UCHAWI: Upo au haupo?

UCHAWI: Upo au haupo?

Nimekua nikisikia simulizi nyingi za vibwengu......na mambo mengi chungu nzima ila.... kila nikiuliza mtu anae simulia hiyo stori anasema alisimuliwa....je kuna ukweli wowote kuhusu dhana ya kuepo kwa uchawi ??


Sent using Jamii Forums mobile app

uchawi upo ila ni vigumu kuamin na kueleweshwa mpaka yakukute!,jamaa mmoja pale Katavi(inyonga) aliandikaga kwenye gari yake"MUNGU ATOSHA",huyu jamaa yeye hakuwah kuamin uchawi kama upo,kuna msukuma flan wa tabora alikuja kumpiga kombora ikabidi jamaa azunguke tabora nzima kutembelea waganga baada ya utatuz kupitia kanisa kugonga mwamba,sasa hv ana chale mwili mzima na bado anazungukia waganga kujikinga zaidi,mala ya mwisho nimekutana ikola(tanganyika) akanidanganya kafata dagaa kigoma ila mmoja wa jamaa yake alinambia jamaa kaja kwa mganga flan maarufu sn kwa kuwa na mamba wa kutengeneza na huwa anasaidia wavuvi kuzuia mvua..uchawi upo aisee
 
Uchawi upo kabisa,kuna kisa kimoja kuna bibi mmoja tulikuwa tunasikia ni mchawi sasa pale kwake alikuwa ana mjukuu wake black beauty/mrembo flani hivi.Sasa kuna kijana mwenzangu alikuwa anamtaka yule binti halafu binti hana mpango kabisa.Kuna siku alijichanganya akang'oa miche ya mazao ya huyo bibi kisamba cha nyumbani kwa hasira na matusi (kwanza wewe bibi mchawi).Kilichotokea dogo aliugua Malaria iliyopanda kichwani siku ileile na mpaka leo akili yake haipo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchawi upo kabisa,kuna kisa kimoja kuna bibi mmoja tulikuwa tunasikia ni mchawi sasa pale kwake alikuwa ana mjukuu wake black beauty/mrembo flani hivi.Sasa kuna kijana mwenzangu alikuwa anamtaka yule binti halafu binti hana mpango kabisa.Kuna siku alijichanganya akang'oa miche ya mazao ya huyo bibi kisamba cha nyumbani kwa hasira na matusi (kwanza wewe bibi mchawi).Kilichotokea dogo aliugua Malaria iliyopanda kichwani siku ileile na mpaka leo akili yake haipo sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mapenzi yalimponzaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchawi upo na wachawi wapo
Kuna tukio nililishuhudia kwa macho yangu,
Pale morogoro kuna nyumba ya urithi ya watoto 7 iv, lakin anaishi mtoto wa kwanza alafu ni mganga ao watoto wengine wameizira hiyo nyumba maana ukienda kudai urithi tu kesho unaamka chiz watoto watatu wamekua machiz waliobak wakaona sio kesi tumuachie tu hiyo nyumba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchawi upo na wachawi wapo
Kuna tukio nililishuhudia kwa macho yangu,
Pale morogoro kuna nyumba ya urithi ya watoto 7 iv, lakin anaishi mtoto wa kwanza alafu ni mganga ao watoto wengine wameizira hiyo nyumba maana ukienda kudai urithi tu kesho unaamka chiz watoto watatu wamekua machiz waliobak wakaona sio kesi tumuachie tu hiyo nyumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Duu

Jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom