Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Mungu hasababishi mambo mabaya.
Soma Ayubu 34:10 Yakobo 1:13.
Ila wachungaji huwa wanatudanganya eti ni mapenzi ya Mungu
 
Embu mzee mathayo atusome ule mstari wa biblia unaosema walevi,wazinzi etc ndio watakuwa wa kwanza kuingia ktk ufalme wake...
 
Hapo Ziwa Victoria Kisiwa cha Ukala Meli ilizama na kuua watu takribani 500+ kwa mpigo.
Sijui Mungu alikuwa amelala?
Unaweza kuona kama tuna dhihaki lakini tunajaribu kuwaza tu kama viumbe wake Mungu mtakatifu
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
 
Mungu ameumba watu na vitu kwa nia ya kuupendezesha ulimwengu wake, hana shida yawew kumuabudia, ata ukimuabudia hautamuongezea upako wowote wew kwake ni kitu kidogo sana, mjitahid kusoma vizur vitabu vya dini na mvichambue vyema sio mambo ya kuchambuliwa ndio yaje yawatokee ya kibwetele na bwana Mackenzie.

baada ya kifo hakuna moto, itakuwa ni ukatili Mungu yeye mwenyewe kutuchanganya na shetani humu humu duniani ilhali anajua sisi ni viumbe dhaifu aliyetuumba kwa nyama na shetani kamuumba kwa moto kutupambanisha tupambane nae pasipo kujua ugomvi wao Mungu na shetani ulikuwa ni nini, kwanini hasingemtupia kwenye sayari zingine uko. USIRITHI ADUI WA MTU.. Achana na shetani Mungu mwenyew atadeal nae maana yey ndiye ajuaye ugomvi wao ulianzia wapi.
Toa ushahidi katika kitabu chako cha imani kuwa Eti
Mungu ameumba watu na vitu kwa nia ya kuupendezesha ulimwengu?
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Hivi kwanini watu mnadhani Mungu ni kama mtu wa kumchezeachezea kama peremende?
Mungu hanaga utani na mwanadamu, ana upendo usio na kikomo na at the same time ghadabu kali mno Kwa wanaomuasi kwa makusudi .
Yaani utumie uchawi then umrudie Mungu unaongea kwa urahisi hivyo?
Chagua upande, ukitaka kumtumikia Mungu Mtakatifu mtumikie , ukitaka uchawi nenda.
Kwanza ni nani kakuambia Mungu ameumba note za pesa? Mungu kaumba dhahabu na minerals zingine za thamani, so hizi pesa Kuna mmiliki wake(mungu wa pesa) anaitwa mammon.
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.


Kilichompata farao na mauchawi yake kule misri hakipo mbali na wewe
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Ukiambiwa uthibitishe unaishia kukimbia
 
Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.

Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?

Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?

Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?

Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?

Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?

Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?

Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu

Jifunze kuishi kwa technique.

Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Mbinguni hakuna wachawi, maskini, vilema, magonjwa,wezi, makahaba, waongo nk nk.

Kuzimu ndipo Kuna hayo malaana, wanaochechemea, vipofu, wenye madonda Sugu, wazinzi, makahaba, wagomvi, tamaa, husda nk nk, na shetani ndo baba wa Kila UOVU na dhambi.

Hata pale Bustani ya Edeni hapakuwa na maskini, Wala ombaomba, palikuwa na maisha murua Hadi pale mwanadamu Kwa HIYARI yake alipomkabidhi shetani mamlaka.

Shetani amemeza Mali na hazina za gizani, na anataka Eti Wana wa Mungu tukasujudu Kwa ke ndo atupe,

Sisi tunamjua anayestahili kuabudiwa, ni Yesu Kristo, Mungu mkuu wa pekee.

Tukitaka Mali, sharti la kwanza lazima uache dhambi, ukiishi maisha matakatifu hakuna kupungukiwa.

Huwa tunamwamuru shetani azitapike hazina za gizani alizozificha Kwa Jina la YESU na hutii.

Ungejua mateso ya kuzimu na jehanum yalivyo, kamwe usingeenda Kwa hao WAPUMBAVU waliao kama ndege hayawani wa mwitu.
 
Mbinguni hakuna wachawi, maskini, vilema, magonjwa,wezi, makahaba, waongo nk nk.

Kuzimu ndipo Kuna hayo malaana, wanaochechemea, vipofu, wenye madonda Sugu, wazinzi, makahaba, wagomvi, tamaa, husda nk nk, na shetani ndo baba wa Kila UOVU na dhambi.

Hata pale Bustani ya Edeni hapakuwa na maskini, Wala ombaomba, palikuwa na maisha murua Hadi pale mwanadamu Kwa HIYARI yake alipomkabidhi shetani mamlaka.

Shetani amemeza Mali na hazina za gizani, na anataka Eti Wana wa Mungu tukasujudu Kwa ke ndo atupe,

Sisi tunamjua anayestahili kuabudiwa, ni Yesu Kristo, Mungu mkuu wa pekee.

