Sumbawanga noma nina na rafiki yangu tunaheshimiana ni Polis siku moja katika utani akaniambia (nanukuu) Nina mtu ananipenda lakini Mimi simpendi na ana mke Kama ningekuwa nampenda kwa dhati ningeua mke wake na watoto wote wa tatu akabakia ni wangu tu
Nikamuuliza ukiwaua si utajulikana utafia gerezani?
Akajibu
Nikitaka natuma radi inawasambaratisha wote labda mahakama ifunge radi siyo mimi na alinithibitisha uwezo huo anao bila kuhitaji msaada wowote .
Na aliniambia iwapo nitahitaji msaada kwa mtu aliyeniudhi nimwambie tumfanyizie huyo mtu
Sent using
Jamii Forums mobile app