Uchambuzi vifurushi vya halotel

Uchambuzi vifurushi vya halotel

Angalia jamani uzinduzi wao hii kampuni imefanya makubwa zaidi ya nilivyo fahamu, kusambaza optic fibre hadi vijijini
 
mtazamo wangu.......kwa gharama walizo2mia halotel kuingia ktk industry ya telecom,......its better wange ingia ubia na zantel wakaipataia nguv wange kuwa wame fika mbali sana hadi nw...
n kwa maono yangu me me

Wazo Zuri.
 
Halotel washashindwa Kabla ya kuingia mchezoni ..

Airtel Yatosha!
Vodacom Kazi Ni Kwako!
Tigo Tumekufikia!
 
Halotel washashindwa Kabla ya kuingia mchezoni ..

Airtel Yatosha!
Vodacom Kazi Ni Kwako!
Tigo Tumekufikia!

Mkuu halotel ni kampuni ambayo ipo chini ya Viettel ambayo ni kampuni ya simu ya serikali kisosholisti ya Vietnam. Hawa jamaa awapo ki pesa mbele kama hayo makampuni mengine. Return on investment yao I'm sure itarudi soon bila shida.
 
Kama hivyo ndivyo, mi naona wameshindwa kabla ya kuanza!
 
Mkuu halotel ni kampuni ambayo ipo chini ya Viettel ambayo ni kampuni ya simu ya serikali kisosholisti ya Vietnam. Hawa jamaa awapo ki pesa mbele kama hayo makampuni mengine. Return on investment yao I'm sure itarudi soon bila shida.

Kama hawapo kipesa mbele return ya haraka inakujaje?
 
Kama hawapo kipesa mbele return ya haraka inakujaje?

Na uhakika kwa sababu wamesaidia serikali kwa kusambaza optic fibre cables vijijini, mahospitalini, na ofisi za serikali kuna msamaha wa kodi mkubwa wa kodi watayopewa.
 
Na uhakika kwa sababu wamesaidia serikali kwa kusambaza optic fibre cables vijijini, mahospitalini, na ofisi za serikali kuna msamaha wa kodi mkubwa wa kodi watayopewa.

misamaha ya kodi si kitu cha kukipa kipaumbele sana kwani itategemea na serikali itakayoingia madarakani awamu ijayo.

Pia kuna mamlaka inayosimamia mawasiliano nchini (TCRA) hawa ndio wasimamizi na watoaji leseni kwa wamiliki wa mitandao ya simu. pia TCRA wamewekeana sheria kati yao na wamiliki wa makampuni ya simu yaani (EPOCA Tarrif Regulation 2011) ikimaanisha kuwa huduma zitatolewa sawa kwa makampuni yote na tozo hazitotofautiana au tofauti yaweza kuwa kidogo sana. .
 
Let's wait and see huenda ikawa tofauti kwenye uhalisia coz', for what I know hata hizi OMG sijui Yatosha n.k sio official tariffs bali ni promotional offers na ndio maana huwa wanazibadili kadri wapendavyo! Hao Viettel nao, hawana ujanja lazima washuke na promotional offers kama wenzao!
 
Sasa mb800 mkuu??? Airtel ni 4gb na madakika ya kutosha kwa 6000 tu...acha nikomae nao hawa airtel tu!!

Sasa wewe unazungumzia UNI. Ile vocha ni ofa na walengwa ni wanachuo haiko kwenye vifurushi rasmi ndio mana zile vocha zinapatikana baadh ya maduka na hasa yaliyo jiran na vyuo, muda wowote zaweza potea
 
Sasa wewe unazungumzia UNI. Ile vocha ni ofa na walengwa ni wanachuo haiko kwenye vifurushi rasmi ndio mana zile vocha zinapatikana baadh ya maduka na hasa yaliyo jiran na vyuo, muda wowote zaweza potea
Mbona Nilipo Zinapatikana Mbalii Sanaa Na Vyuo???
 

Attachments

  • 1444974961946.jpg
    1444974961946.jpg
    48.5 KB · Views: 122
I commented on this post a few days ago, I said any merchant company under monopoly capitalism, they aimed at maximizing profits by any means. Hawa jamaa sijui wa Halotel they're both capitalist regardless wanatoka sijui Korea, aims zao ni ku make profits tuuu.
 
Back
Top Bottom