Kwahiyo wakang'oe minara yao waanze safari kabla hawajafukuzwa?
Hivi Mkuu Smart Imekufa?? Niliiacha Dar Kma Inachomoza Hivi...Ila Huku Nilipo Kuna Airtel Unicredit, Ipo Ya Shs 600 Unapata Dk 60, Sms Bila Kikomo Na Gb 1.2 Kwa Masaa 48. (Siku Mbili) Na Kuna Ya Shs 1500, Unapata Dk 150 Airtel Kwenda Airtel Na Dk 5 Mitandao Yote, Sms Bila Kikomo Na Gb 1 Kwa Siku 7. Pia Kuna Ya Shs 6000 Unapata Dk 500 Airtel Kwenda Airtel Na Dk 20 Mitandao Yote, Sms Bila Kikomo Pamoja Na Gb4 Hii Ni Kwa Mwezi.Nilihisi kitu kama hiki.
TCRA lazima waweke mkono hapa.
Huwezi kuingilia ligi za wakubwa (tigo, voda na airtel) kirahisi na wakakuangalia tu.
Kwa mwendo huu, halotel watakufa kama smart, BoL na wengineo.
Sioni kichocheo cha kumuhamisha mtu toka mitandao mingine.
eti 2000 mb400 per week wakat ata 1gb huwa hainitosh afadhali nikamue zang na tigo tu af mkuu naona hawa wajamaa wanavamia bas kwa mbele tu coz kwa kipind hiki cha mwanzo wangeweka ofa kwanza ili wapate wateja sasa wao wameweka vifurush vyao kama vile vocha zao zinapatikana kila duka kwa hyo watu watanunua wajiunge sasa mimi nawatabiria darkness fallKwahiyo wakang'oe minara yao waanze safari kabla hawajafukuzwa?
Hivi Mkuu Smart Imekufa?? Niliiacha Dar Kma Inachomoza Hivi...Ila Huku Nilipo Kuna Airtel Unicredit, Ipo Ya Shs 600 Unapata Dk 60, Sms Bila Kikomo Na Gb 1.2 Kwa Masaa 48. (Siku Mbili) Na Kuna Ya Shs 1500, Unapata Dk 150 Airtel Kwenda Airtel Na Dk 5 Mitandao Yote, Sms Bila Kikomo Na Gb 1 Kwa Siku 7. Pia Kuna Ya Shs 6000 Unapata Dk 500 Airtel Kwenda Airtel Na Dk 20 Mitandao Yote, Sms Bila Kikomo Pamoja Na Gb4 Hii Ni Kwa Mwezi.
Ni Aina Ya Credit Zinazotolewa Na Airtel, Hazipatikan Kila Sehemu.mkuu hiyo unicredit ndo nin tena
Ni Aina Ya Credit Zinazotolewa Na Airtel, Hazipatikan Kila Sehemu.
Aaah Awapi!! Sipogo Huko Mkuu.ahaa basi kumbe upo nyumbani moshi
apa ngoja niendelee kukomaa ma zantel yangu tu.
Hivi Mkuu Smart Imekufa?? Niliiacha Dar Kma Inachomoza Hivi...Ila Huku Nilipo Kuna Airtel Unicredit, Ipo Ya Shs 600 Unapata Dk 60, Sms Bila Kikomo Na Gb 1.2 Kwa Masaa 48. (Siku Mbili) Na Kuna Ya Shs 1500, Unapata Dk 150 Airtel Kwenda Airtel Na Dk 5 Mitandao Yote, Sms Bila Kikomo Na Gb 1 Kwa Siku 7. Pia Kuna Ya Shs 6000 Unapata Dk 500 Airtel Kwenda Airtel Na Dk 20 Mitandao Yote, Sms Bila Kikomo Pamoja Na Gb4 Hii Ni Kwa Mwezi.