Tukitaka Mali, sharti la kwanza lazima uache dhambi, ukiishi maisha matakatifu hakuna kupungukiwa.

Huwa tunamwamuru shetani azitapike hazina za gizani alizozificha Kwa Jina la YESU na hutii.

Ungejua mateso ya kuzimu na jehanum yalivyo, kamwe usingeenda Kwa hao WAPUMBAVU waliao kama ndege hayawani wa mwitu.
Wewe una hizo mali? Au una nyumba na gari na kabiashara kako ka 20000 kwa siku faida?
 
Wewe una hizo mali? Au una nyumba na gari na kabiashara kako ka 20000 kwa siku faida?
Kila mtu ana Mali, AFYA ni Mali, watoto ni Mali, pesa, mashamba, Vito vya thamani, miradi nk nk.

Kuna jambo moja Mungu amelifanya kuwa sawa Kwa wote,

Mfano, Ukiwa na magari 100 Kwa mfano, ya kifahari, huwezi endesha yote at once, utaendesha moja.

Ukiwa na kabati kubwa refu lenye suit za Kila aina, ukivaa suit 4 at once, u kichaa, utavaa moja tu.

Ukiwa na ng'ombe, Mbuzi nyingi nawe u tajiri, ukichunja ng'ombe 10 na Mbuzi 20, kuku 100, huwezi kula pekeako, utakula Kwa uwezo wa tumbo ambalo ni sawa na la maskini, tena maskini anaweza kukuzidi appetite.

Ktk maisha haya halipo zuri zaidi ya kula, na kunywa na kufurahi,

Bt lipo lililo kuu zaidi ya yote, ni Kupata chakula Cha ROHO Yako ambacho ni NENO la Mungu.

Mali na utajiri Si vya kuvisumbukia, imeandikwa tuutafute kwanza Ufalme wa Mungu na HAKI yake, na hayo yote tutazidishiwa.

Mungu anaposema tutazidishiwa, anamaanisha Kila mtu anao utajiri Mungu aliokwisha kuweka ndani ya mtu, tukimtafuta anazidisha.

Ameen
 
Yaani kwamba uwe shoga wakutindue, wakutindue marinda, update hela alafu ukumbuke kusali? We nenda kivyako wakutindue usiwashawishi wengine
 
Acha Kufuru zako Mungu Amekamilika na sifa zako pungufu .Mungu Ametuumba na kutupa akili na Mungu ametupa mitihani kama wewe ulivyokwenda shule huw aunapewa mtihani ukifeli hauoendelee na shule ukipasi unaendelee mbele na shule masomo ya juu.Na hivyo hivyo Mungu anatupa mtihani matatizo njaa dhiki shida maradhi vifo, Umasikini uUtajiri kwakle yote hayo ni mtihani tuna angalia je tutapasi au kufeli? Tukikufuru tunaingia mpotoni tukipasi tunaingia peponi uchaguzi ni wako.Acha kufuru zako na kejeli zako Mungu amekupa akili ,mikono miwili,miguu miwili pua mdomo kichwa moyo figo bandama maini matumbo.Na Kitu kimoja kikubwa alichokupa Mungu ni hiyo uhai aka pumzi zinazo kufanya ulete kufuru na jeuri zako je unaweza kumlipa kitu gani Mungu? Fadhila zote alizokupa Mungu je unawezakulipa japo moja?Achaupumbavu wako wakukukufuru na jeuri zako usiye kuwa na fadhila kwa Muumba wa mbingu na nanchi.Utaingia motoni shauri yako.
Nanyi wanadini mnavituko simnasemaga anaijua kesho yako sasa anakupa mtihani wanini wakati anajua utafeli msipende kumzungumzia sana mungu shaulini watu wasali nawamkumbuke lwa matendo yake yakiuumbaji lakini mengineo nichumvi bro
 
Kwani Mungu Amekuumba bure tu bila ya sababu? Lengo la Mungu kukuumba ili upate kumuabudia yeye.ndio lengo lake Hataki kitu kwako. Na Uchawi upo na ndio aliyeumba yeye na moto ipo na pepo ipo kazi kwako chagua mabaya uingie motoni chaguwa mazuri uingie peponi. Kazi kwako.
Hata hivyo bado umeshindwa lueleza ueleweke kama shida yake nihiyo angekuumba uwe unawaza kuimba nakusifu au yeye alishindwa kuiweka sawa hii program katika uumbaji wake
 
Huyu mwamba ukisoma vzr alichoandika... tena kwa kutumia jicho la tatu kuna ukweli 99%

Mfano: mchungaji akitaka gari tunamchangia ila sisi waumini anatuombea....

Siku hizi kumwona Mch. Lazima utoe hela.... , huko kenya (Mch. Mackenzie).

Kina Gwajima, Mwamposa, na wengine wengi kwenye hii imani kuna kitu hakipo sawa....


Ukienda kanisani lazima upeleke chochote... ila wao hawakupi chochote..


Anyway, mimi ni MKKKT.... Tumsifu Yesu Kristo.
 
Back
Top Bottom