UCHAWI: Upo au haupo?

UCHAWI: Upo au haupo?

Wewe unayejifanya una kichwa kigumu kama jiwe eti huamini uchawi, subiri yakukute ndo utajua. Uchawi upo na wachawi wapo, maana uchawi ni nguvu za giza. Sasa kama huamini kuna uchawi maana yake huamini kama kuna nguvu za giza. Hivyo hujui hata dini zinasaidia nini.
 
Wewe unayejifanya una kichwa kigumu kama jiwe eti huamini uchawi, subiri yakukute ndo utajua. Uchawi upo na wachawi wapo, maana uchawi ni nguvu za giza. Sasa kama huamini kuna uchawi maana yake huamini kama kuna nguvu za giza. Hivyo hujui hata dini zinasaidia nini.
Unapolazimisha mm nikuamini ndipo unathibitisha kuwa ni uongo, kwa nini uandikie mate na wino upo ? ? kama kweli uchawi upo na wewe unaweza basi hapo hapo ulipo FUTA HAYA MANENO YANGU HAPA SASA HIVI NAKUPA DAKIKA 60
 
Wewe unayejifanya una kichwa kigumu kama jiwe eti huamini uchawi, subiri yakukute ndo utajua. Uchawi upo na wachawi wapo, maana uchawi ni nguvu za giza. Sasa kama huamini kuna uchawi maana yake huamini kama kuna nguvu za giza. Hivyo hujui hata dini zinasaidia nini.

Uchawi ni upo duniani, na sizani kama ni nguvu za giza bali ni utamaduni wa binadamu kote duniani, kuna ambao wanautumia kwa manufaa mazuri na wengine wanautumia kuwasumbua/kuwadhuru wenzao
 
Sumbawanga alibebwa ng'ombe na kupaishwa juu angani na ndege MWEWE sasa we beep au jifanye kama unajikuna tu uone

Sent using Jamii Forums mobile app
Sumbawanga noma nina na rafiki yangu tunaheshimiana ni Polis siku moja katika utani akaniambia (nanukuu) Nina mtu ananipenda lakini Mimi simpendi na ana mke Kama ningekuwa nampenda kwa dhati ningeua mke wake na watoto wote wa tatu akabakia ni wangu tu

Nikamuuliza ukiwaua si utajulikana utafia gerezani?
Akajibu
Nikitaka natuma radi inawasambaratisha wote labda mahakama ifunge radi siyo mimi na alinithibitisha uwezo huo anao bila kuhitaji msaada wowote .
Na aliniambia iwapo nitahitaji msaada kwa mtu aliyeniudhi nimwambie tumfanyizie huyo mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sumbawanga noma nina na rafiki yangu tunaheshimiana ni Polis siku moja katika utani akaniambia (nanukuu) Nina mtu ananipenda lakini Mimi simpendi na ana mke Kama ningekuwa nampenda kwa dhati ningeua mke wake na watoto wote wa tatu akabakia ni wangu tu

Nikamuuliza ukiwaua si utajulikana utafia gerezani?
Akajibu
Nikitaka natuma radi inawasambaratisha wote labda mahakama ifunge radi siyo mimi na alinithibitisha uwezo huo anao bila kuhitaji msaada wowote .
Na aliniambia iwapo nitahitaji msaada kwa mtu aliyeniudhi nimwambie tumfanyizie huyo mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...

Jr
 
Uchawi upo na wachawi wapo
Kuna tukio nililishuhudia kwa macho yangu,
Pale morogoro kuna nyumba ya urithi ya watoto 7 iv, lakin anaishi mtoto wa kwanza alafu ni mganga ao watoto wengine wameizira hiyo nyumba maana ukienda kudai urithi tu kesho unaamka chiz watoto watatu wamekua machiz waliobak wakaona sio kesi tumuachie tu hiyo nyumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa wa pwani Kuna Mzee mmoja ni mganga wa kienyeji ana viwanja vitatu kila mwezi anaviuza Bei ndogo Sana lakini kila anayenunua huwaga harudi nimeshuhudia wateja zaidi ya 10 wananunua lakini hakuna aliyewahi kurudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa mmoja mlokole alikataa kata kata hakuna uchawi , mtoto wake alikuwa na akili sana ila mchawi akakung'uta kichwa cha mtoto na kumuachia maji tu ! Piga maombi ila wapi , baba akalegeza uzi na kumpeleka kwa mtaalamu wa kienyeji na mtoto akapona . Sasa mlokole anaamini uchawi upo kwa asilimia 101 . Shikamoo ulimwengu wa roho . Plato said what we see is just photocopy of the reality , we are still in the cave we ought to get out so as to see reality .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michezo ya wanga na wachawi shukuru Mungu hukula. ..watu wengi hulishwa nyama za watu na wa nyama kupitia ndoto kama hizo!
Ingetokea ukala kesho undeshinda vibaya huku tumbo likiwa limejaa na kujisikia hovyo hovyo tuu

Hahaaaaaaaaaa! Mkuu Uzoefu. Nimeota ndoto lakini asubuhi ndoto siikumbuki vizuri yaani mtiririko wake.
 
lakini nina tatizo na mashaka makubwa na wale wenye imani kamili juu ya Mungu mmoja, muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo (ukiwemo uchawi)! Shida yao hii hapa! Aidha wanasoma misahafu yao kwa kukakiriri bila kuelewa, ama wanapotoshwa na wengine.....Sijakuelewa hapa Mshana. Unamaanisha nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom