.Ben Saanane + Miili Ya Pugu

11. Lema

12. Njaa ( Hili Nalo Litapita )
Wakati hatukuwa na ndege zetu watu waliilaumu serikali ya CCM.

Magu kaingia na kuanza kununua ndege, watu wanailaumi serikali ya CCM na kudai ndege si kipaumbele.

Haki ya nani sisi hatujitambui kabisa.

Tupo tupo tu ka misukule.
 
Back
Top Bottom