PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,707
- 25,989
Zantel wanabaki kuwa internet provider wa maana kuliko wote
Ni kweli usemayo kuhusu Zantel ila Shida yao Zantel mpaka uweze kupata vifurushi vyao hizo proces zina kona na vyumba kibao, unaweza kuahirisha na kuishia njiani. Mbaya zaidi eti uwe na line yao ya simu (Sijui kama utaratibu huu bado upo) na kingine wao wanakamata data kwenye manispaa tu.