smart nje ya dar 20,000 true unlimited (sijajiunga muda mrefu)Wanaolalamika bei ya vifurushi vya net vya halotel, je vya SMART wanaweza kugusa!
Nimeviangalia havina tofauti yoyote na tigo ndo vile vile tu zikitofautiana ni mb chache na wameiga kale ka katabia ka tigo kusema kifurushi ni unlimited kumbe wanamaanisha unlimited speed. Kwa faida ya wengine
Internet siku
-Sh 250 utapata mb 50
-Sh 500 utapata mb 200
Internet wiki
-Sh 2000 utapata mb 400
-Sh 3000 utapata mb 600
Internet mwezi
-Sh 2000 utapata mb100
-Sh 5000 utapata 1gb
-Sh 10,000 utapata 3gb
Vifurushi hivyo hapo juu hawajasema kitu, kuna vifurushi ambavyo wanaviita unlimited
-sh 1000 utapata mb800 kwa siku
-sh 5000 utapata gb 1 kwa siku
-sh 15,000 utapata gb 2 kwa mwezi
-sh 25,000 utapata gb 5
mpaka hapo juu tayari wameshafeli, mtandao mpya ila vifurushi bora ya hao wa zamani.
vifurushi vya maongezi
hapa pia hamna jipya, labda hizo mb kuongezeka toka mb1 hadi 3
1. vya siku
-sh 400 unapata dk 6 sms 50 na mb3
-sh 600 unapata dk 12 sms 500 na mb5
-sh 800 unapata dk19 sms 1000 na mb8
2. vya wiki
-sh 2000 unapata dk30 sms 300 na mb60
-sh 4000 unapata dk 100 sms 1000 na mb60
-sh 10000 unapata dk 200 sms 1000 na mb60
*aliepanga hivyo vifurushi pia hakutumia akili hapa ukijiunga vifurushi viwili vya wiki vya 4000 kwa jumla ya 8000 unapata dk200 sms 2000 na mb120 ambazo ni nyingi kuliko kifurushi cha 10,000 kwa wiki. hivyo kifurushi cha 10,000 ni useless
3. vya mwezi
-sh 10,000 unapata dakika 160 sms 1500 na mb80
-sh 15,000 unapata dakika 300 sms 2500 na mb 300
-sh 20,000 unapata dakika 400 sms 3500 na mb 300
-sh 30,000 unapata dakika 550 sms 5500 na mb 500
-sh 50,000 unapata dakika 1000 sms 3000 na gb 1
*hapa pia ukinunua vifurushi viwili vya 15,000 unapata dakika 600, sms 5000 na mb 600 ambavyo ni vingi kuliko kifurushi cha 30,000 hivyo inafanya hicho kifurushi kisiwe na maana.
*hivyo hapo juu ni vifurushi vya mitandao yote mi si mpiga simu sana hivyo siwezi coment.
nimependa tu hawa jamaa wamekuja kutukumbusha basi letu jekundu liliopinduka zamani
je unafkiri Halotel wameleta mabadiliko?
Hivi ulivyoandika sio vifurushi vya ukweli vya Halotel, mfano hicho cha 500 ni MB 250 sio 200. Kujua vifurushi vya ukweli piga *148*66#Nimeviangalia havina tofauti yoyote na tigo ndo vile vile tu zikitofautiana ni mb chache na wameiga kale ka katabia ka tigo kusema kifurushi ni unlimited kumbe wanamaanisha unlimited speed. Kwa faida ya wengine
Internet siku
-Sh 250 utapata mb 50
-Sh 500 utapata mb 200
Internet wiki
-Sh 2000 utapata mb 400
-Sh 3000 utapata mb 600
Internet mwezi
-Sh 2000 utapata mb100
-Sh 5000 utapata 1gb
-Sh 10,000 utapata 3gb
Vifurushi hivyo hapo juu hawajasema kitu, kuna vifurushi ambavyo wanaviita unlimited
-sh 1000 utapata mb800 kwa siku
-sh 5000 utapata gb 1 kwa siku
-sh 15,000 utapata gb 2 kwa mwezi
-sh 25,000 utapata gb 5
mpaka hapo juu tayari wameshafeli, mtandao mpya ila vifurushi bora ya hao wa zamani.
vifurushi vya maongezi
hapa pia hamna jipya, labda hizo mb kuongezeka toka mb1 hadi 3
1. vya siku
-sh 400 unapata dk 6 sms 50 na mb3
-sh 600 unapata dk 12 sms 500 na mb5
-sh 800 unapata dk19 sms 1000 na mb8
2. vya wiki
-sh 2000 unapata dk30 sms 300 na mb60
-sh 4000 unapata dk 100 sms 1000 na mb60
-sh 10000 unapata dk 200 sms 1000 na mb60
*aliepanga hivyo vifurushi pia hakutumia akili hapa ukijiunga vifurushi viwili vya wiki vya 4000 kwa jumla ya 8000 unapata dk200 sms 2000 na mb120 ambazo ni nyingi kuliko kifurushi cha 10,000 kwa wiki. hivyo kifurushi cha 10,000 ni useless
3. vya mwezi
-sh 10,000 unapata dakika 160 sms 1500 na mb80
-sh 15,000 unapata dakika 300 sms 2500 na mb 300
-sh 20,000 unapata dakika 400 sms 3500 na mb 300
-sh 30,000 unapata dakika 550 sms 5500 na mb 500
-sh 50,000 unapata dakika 1000 sms 3000 na gb 1
*hapa pia ukinunua vifurushi viwili vya 15,000 unapata dakika 600, sms 5000 na mb 600 ambavyo ni vingi kuliko kifurushi cha 30,000 hivyo inafanya hicho kifurushi kisiwe na maana.
*hivyo hapo juu ni vifurushi vya mitandao yote mi si mpiga simu sana hivyo siwezi coment.
nimependa tu hawa jamaa wamekuja kutukumbusha basi letu jekundu liliopinduka zamani
je unafkiri Halotel wameleta mabadiliko?
Angalia thread ni ya lini kabla ya kuja Bila Nguo hapa kubishanaHivi ulivyoandika sio vifurushi vya ukweli vya Halotel, mfano hicho cha 500 ni MB 250 sio 200. Kujua vifurushi vya ukweli piga *148*66#
Sumatra walizifungia sijui kama zimefunguliwa tenaMkuu hili basi route zake inakuwaje!?
Angalia vizuri tareh ya hiyo habari ivyo unavyosema wewe vimekwa juzjuz tu hpaHivi ulivyoandika sio vifurushi vya ukweli vya Halotel, mfano hicho cha 500 ni MB 250 sio 200. Kujua vifurushi vya ukweli piga *148*66#
wanachoniuzi voda msg za goodnight kuzipokea asubuhi