UCHAWI: Upo au haupo?

UCHAWI: Upo au haupo?

Hodii wana jamvi mi ni mpya humu. Ila nilikua nikifatilia sana topic za mshana huwa napenda sana mada za kunifikirisha. Kama hii napata elimu na kujifunza zaidi maana ndo ulimwengu wenyewe huu na uchawi upo mpk kwenye biblia umeandikwa kwa sisi waamini wa bible. So usibishe sana kwa sababu kuna watu wana uishi.
Karibu Ila Mada Zenyewe Huwa zinaletwa Usiku Wa manane
 
Ndio ndimu zaidi sana na kitunguu saumu
Kitunguu swaumu pia nafanyaje, natafuna au? Nakm jibu ndio inatakiwa ule ndimu nakitunguu kwa pmj? Ni kila siku ziendazo kwa mungu au ni siku kadhaa tu?
 
Nimegonga like kabla ya kusoma habari nzima. Ulimwengu wa kila ndio haswa unaoendesha dunia nzima
 
Mada nzuri sana we2 waweza wasaidia wengi!ngoja kidogo,uchawi ni hisia uchawi hauonekani na uchawi ili ufanye kazi ni lazima we2 au mi2 tuamue uchawi pia unaishi kwenye akili zetu.kwa mfano waweza chkua mkaa chumv mchanga labda na damu ukafunga pamoja halafu ukaita hirizi au dawa ya biashara ukampa mtu weka kwenye duroo itaita wateja au ukafukia kwenye nyumba ya mtu then ukafanya maujanja yako unaenda toa lipembe theni ukatoa hilo watu watakuaamin ndio si umetoa,ila uchawi wenyewe ukiupuuza hauta kua na maana kwako na wala hauta fanya ki2 kwako tafiti zangu zinaonyesha watu weng wanao dhulika na nguvu hii ni wale ambao wamekumbatia akili zao tu hawataki kujifunza vitu vipya.kila ninapo tafta mtu alie logwa najaribu kaa nae najaribu muuliza maswali kwa utulivu ni watu wenye uwezo mdogo wa kupambanua mambo mfano mtu anakwambia nilienda kwa mganga akachanja chale kichwani halafu akatoa mkaa au mahindi au ulezi kwenye akili ya kawaida unaweza muonea huruma waganga wengi ni jamaa zangu kwa kua nawapenda wanapo nipaga stori hizi na maujanja wanayo fanyaga tusaidie jamii zetu zinaangamia
 
Sawa mkuu nimetoka kuota mtu ananilazimisha kula nyama tena vipande vya nyama kama sikosei ni maini,nlpostuka jasho linantoka sna ,vp maana yake nini hii?yan nimechoka hadi dakika hii sielew elew mkuu ukzngatia npo mkoan
Angalia mchana ulikula nini au ulishinda mazingira gani.kumbka mfano ukila chakula ambacho kwenye mfumo wa usagaji kitasumbua yaani tumbo litapata shida kusaga lazima hata pumzi itasumbua usku hivyo wakati ukihangaika kupumua ndio unaota sasa pole niulize lolote kuhusu uchawi nitakusaidia na huta kuja logwa na utapuuza kabisa 0756805540
Ni msimamo nzuri
 
Michezo ya wanga na wachawi shukuru Mungu hukula. ..watu wengi hulishwa nyama za watu na wa nyama kupitia ndoto kama hizo!
Ingetokea ukala kesho undeshinda vibaya huku tumbo likiwa limejaa na kujisikia hovyo hovyo tuu
Sio kweli hata we2 hunaushaidi wawa wachawi kulisha nyama za watu mtu.
 
Mada nzuri, lkn umeiharibu vya kutosha, kulikuwa na haja gani kufananisha MISAHAFU na uchawi? Hivi vitu vinatia hasira sana, tuendelee, kutokuamini kwako hakuondowi au kufanya jambo kutokuwepo hio ni imani yako, unaweza usiamini usichotaka mwenyewe ni Uhuru wako, uchawi upo na unafanywa na watu wa mataifa na DINI tofauti takriban ulimwengu mzima, kila mazingira na uchawi wake kutokana na tabia na hulka pia imani zao, kwa Tanzania watu watu wa dini mbili kuu wote kwa wakati na njia na maudhui vitendo na mienendo tofauti ya kufanya huo uchawi, pia kuna kitu uchawi na kitu "HUSDA" inayotokana na uchawi, uchawi ni km mchezo au burudani flani na pia ni fani c km kila mtu anaweza kufanya ht km utafundishwa unaweza kufeli, husda inashikana sana na huo uchawi lengo likiwa tofauti kdg husda ni mbaya zaidi kuliko uchawi, FREEMASONRY hii zaidi iko ulaya baadhi ya nchi iko ndogo sana ni dini au dhehebu niseme ibada ambayo haimo kwenye Bible wala Quran ina nguvu za kipekee na imebaki kuwa siri cc huwa tunaropoka ukweli wake hatuujuwi, wacha niishie hapo nisimalize kurasa, technolojia IPO na uchawi upo.
 
Kuna watu wanajifanya science and technology hata kuunganisha sakiti tu chenga
 
Sio kweli hata we2 hunaushaidi wawa wachawi kulisha nyama za watu mtu.
Kwa hili naomba nikuhakikishie kuwa ni kweli na nina ushahidi kamili, sijaandika kitu cha kufikirika
 
Angalia mchana ulikula nini au ulishinda mazingira gani.kumbka mfano ukila chakula ambacho kwenye mfumo wa usagaji kitasumbua yaani tumbo litapata shida kusaga lazima hata pumzi itasumbua usku hivyo wakati ukihangaika kupumua ndio unaota sasa pole niulize lolote kuhusu uchawi nitakusaidia na huta kuja logwa na utapuuza kabisa 0756805540
Nilikula chakula cha kawaida tu,tambi na maharage,pia unamzungumziaje huyo m2 alieni nisih na Kutaka kunisokomeza kipande cha nyama .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom