wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,549
Mkuu Siku hizi unaonekana kabisa kuwa umekuwa puppet wa ccm.Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?
Ni kadi ngapi zilichomwa?
Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko![]()
![]()
CCM ni chama kipenzi cha watanzania ni nani wa kuchoma kadi?