Uchomaji wa kadi za CCM

Uchomaji wa kadi za CCM

Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
Mkuu Siku hizi unaonekana kabisa kuwa umekuwa puppet wa ccm.
CCM ni chama kipenzi cha watanzania ni nani wa kuchoma kadi?
 
Hawakawii kukamata na kufunga unachezea kyama dora!!!
 
Hahahahah

Unawapa za uso

Tatizo hii nchi utoto ni mwingi sana.

Watu wengine ni Uni graduate lakini wamemkabidhi Mange akili zao. Inasikitisha sana kama taifa la kesho.

Angalia kwa sasa hii hoja ya njaa. Kelele nyingi utadhani Tanzania imefikia kiwango cha baa la njaa lililoikumba Ethiopia.

Baada ya muda hizi kelele zinapotea na watakuja na kelele zingine.
.....
....umekula?
 
Nyingi ya hizo kadi zimechomwa kwenye nyoyo za raia wa nchi ya ahadi,watabainisha hasira zao miaka 3 na miezi minane ijayo.
Hakuna neno la huruma litakaloweza kubadili msimamo,hatatokea kama ambavyo hajatokea kiongozi yeyote wa kiimani atakaesikilizwa,ni HAPANA TU itatumika.
Kwa Upinzani huu wa akina Mbowe unaosubiri FISADI litakalokatwa CCM wapige dili? Sahau mkuu - CCM tunayo tupende tusipende na Magufuli atabaki kuwa the Best Alternative hata kama ana mapungufu.
 
Kwa Upinzani huu wa akina Mbowe unaosubiri FISADI litakalokatwa CCM wapige dili? Sahau mkuu - CCM tunayo tupende tusipende na Magufuli atabaki kuwa the Best Alternative hata kama ana mapungufu.
Kwani ccm bado ipo mkuu,mbona iko kimya sana.
 
Zinachomwa kimya kmya. Si walikuwa wamesha anza kutunga sheria juu ya uchomaji wa kadi zao
 
You need to take a lesson on logic, bro. Mimi mwenywe nina kitambi na nimetoka kushindilia mlo mwingine wa ukweli lakini najua mtaani na kijijini kwangu wapo wengi tu wenye njaa.
Sasa kwa nini umeshindilia chote na hujaenda kuwagaia wenzio wenye njaa?
 
Mkuu Siku hizi unaonekana kabisa kuwa umekuwa puppet wa ccm.
CCM ni chama kipenzi cha watanzania ni nani wa kuchoma kadi?
Sina chama mimi.

Au hujawahi kuona nikiwaponda CCM humu?
 
Mnawaza mambo ambayo mnayaona hayana maana kumbe yanawauma
 
Zitaisha kama zile kelele za rambi rambi huko kwa akina Katerero
 
Hahahahah

Unawapa za uso

Tatizo hii nchi utoto ni mwingi sana.

Watu wengine ni Uni graduate lakini wamemkabidhi Mange akili zao. Inasikitisha sana kama taifa la kesho.

Angalia kwa sasa hii hoja ya njaa. Kelele nyingi utadhani Tanzania imefikia kiwango cha baa la njaa lililoikumba Ethiopia.

Baada ya muda hizi kelele zinapotea na watakuja na kelele zingine.
Umesukia askofu wa jumbo catholic mwanza? Anataka tuwaombee wasiojua kuna njaa wajue IPO. Habari za kadi hata mie siwezi kuchoma mana ni Mali yangu
 
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
imeyeyuka kama operation ukuta na kata funua...
 
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
Kwa haya yanayoendelea.ipo siku mtakuja kutafuta kadi za ccm.mtapata mbili tu.yako na ya magufuli
 
Back
Top Bottom