ndio maana ya unlimited speed, basi jekundu wanakupa kama gb 2 kwa speed kubwa then wanadrop speed
wamenishawishi Mimi Wa kijijini ambako mitandao mingine hakuna 3G
Nimekujibu.Inamaana hujaiona hiyo Private Message niliyokutumia?
Mkuu nakucheki PM tufanye mazungumzo kidogo.
Hata mie sikutegemea waje kwa style hii hasa kwenye internet bundle unless speed yao iwe ni ya kasi maeneo yote maana mitandao hii tuliyonayo kuna maeneo mengi hasa mikoan unauta ukiwa kaeneo flani internet safi ukirudi nyumbani au sehemu zingine unakuta network ya kusikilizia
R.I.P SASATEL, R.I.P SMART, R.I.P BoL, R.I.P IN ADVANCE HALOTEL
!!!!Tushamalizana Mkuu.Mkuu nakucheki PM tufanye mazungumzo kidogo.
Unatakiwa utest mwenyewe kama linajongea basi kimya kimya!!!Vipi mkuu tunaweza tukapanda hili basi au halifanyi safari lenyewe?
mitandao yote ya bongo hovyo tu.. mfano mimi hutumia approx. dakk tano tu za muda wa maongezi (kwa mwezi ). preference yangu ni MB tu.. kuongea na simu hata sekunde 30 huwa hazifiki..then unashangaa umetumiwa meseji inbox ikisema 'offa offa offa.. tumia dkk kadhaa za muda wa maongez, utaongea bure sijui lin na lin. au utapata shiling kadhaa za muda wa maongezi..'' hivi haya makampuni hayafanyagi survey kujua mtu huwa anatumiaga nn kwene simu yake??
mitandao yote ya bongo hovyo tu.. mfano mimi hutumia approx. dakk tano tu za muda wa maongezi (kwa mwezi ). preference yangu ni MB tu.. kuongea na simu hata sekunde 30 huwa hazifiki..then unashangaa umetumiwa meseji inbox ikisema 'offa offa offa.. tumia dkk kadhaa za muda wa maongez, utaongea bure sijui lin na lin. au utapata shiling kadhaa za muda wa maongezi..'' hivi haya makampuni hayafanyagi survey kujua mtu huwa anatumiaga nn kwene simu yake??